Kumbe Majini sio viumbe vya kuogopa, yana vibrate at low frequency kuliko sisi

Mzee mbona tunaona mpaka watoto wadogo wa miezi 6 wanarogwa na wengine wanarogwa tangu wakiwa mimba , je Hao huwa wanakuwa wamefanya makosa gani ?? Yanayo toa nafasi ya wao kurogwa !?
Wazazi vipi,wako vizuri kiroho?hapa nazungumzia Baba na mama,Babu na bibi.Kwasababu uovu wako unaweza kusababisha kufungua mlango wa watoto au mpk wajukuu wako wakashambuliwa....
 
Umefafanua vyema ila haya mnayo yaongea mnapo husisha na majini ndio naona kidogo kuwa mnachanganya mambo , ...
 
Wazazi vipi,wako vizuri kiroho?hapa nazungumzia Baba na mama,Babu na bibi.Kwasababu uovu wako unaweza kusababisha kufungua mlango wa watoto au mpk wajukuu wako wakashambuliwa....
Okay nieleze kuhusu namna ambavyo generation 1 inavyo weza kuwa Na Yale majini ya ukoo + Mizimu Halafu generation Hiyo Hiyo inapoleta generation nyingine hata iwe kizazi cha nne ambacho hakikuwahi kuiona generation ya Kwanza kina kuwa kina sumbuliwa na hayo majini na Mizimu , Nini kinacho tokea maana Hiyo generation ya 4 inakuwa haina kosa wala haikuwahi kuwaona mababu na mabibi zao why wawe attached na hivyo viumbe ??

Nadhani umeshasikia kesi nyingi Tu huko mitaanj unakuta kijana alikuwa anasoma ghafla anafuatwa na Mizimu ya kwao na inataka awe mganga Yana Mpa uchizi au maradhi yasiyo pona mpaka Huyo mtu Akubali na akikataa Yana Muua mind you unakuta Huyo mtu amesha hangaika Sana mpaka basi Kwa waganga wachungaji mapadrii mashekhe lakini wapi haponi Shida inakuwa nini !? Na afanye nini ili kukwepa hivyo viumbe ,

Maana kuna viumbe vingine Vikimfuata Huyo mtu vinamtaka awe decent kama nyie mnavyosema hapa ili aweze kuwa ktk high frequency wanataka awe ana Sali asiwe mdhambi awe anatoa sadaka asiwe mfanya dhulma aepukw zinaa ,

Yaani mnayo yaelezea hapa ktk lugha ya physics kuwa ktk high frequency Nimesha waelewa ni kuwa smart kiroho kutokuwa mtenda mabaya Hilo nimeshaielewa so nataka kujua Inakuwaje kuwaje mpaka mtu afuatwe na Madudu yaliyopo ndani ya ukoo wao na yaanze kumshurutisha kuwa mtu Wa spiritual!! !? Nini hutokea na atumie mbinu zipi ili aweze kuwakwepa !?

Tirilika mkuu
 

Labda nikuulize:

1. Marais
2. Wabunge
3. Wafanya biashara…..

Na watu wote wakubwa, huufuata Uganga na mapepo kwa Sababu gani?
 
Sasa Alishindwa nini kutumia Hiyo high frequency yake ili asiuwawe !? Mmesema ktk huu ulimwengu frequency huwa inatabia ya kulipa kile unacho kifanya ukiwa na frequency positive ktk performance utapata Matokeo hayo hayo the same ktk low frequency, kuna mtu akatolea mfano if ukiua mtu lazima na wewe utauwawa tu , je Yesu Ambaye mmemtaja kuwa Ndiye master of high frequency mbona aliuwawa je nayeye aliwahi kuuwa mtu !? Vipi kuhusu Baba yake gorge bush mbona alishawahi kuua watu wengi kupitia vita alipokuwa madarakani lakini yeye kafa Kifo cha kawaida Tu cha uzeeni , Which is which!?
 
Yashua Amashiach aliwasamehe kumbuka katika physical na spiritual Realm kitu ukisamehe kinakua clean,
Pia kumbuka Spiritual Realm ilimfufua kutoka wafu hivyo hakuna kisasi Ulimwengu wa Roho uliwalipa waliomuua sababu ya forgiveness!
 
Habari mkuu pm yako umefunga,

Naomba na Mimi unisaidie hzo materials
Natanguliza shukrani
Hawezi kukupa mtu pekee ambaye sio mchoyo wa material ni kiranga peke yake ila hao wengine ni ujuaji umewajaa,
Sana sana atakwambia hizi mambo sio za kumpa kila mtu mara hivi vitu ni vya siri sana, nonsense
 
Masuala ya kiroho mara nyingi huwa yanaenda kinyume na mantiki, jambo linakosa logic kabisa mpaka linakuja kutimia ndio unapata maana na picha kamili... Muda mwingine hata likitimia kama unaufahamu mdogo bado huwezi kuelewa mpaka watokee walimu/watu wenye hekima na hayo mambo au manabii, wayatolee ufafanuzi.

Kuhusu hili la Yesu;
Hiyo ilikua ni sehemu ya mchakato... Ili kufikia kusudi, sometimes shetani au watu wabaya anahusisha bila wao kujijua ili husudi/unabii udhililike na kufikia malengo.

Ukisoma Habari mbalimbali katika Biblia utagundua Mungu alikua anajidhihilisha katika mazingira ya ajabu na kwa watu wadhaifu/wenye kasoro au low status katika jamii.

Mfano. Kina Musa, YUSUFU, Daudi,
 
Mkuu naongezea nyama kidogo.

Mkuu ukikutana na Habari inayohusu imani hasa kutoka katika vitabu vya kiimani... Basi hauna budi kuwa ni mitizamo/uelewa wa namna mbili.

Mtizamo wa kiroho na mtizamo wa mazingira ya kawaida haya.

Ile Habari ya kuuwawa kwa Yesu kwa mtizamo wa mazingira ya kimwili ni unaona kuwa katika historia kulitokea mwamba mmoja alisurubiwa na kuuwawa baadae akafufuka.

Sasa ukija katika mitazamo au uelewa wa kiroho na ndio uhalisia ulivyo ile habari ya Yesu halikuwa tukio tu bali lilikua ni tukio linalowakilisha kufa kwa mwili wa kale na kuzaliwa upya ukiwa msafi, na tukio lile lilikuwa halimuhusu yeye Yesu bali ilikuwa ni kielelezo/demo kutelekeza sisi wanadamu kwa vitendo kuwa hivi ndio inatakiwa mambo yaende, kama tunataka kumfuata.

"yaani jikane wewe mwenyewe harafu beba msalaba wako umfuate" aloo yaani Acha mambo ya zamani, Acha ku vibrate katika low frequency (kiburi chuki ego fikra hasi nk... Bali inatakiwa uvibrate katika higher frequency (upendo amani shukrani fikra chanya nk).

Unaweza ukaona ni jambo rahisi hivi ndio mpaka asurubiwe si angetuambia tu... Aisee Kuokoka kwa wale watu wa dini na enlightenment kwa ma-open minded people. Ni mtiti ni jambo nzito... Yaani kuivunja ego ya mtu akawa hana ego, kumfanya mtu kajishusha mpaka chini kabisa tena kwa mahasimu zake na kutubu/kuomba radhi /msamaha kwa hiyari yake mwenyewe sio hivyo tu kuwa na nidhamu, na hayo mambo yote yawe na muendelezo (discipline na consistency)

Hapa kwenye ego hapa panachangamoto... Ego ni instinct ambayo tumeumbiwa nayo na inatufelisha sana watu wengi, si kwamba ni mbaya Hapana ila tunashidwa kuitumia kwa usahihi katika kubalance mambo tukiwa tunajamiiana sisi wanadamu(Emotions Intelligence (EQ)).

[ Kiranga amani iwe nawe mkuu]
 
Duuh
Hawezi kukupa mtu pekee ambaye sio mchoyo wa material ni kiranga peke yake ila hao wengine ni ujuaji umewajaa,
Sana sana atakwambia hizi mambo sio za kumpa kila mtu mara hivi vitu ni vya siri sana, nonsense
Duuh... Kama ni kweli basi jamaa atakupa tofauti na tumfiriavyo. Hzo mambo sio za Kila mtu sawa ila in terms of understanding.....
 
Asiyejua maana haambiwi maana, achana nao hao!
 
Vipi kwa wale wanaoshinda usiku wa manane,wakiangalia porn kwa vifaa vyao vya kielekronic na mwishowe kuishia kujichua/punyeto.

Ni kwa kiasi hii inaweza kumuhathiri mhusika?
 
Ina maana basi hatupaswi kumuabudu bali tunapaswa kufanya alivyofanya nasi tufikie level yake ya uungu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…