Kumbe mafuta nayotumia kwenye gari ni sawa na ningekua napanda bodaboda!!

Kumbe mafuta nayotumia kwenye gari ni sawa na ningekua napanda bodaboda!!

Hizo gharama ulizopiga ina maana unafanya kazi siku zote za mwezi hamna siku umepumzika?

Hakuna siku umekaa foleni engine ikiwa inanguruma?

Hufanyi service? Huoshi gari? Hujazi hata upepo? Hulipii parking? Tozo za madaraja?

Hizo zote ni gharama za kumiliki gari.
Pumbavu, umesoma lakin title ya maada?

Uzi unazungumzia gharama za mafuta.

Yes. Nafanya kazi siku zote, 7 days a week. 365 days a year. Non stop.

Biashara yangu inaniweka mjini.
 
sisi wa Toyota coaster na 1Hz au 14B hapa hatutakiwi kabisaaa
 
Nchi za wenzetu gari ni part and parcel ya basic needs, yani kununua gari hakumpi mtu stress kama sisi huku.

Wabongo tunanunua gari sababu ya ufahari tuu.

Na kwa umbumbumbu wetu wabongo tukiona mtu kanunua gari basi ndo tunafanya kama kipimo cha maendeleo kumbe sio kweli.
ni kipimo kikubwa cha maendeleo,ikiwemo kujenga nyumba yako,kama ni mfanyakazi,kuanzisha biashara nyingine ya kuongeza kipato,nl,NB;hiyo ni kwa watu wa kipato cha chini,kwa nyie matajiri sio kipimo halisi cha kupiga hatua..
 
kirkuu 4 wheel manual ni nzuri zaidi bei poa
 
Nchi za wenzetu gari ni part and parcel ya basic needs, yani kununua gari hakumpi mtu stress kama sisi huku.

Wabongo tunanunua gari sababu ya ufahari tuu.

Na kwa umbumbumbu wetu wabongo tukiona mtu kanunua gari basi ndo tunafanya kama kipimo cha maendeleo kumbe sio kweli.
Mkuu acha kejeli. Hapa Tanzania kula chakula tu watu wengi ni mtihani mkubwa. Mtu mwenye uwezo wa kumiliki gari ni tajiri wala sio masihara
 
Back
Top Bottom