Kumbe kupiga vita mapenzi ya jinsia moja inawezekana; wapo wapi wanaume waliokuwa wanajichubua na kulegeza viungo kwenye mitandao na TV?

Mwenye macho haambiwi tazama. Channel ilikuwa live wenye mamlaka bila shaka waliona labda kama wanayakubali yaliyokuwa yakioneshwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…