Kumbe mahakama ya ICC inasaidia sana Africa kuwa na amani, mfano huu hapa

Kumbe mahakama ya ICC inasaidia sana Africa kuwa na amani, mfano huu hapa

Johnny Sack

JF-Expert Member
Joined
Jan 21, 2017
Posts
8,984
Reaction score
19,288
Mahakama ya ICC inasaidia sana kutunza amani Afrika

Raila Odinga, mgombea urais katika uchaguzi wa Kenya uliopita amekiri aliogopa kushtakiwa ICC ndio maana hakuleta vurugu awamu hii

ICC imekuwa ikilaumiwa kuwa inawaonea viongozi wa Afrika kwani ndio wamekuwa wakishtakiwa huko tu, japo hili sio kweli pia kwani kuna viongozi wengi wazungu hasa kutoka kwenye vita ya Bosnia, Serbia na Yugoslavia wamepelekwa na kuhukumiwa na ICC

IMG_20221001_080943.jpg
 
Siasa tu hizo, kama ule uchaguzi wa 2007 baada ya zile vurugu waliwavuruga wale mashahidi waliotakiwa kwenda kutoa ushahidi huko ICC wakapotea, sioni kitu gani kingemshinda kufanya hivyo this time kama angepelekwa huko.

Mimi naamini Odinga alikubali matokeo kwasababu aliona aibu, kuanzisha fujo wakati mahakama nayo imetoa majibu ya kumpa ushindi mwenzako ingekuwa kazi ngumu sana, werevu wangemuona hajielewi.
 
US ilitaka kuiwekea vikwazo ICC na UN waliposogeza pua kuhusu uvamizi na mauaji ya raia Iraq na Afghanistan!
 
Siasa tu hizo, kama ule uchaguzi wa 2007 baada ya zile vurugu waliwavuruga wale mashahidi waliotakiwa kwenda kutoa ushahidi huko ICC wakapotea, sioni kitu gani kingemshinda kufanya hivyo this time kama angepelekwa huko.

Mimi naamini Odinga alikubali matokeo kwasababu aliona aibu, kuanzisha fujo wakati mahakama nayo imetoa majibu ya kumpa ushindi mwenzako ingekuwa kazi ngumu sana, werevu wangemuona hajielewi.
Kufunguliwa kesi ICC tayari ni doa hata kama ukishinda
 
Back
Top Bottom