bolivia
JF-Expert Member
- Mar 3, 2021
- 3,083
- 5,179
Uchawi ni sayansi ya asiliDuh! Umeniacha hoi kwenye kwenye frequence kuwa low. Mamabo ya frequence ni kipimo cha kisayansi, sasa majini, mapepo na wachawi wanatumiaje vipimo hivyo vya kisayansi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uchawi ni sayansi ya asiliDuh! Umeniacha hoi kwenye kwenye frequence kuwa low. Mamabo ya frequence ni kipimo cha kisayansi, sasa majini, mapepo na wachawi wanatumiaje vipimo hivyo vya kisayansi?
Frequence yko ipo chini ndio maana unasogea kwa Yule jamaa muongo muongoSisi wa kwa Mwamposa frequency zetu ziko juu sana. Hatuhitaji hiyo elimu.
Yesu anatosha.
Hapa umeongea kisayansi kidogo,kiroho ili uweze kurogeka kinachotokea unaingizwa kwenye dhambi na shetani ukishakuwa kwenye hiyo state Roho wa Mungu anakuacha,kwahiyo unakuwa huna protection,hapo ndipo unaweza kuingiwa na maroho na hata kurogwa,maana hata hiyo hofu ni roho ya shetani.Neno la Mungu linasema "Maana Mungu hakutupa roho ya woga, bali ya nguvu na ya upendo na ya moyo wa kiasi" 2Timotheo 1:7....Knowledge is power..kumbe MAJINI, WACHAWI, NA BLACK MAGIC ZOTE, zinafanyika at low vibrational frequency ndio maana ili mtu alogeke lazima washushe frequency yake awe kwenye range zao.
Kwa mfano mtu akiwa ana hofu au hasira ni rahis kumloga coz ana resonate at 7Hz very low frequency.
PEPO MCHAFU anamuingia mtu akiwa at low frequency. Siri iliyopo hapa ni kucheza frequency game isishuke, msibani watu wanalogwa sana coz wana huzuni na frequency zao zinakuwa down, bila shaka umewahi kusikia msiba mmoja umesababisha msiba mwingine then wanasingizia presha..
Mkuu funguo yake ni upendo. Yaani binadamu mwenye upendo timilifu ana power ya ajabu sana na ndio kichocheo cha kufikia high vibrant.frequences na vibrations zinamata lakin, kufikia kiwango cha vibration kubwa kiasi cha wachawi akikuona anabadili njia sio rahisi hata kidogo, pia hao majini jana rank zake lakin majini wengi ni dhaifu, watchers ndo hatari sana na wale walio dhaliwa nao damuni yani hybrids
Umemshauri vizuri. Ni bora angejikita na mambo ya kula tunda kimasihara.Hayo mambo ya low frequency,high frequency,positive na negative energies ni elimu ya juu sana,usitegemee uzi wako kupata wachangiaji.
Mchango wako ni mzuri ila hapa umejichanganya,haiko hivyo,unapotosha watu"Waliokimbia shule mambo ya physics yakijirudia lazima watoke nduki.
Anyway Wacha namimi niongeze vijipoint.
Iko hivi, mtu kaumbwa akiwa na nishati(Roho) ambayo iliingia ndani ya mwili ulipokuwa tumboni mwa mama yako na kuunda kiumbe mpya (Nafsi) ambaye ndie wewe mtu kamili.
Sasa wewe mtu kamili kwa kuwa umeumbwa kwa nishati iliyopo ndani yako, hivyo kama mjuavyo nishati inatabia ya kuatract na ku-disatract positive&negative charge inategemea na wewe kwa wakati huo upo ktk masafa ya energy za aina ipi.
Kila mtu ana energy ambayo huwezi kuiona kwa macho ya kawaida, lkn ipo,
Mfano ukiwa ktk energy ya positive charge kwenye matembezi yako na ukakutana na mtu mwenye positive charge the same to yours, hapa nadhani hata pyhsics haiapply Ile law of magnetism inayo state as alike charge repel, different/unlike charge attract, kwa upande huu ni tofauti, yaani utavuta nishati unayofanana nayo hapa ukikutana na mtu mwenye Charge inayofanana na yako lazima mtaendana kwa mood zenu, reaction zenu na response zenu ktk maongezi, body signs.
Ndiomana hata wale motivation speaker huwafundisha zile kanuni za law of attraction ama nguvu ya USUMAKU za kuvuta vitu unavyovipendelea kwa kuwekeza nguvu zako na akili zako ktk mawimbi sawa na vile vitu uvitakavyo.
Iko hivyo Kila kiumbe kina energy ya USUMAKU na pia umeme kiujumla, na Kila kiumbe kinaweza kudaka mawimbi sawa na kiumbe kingine, ndiomana Kuna muda hutokea, unammiss mtu Fulani ukitaka kumtafuta kwa simu ghafla anakutafuta na kukupa habari kama yako kuwa alikukumbuka, hiyo inaonesha wote mlikuwa ktk state ya mawimbi sawa, yaani akili zenu zilikuwa ktk frequency Moja kwenye mawimbi.
Na ifahamike kuwa kwa Kila kitu ufanyacho ujue kinabeba mawimbi yako na kinahusisha energy yako, iwe tendo jema&baya, ama iwe maongezi mema au mabaya ujuwe yanakuwa ktk mawimbi energy yako ivyo ni rahisi kwa viumbe wengine kukufikia kupitia mawimbi ya energy yako uliyonayo kwa wakati huo iwe matendo/maneno/mood yako na matamanio yako.
Kiumbe yeyote asiye na mwili(Roho) anauwezo wa kuisoma energy yako ndiyo itaamua kama anauwezo wa kukumudu ama vipi.
Ndiomaana huwa tunapinga sana hizi stories za kusadikika hasa kutoka kwa walokole na wafia dini wanaosema Kila jambo baya limetendwa kwa ushirikina/uchawi/shetan, hii si kweli, msababishi mkuu wa maovu dunian ni binadamu mwenyewe kwa kufungua Izo Channel za kusafirisha bad energies ktk maisha ya uhalisia.
Mchawi hawezi kukudhuru bila kupata sababu kwako, hawezi kukuloga bila kupata upenyo/mlango wa matendo yako.
Pepo hawezi kukuvamia bila sababu, na hii iwaendee wale walokole wanaodai watu huanguka makanisani sababu ya mapepo, acheni utani jmn hivyo viumbe havifanyi kazi kwa namna mnayoidhania, na pengine watu wenye mapepo ni wale tunaowaamini watusaidie kiroho, hao ndio ambao hupagawa na mapepo, kwa sababu maalumu ya kupotosha jamii.
Hao wanaodondoka makanisani na wengine kuleta stories za ajabu ajabu hao wote ni wagonjwa wa akili yaani waliologwa akili ama kiufupi waliopagawa na nguvu za Pepo ambao wameletwa na hao viongozi wenu wa kidini kwa kujua ama kutokujua.
Pepo hawezi kukuingia bila sababu za msingi, mchawi hawezi kukuloga bila sababu ya msingi, inaweza kuwa sababu ya kipumbavu kiuhalisia lkn kwake ni sababu ya msingi.
Yaani mshirikina/Pepo ili akuvamie lazima muwe ktk hali Moja ya charge, yaani kama hukuwa na doa lolote la kuatract energy ya Pepo ama kufungua channel ya energy ktk mwili wako huwezi kulogwa hata mchawi wa aina gani hawezi kukufanya lolote, isipokuwa kunafanyika jambo la kukufanya uendane na frequency zao ama ufanye jambo lolote la kufungua mlango wa energy ktk utu wako ndipo unapovamiwa, either kupitia watu wengine ambao wanaweza kukuletea ugomvi, hasira, ama matamanio yako hasa tamaa mbaya.
Niishie hapa, kiufupi hii elimu ni kubwa sana lkn ndio hivyo watu wengi hawana sababu viongozi wao wa kidini wamebase kwenye mafundisho mepesi yasiyohitaji akili, yaani mmebaki kufundishwa Kila siku mambo Yale Yale na stories zile zile kumbe Kuna mambo mengi ya msingi ambayo watu ilitakiwa wayajue.
Mkuu naomba unitumie vitabu vyote utakavyomtumia huyu mtu na Mimi nitumie. Natanguliza shukraniNi elimu Pana Sana kwanza Unatakiwa Uanze Basic kabisa za Elimu ya Spirituality..
NA Vitabu viko vingi sana Kuna Kipindi Nilikuwa anavishare Humu ni kama Miezi sita au Nane imepita kama sio Mwaka..
Ila Mazingira Hayakuwa mazuri ya Kushare vitabu hivyo nitakutafuta Inbox na Nitakutumia Mwenyewe Vitabu Vyote kuanzia Vya Basic Mpaka Hatua za juu..
Well vile wabongo wengi hawapendi kusumbua vichwa vyao, kufaham knowledge hizi sito shangaaHayo mambo ya low frequency,high frequency,positive na negative energies ni elimu ya juu sana,usitegemee uzi wako kupata wachangiaji.
Mwambie bwana,watu wengi wapo kwenye lindi la ujinga wa kutojua athari ya sauti na maneno yanayotoka kwenye kinywa chao. Elimu hizi km positive and negative mind,human behavior,the art of positive thinking, Metaphysics,Spiritual realm,Universal laws,nd how they control our physical world ni muhimu sana watu wakajua.Haya yoooote yapo kwenye Biblia takatifu km ukimpata mchungaji mwenye upeo mkubwa atakufundishwa. Pia kuna vita vya Psychology vimejaribu ,kuelezea haya.Ni vile watu tumekua wajuaji kupindukia kiasi kwamba wengi hawaamini vitu visivyothibitika moja kwa moja. Lakini ni vema tukatambue Life is not as simple as most people think and perceive.Dharau ni low frequency/Negative energy
Mkuu na nakupa 90 over 100%. Kwa sisi tunaojua haya mambo umetoa Summary nzuri sana. Sema ili mtu aelewe hii elimu inabidi angalau awe na D ya physics vinginevyo ni zero. Ukijua hii elimu na ikakukaa vzr huwezi ishi maisha ya migogoro na watu.Waliokimbia shule mambo ya physics yakijirudia lazima watoke nduki.
Anyway Wacha namimi niongeze vijipoint.
Iko hivi, mtu kaumbwa akiwa na nishati(Roho) ambayo iliingia ndani ya mwili ulipokuwa tumboni mwa mama yako na kuunda kiumbe mpya (Nafsi) ambaye ndie wewe mtu kamili.
Sasa wewe mtu kamili kwa kuwa umeumbwa kwa nishati iliyopo ndani yako, hivyo kama mjuavyo nishati inatabia ya kuatract na ku-disatract positive&negative charge inategemea na wewe kwa wakati huo upo ktk masafa ya energy za aina ipi.
Kila mtu ana energy ambayo huwezi kuiona kwa macho ya kawaida, lkn ipo,
Mfano ukiwa ktk energy ya positive charge kwenye matembezi yako na ukakutana na mtu mwenye positive charge the same to yours, hapa nadhani hata pyhsics haiapply Ile law of magnetism inayo state as alike charge repel, different/unlike charge attract, kwa upande huu ni tofauti, yaani utavuta nishati unayofanana nayo hapa ukikutana na mtu mwenye Charge inayofanana na yako lazima mtaendana kwa mood zenu, reaction zenu na response zenu ktk maongezi, body signs.
Ndiomana hata wale motivation speaker huwafundisha zile kanuni za law of attraction ama nguvu ya USUMAKU za kuvuta vitu unavyovipendelea kwa kuwekeza nguvu zako na akili zako ktk mawimbi sawa na vile vitu uvitakavyo.
Iko hivyo Kila kiumbe kina energy ya USUMAKU na pia umeme kiujumla, na Kila kiumbe kinaweza kudaka mawimbi sawa na kiumbe kingine, ndiomana Kuna muda hutokea, unammiss mtu Fulani ukitaka kumtafuta kwa simu ghafla anakutafuta na kukupa habari kama yako kuwa alikukumbuka, hiyo inaonesha wote mlikuwa ktk state ya mawimbi sawa, yaani akili zenu zilikuwa ktk frequency Moja kwenye mawimbi.
Na ifahamike kuwa kwa Kila kitu ufanyacho ujue kinabeba mawimbi yako na kinahusisha energy yako, iwe tendo jema&baya, ama iwe maongezi mema au mabaya ujuwe yanakuwa ktk mawimbi energy yako ivyo ni rahisi kwa viumbe wengine kukufikia kupitia mawimbi ya energy yako uliyonayo kwa wakati huo iwe matendo/maneno/mood yako na matamanio yako.
Kiumbe yeyote asiye na mwili(Roho) anauwezo wa kuisoma energy yako ndiyo itaamua kama anauwezo wa kukumudu ama vipi.
Ndiomaana huwa tunapinga sana hizi stories za kusadikika hasa kutoka kwa walokole na wafia dini wanaosema Kila jambo baya limetendwa kwa ushirikina/uchawi/shetan, hii si kweli, msababishi mkuu wa maovu dunian ni binadamu mwenyewe kwa kufungua Izo Channel za kusafirisha bad energies ktk maisha ya uhalisia.
Mchawi hawezi kukudhuru bila kupata sababu kwako, hawezi kukuloga bila kupata upenyo/mlango wa matendo yako.
Pepo hawezi kukuvamia bila sababu, na hii iwaendee wale walokole wanaodai watu huanguka makanisani sababu ya mapepo, acheni utani jmn hivyo viumbe havifanyi kazi kwa namna mnayoidhania, na pengine watu wenye mapepo ni wale tunaowaamini watusaidie kiroho, hao ndio ambao hupagawa na mapepo, kwa sababu maalumu ya kupotosha jamii.
Hao wanaodondoka makanisani na wengine kuleta stories za ajabu ajabu hao wote ni wagonjwa wa akili yaani waliologwa akili ama kiufupi waliopagawa na nguvu za Pepo ambao wameletwa na hao viongozi wenu wa kidini kwa kujua ama kutokujua.
Pepo hawezi kukuingia bila sababu za msingi, mchawi hawezi kukuloga bila sababu ya msingi, inaweza kuwa sababu ya kipumbavu kiuhalisia lkn kwake ni sababu ya msingi.
Yaani mshirikina/Pepo ili akuvamie lazima muwe ktk hali Moja ya charge, yaani kama hukuwa na doa lolote la kuatract energy ya Pepo ama kufungua channel ya energy ktk mwili wako huwezi kulogwa hata mchawi wa aina gani hawezi kukufanya lolote, isipokuwa kunafanyika jambo la kukufanya uendane na frequency zao ama ufanye jambo lolote la kufungua mlango wa energy ktk utu wako ndipo unapovamiwa, either kupitia watu wengine ambao wanaweza kukuletea ugomvi, hasira, ama matamanio yako hasa tamaa mbaya.
Niishie hapa, kiufupi hii elimu ni kubwa sana lkn ndio hivyo watu wengi hawana sababu viongozi wao wa kidini wamebase kwenye mafundisho mepesi yasiyohitaji akili, yaani mmebaki kufundishwa Kila siku mambo Yale Yale na stories zile zile kumbe Kuna mambo mengi ya msingi ambayo watu ilitakiwa wayajue.
Kina introduction nzuriEbu tumeni vitabu tujifunze zaidi....hivi ndo vitu vya kujifunza.
We dokta hebu nitumie mie hiyo buku tano nina njaa sijala wiki ya pili sasaDah We Jamaa Leo umenifurahisha Sana..
Katika Comments Zote nilitamani Niione Hii Comment Sasa Nimeiona Na Nitalala...
Nakuahidi Nitakutumia Vocha hata ya 5000 Upate GB 1 angalau
Una maana gani na anaye tapika hizo nyembe ni nanihuwezi kuwa kwenye mawimbi ya juu halafu kila siku mnatapika nyembe na hirizi
KIkundi cha kina samyaza na wahuni wenzie ni shidah, fallen angle kama Galadriel huwezi mtishia vibration
Wiseman.
hakikaHayo mambo ya low frequency,high frequency,positive na negative energies ni elimu ya juu sana,usitegemee uzi wako kupata wachangiaji.
Thibitisha.Knowledge is power..kumbe MAJINI, WACHAWI, NA BLACK MAGIC ZOTE, zinafanyika at low vibrational frequency ndio maana ili mtu alogeke lazima washushe frequency yake awe kwenye range zao.
Kwa mfano mtu akiwa ana hofu au hasira ni rahis kumloga coz ana resonate at 7Hz very low frequency.
PEPO MCHAFU anamuingia mtu akiwa at low frequency. Siri iliyopo hapa ni kucheza frequency game isishuke, msibani watu wanalogwa sana coz wana huzuni na frequency zao zinakuwa down, bila shaka umewahi kusikia msiba mmoja umesababisha msiba mwingine then wanasingizia presha..