To yeye
JF-Expert Member
- Oct 4, 2022
- 35,686
- 86,968
🤣Naona mambo mengi muda mchache my mvulanaMbona unacheka mchumba 😄
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣Naona mambo mengi muda mchache my mvulanaMbona unacheka mchumba 😄
Hujasema bado.Hivi nyie wana mliokaa kwenye ndoa zaidi ya miaka kumi mmefanyeje aisee? Yaani sio poa wakuu yaani niko hoi bin taabani ndiyo kwanza ndoa yangu ina wiki mbili tu aisee najihisi kuchoka na kukata tamaa wakuu.
Majukumu yamenizidi, nakosa uhuru wa kuamua mambo yangu eti lazima mshirikishane wote kwenye nyumba yaani hapa nipo hoi bin taabani fanyeni wana wajamii forum mninusuru mambo sio poa niko chupli chupli mambo yamekwama wakuu.
Ndiyo kwanza nina miaka 27 yaani naona mambo yamenielemea majukumu yanakuwa mengi sana na wakuu naombeni msaada wenu.
😂😂😂kwakweli kuwa single raha[emoji1787][emoji1787][emoji1787] week 2 ushachoka?!!
Bora niendelee kuwa single
Ndoa ni UpumbavuKwahiyo baba yako mzee mushi na mama yako bibi estalla ni wajinga? Kwahiyo wazazi wako ni wapumbavu,wajinga na wafedhuli
Sana hupati stress za kuchitiwa wala kuchiti 🤣🤣🤣😂😂😂kwakweli kuwa single raha
Wana Jf tukusaidie vip mkuu,tukuoe ama?!Hivi nyie wana mliokaa kwenye ndoa zaidi ya miaka kumi mmefanyeje aisee? Yaani sio poa wakuu yaani niko hoi bin taabani ndiyo kwanza ndoa yangu ina wiki mbili tu aisee najihisi kuchoka na kukata tamaa wakuu.
Majukumu yamenizidi, nakosa uhuru wa kuamua mambo yangu eti lazima mshirikishane wote kwenye nyumba yaani hapa nipo hoi bin taabani fanyeni wana wajamii forum mninusuru mambo sio poa niko chupli chupli mambo yamekwama wakuu.
Ndiyo kwanza nina miaka 27 yaani naona mambo yamenielemea majukumu yanakuwa mengi sana na wakuu naombeni msaada wenu.
Aisee..😂😂Ndio shida ya kuoa baada ya kuanza kubalehe tu.
Wenzako huwa wanamaliza balehe kwanza.
Kufuata utamu wa kugegedana tu bila kujua ABC za kuishi mkiwa tayari mna meno mengi vinywani mwenu.Ulilazimishwa kuoa?
Ndoa ni Upumbavu
Wajinga Ndiyo Mnaopigwa
Kula Chuma Icho, Mpaka Mfe
Mtapigwa Sana huko mpaka mtoke damu za njano, hamsikiiNiko hapa nikikuombea kwa mwenyezi Mungu ili ukue haraka, uweze kuondokana na akili za kivulana ulizonazo sasa. Mungu akufanyie wepesi, inshallah.
Ova
Ndoa haina mwenyewe. Nikuombeana heri ndugu.Ulilazimishwa kuoa?
Mapenzi (ndoa) haina mwenyewe.Ndio shida ya kuoa baada ya kuanza kubalehe tu.
Wenzako huwa wanamaliza balehe kwanza.
😂 😂 😂 😂 😂 😂ishi nae UCHUMBA SUGU
😂😂😂😂😂😂😂😂OA MWANAMKE MWENYE HELA KAMA WAO WANAVYO TAKA MWANAUME MWENYE HELA