Kumbe Majini sio viumbe vya kuogopa, yana vibrate at low frequency kuliko sisi

Kumbe Majini sio viumbe vya kuogopa, yana vibrate at low frequency kuliko sisi

Knowledge is power..kumbe MAJINI, WACHAWI, NA BLACK MAGIC ZOTE, zinafanyika at low vibrational frequency ndio maana ili mtu alogeke lazima washushe frequency yake awe kwenye range zao.

Kwa mfano mtu akiwa ana hofu au hasira ni rahis kumloga coz ana resonate at 7Hz very low frequency.

PEPO MCHAFU anamuingia mtu akiwa at low frequency. Siri iliyopo hapa ni kucheza frequency game isishuke, msibani watu wanalogwa sana coz wana huzuni na frequency zao zinakuwa down, bila shaka umewahi kusikia msiba mmoja umesababisha msiba mwingine then wanasingizia presha..
Hapa umeongea kisayansi kidogo,kiroho ili uweze kurogeka kinachotokea unaingizwa kwenye dhambi na shetani ukishakuwa kwenye hiyo state Roho wa Mungu anakuacha,kwahiyo unakuwa huna protection,hapo ndipo unaweza kuingiwa na maroho na hata kurogwa,maana hata hiyo hofu ni roho ya shetani.Neno la Mungu linasema "Maana Mungu hakutupa roho ya woga, bali ya nguvu na ya upendo na ya moyo wa kiasi" 2Timotheo 1:7....
 
frequences na vibrations zinamata lakin, kufikia kiwango cha vibration kubwa kiasi cha wachawi akikuona anabadili njia sio rahisi hata kidogo, pia hao majini jana rank zake lakin majini wengi ni dhaifu, watchers ndo hatari sana na wale walio dhaliwa nao damuni yani hybrids
Mkuu funguo yake ni upendo. Yaani binadamu mwenye upendo timilifu ana power ya ajabu sana na ndio kichocheo cha kufikia high vibrant.

Upendo ninao uzungumzia sio ule upendo wa kuonekana kuwa unafanya jambo jema bali ni ule upendo uliobeba nia ya mtu kwa kutanguliza faida kwa wote na sio faida yake binafsi kwa kila jambo alifanyalo.

Baada ya kujifunza nili apply kwangu aisee kuna vitu nilivigundua ambavyo si vya kawaida moja ya matukio; kuna siku nipo ugenini sehemu mara mgeni mwingine akaingia kwa ile nyumba ile kukutana nae tu kuna hali fulani ya ubaridi nikahisi kisha hewa ikawa nzito nikamkazia macho asee alilipuka kisha akatulia kama kapigwa shoti.
 
Waliokimbia shule mambo ya physics yakijirudia lazima watoke nduki.

Anyway Wacha namimi niongeze vijipoint.

Iko hivi, mtu kaumbwa akiwa na nishati(Roho) ambayo iliingia ndani ya mwili ulipokuwa tumboni mwa mama yako na kuunda kiumbe mpya (Nafsi) ambaye ndie wewe mtu kamili.

Sasa wewe mtu kamili kwa kuwa umeumbwa kwa nishati iliyopo ndani yako, hivyo kama mjuavyo nishati inatabia ya kuatract na ku-disatract positive&negative charge inategemea na wewe kwa wakati huo upo ktk masafa ya energy za aina ipi.

Kila mtu ana energy ambayo huwezi kuiona kwa macho ya kawaida, lkn ipo,

Mfano ukiwa ktk energy ya positive charge kwenye matembezi yako na ukakutana na mtu mwenye positive charge the same to yours, hapa nadhani hata pyhsics haiapply Ile law of magnetism inayo state as alike charge repel, different/unlike charge attract, kwa upande huu ni tofauti, yaani utavuta nishati unayofanana nayo hapa ukikutana na mtu mwenye Charge inayofanana na yako lazima mtaendana kwa mood zenu, reaction zenu na response zenu ktk maongezi, body signs.

Ndiomana hata wale motivation speaker huwafundisha zile kanuni za law of attraction ama nguvu ya USUMAKU za kuvuta vitu unavyovipendelea kwa kuwekeza nguvu zako na akili zako ktk mawimbi sawa na vile vitu uvitakavyo.

Iko hivyo Kila kiumbe kina energy ya USUMAKU na pia umeme kiujumla, na Kila kiumbe kinaweza kudaka mawimbi sawa na kiumbe kingine, ndiomana Kuna muda hutokea, unammiss mtu Fulani ukitaka kumtafuta kwa simu ghafla anakutafuta na kukupa habari kama yako kuwa alikukumbuka, hiyo inaonesha wote mlikuwa ktk state ya mawimbi sawa, yaani akili zenu zilikuwa ktk frequency Moja kwenye mawimbi.

Na ifahamike kuwa kwa Kila kitu ufanyacho ujue kinabeba mawimbi yako na kinahusisha energy yako, iwe tendo jema&baya, ama iwe maongezi mema au mabaya ujuwe yanakuwa ktk mawimbi energy yako ivyo ni rahisi kwa viumbe wengine kukufikia kupitia mawimbi ya energy yako uliyonayo kwa wakati huo iwe matendo/maneno/mood yako na matamanio yako.

Kiumbe yeyote asiye na mwili(Roho) anauwezo wa kuisoma energy yako ndiyo itaamua kama anauwezo wa kukumudu ama vipi.

Ndiomaana huwa tunapinga sana hizi stories za kusadikika hasa kutoka kwa walokole na wafia dini wanaosema Kila jambo baya limetendwa kwa ushirikina/uchawi/shetan, hii si kweli, msababishi mkuu wa maovu dunian ni binadamu mwenyewe kwa kufungua Izo Channel za kusafirisha bad energies ktk maisha ya uhalisia.

Mchawi hawezi kukudhuru bila kupata sababu kwako, hawezi kukuloga bila kupata upenyo/mlango wa matendo yako.

Pepo hawezi kukuvamia bila sababu, na hii iwaendee wale walokole wanaodai watu huanguka makanisani sababu ya mapepo, acheni utani jmn hivyo viumbe havifanyi kazi kwa namna mnayoidhania, na pengine watu wenye mapepo ni wale tunaowaamini watusaidie kiroho, hao ndio ambao hupagawa na mapepo, kwa sababu maalumu ya kupotosha jamii.

Hao wanaodondoka makanisani na wengine kuleta stories za ajabu ajabu hao wote ni wagonjwa wa akili yaani waliologwa akili ama kiufupi waliopagawa na nguvu za Pepo ambao wameletwa na hao viongozi wenu wa kidini kwa kujua ama kutokujua.

Pepo hawezi kukuingia bila sababu za msingi, mchawi hawezi kukuloga bila sababu ya msingi, inaweza kuwa sababu ya kipumbavu kiuhalisia lkn kwake ni sababu ya msingi.

Yaani mshirikina/Pepo ili akuvamie lazima muwe ktk hali Moja ya charge, yaani kama hukuwa na doa lolote la kuatract energy ya Pepo ama kufungua channel ya energy ktk mwili wako huwezi kulogwa hata mchawi wa aina gani hawezi kukufanya lolote, isipokuwa kunafanyika jambo la kukufanya uendane na frequency zao ama ufanye jambo lolote la kufungua mlango wa energy ktk utu wako ndipo unapovamiwa, either kupitia watu wengine ambao wanaweza kukuletea ugomvi, hasira, ama matamanio yako hasa tamaa mbaya.

Niishie hapa, kiufupi hii elimu ni kubwa sana lkn ndio hivyo watu wengi hawana sababu viongozi wao wa kidini wamebase kwenye mafundisho mepesi yasiyohitaji akili, yaani mmebaki kufundishwa Kila siku mambo Yale Yale na stories zile zile kumbe Kuna mambo mengi ya msingi ambayo watu ilitakiwa wayajue.
Mchango wako ni mzuri ila hapa umejichanganya,haiko hivyo,unapotosha watu"
Pepo hawezi kukuvamia bila sababu, na hii iwaendee wale walokole wanaodai watu huanguka makanisani sababu ya mapepo, acheni utani jmn hivyo viumbe havifanyi kazi kwa namna mnayoidhania, na pengine watu wenye mapepo ni wale tunaowaamini watusaidie kiroho, hao ndio ambao hupagawa na mapepo, kwa sababu maalumu ya kupotosha jamii.
Hao wanaodondoka makanisani na wengine kuleta stories za ajabu ajabu hao wote ni wagonjwa wa akili yaani waliologwa akili ama kiufupi waliopagawa na nguvu za Pepo ambao wameletwa na hao viongozi wenu wa kidini kwa kujua ama kutokujua"....
 
It is true - ndo maana ni rahisi Sana kupoteza vitu vingi na kupata mikosi endapo ukaruhusu hasira ,huzuni ,chuki, wivu .

Frequency unazotuma katika ulimwengu zikiwa juu ndo pale unamsikia MTU anasema nimemfikiria mama akanipigia au nimemfikiria kaka akanioigia simu.

But a lot of people hawaelewi ndo maana unawakuta hawapati matokeo chanya in everything they do .
 
Ni elimu Pana Sana kwanza Unatakiwa Uanze Basic kabisa za Elimu ya Spirituality..
NA Vitabu viko vingi sana Kuna Kipindi Nilikuwa anavishare Humu ni kama Miezi sita au Nane imepita kama sio Mwaka..
Ila Mazingira Hayakuwa mazuri ya Kushare vitabu hivyo nitakutafuta Inbox na Nitakutumia Mwenyewe Vitabu Vyote kuanzia Vya Basic Mpaka Hatua za juu..
Mkuu naomba unitumie vitabu vyote utakavyomtumia huyu mtu na Mimi nitumie. Natanguliza shukrani
 
Kama ulitaka kuua mtu au uliuwa mtu kwa makusudi yako mwenyewe, adhabu yako wewe ni kifo tu kiwe cha kiserikali au si cha kiserikali. Lazima na wewe upate hukumu ya kutolewa uhai.
 
Dharau ni low frequency/Negative energy
Mwambie bwana,watu wengi wapo kwenye lindi la ujinga wa kutojua athari ya sauti na maneno yanayotoka kwenye kinywa chao. Elimu hizi km positive and negative mind,human behavior,the art of positive thinking, Metaphysics,Spiritual realm,Universal laws,nd how they control our physical world ni muhimu sana watu wakajua.Haya yoooote yapo kwenye Biblia takatifu km ukimpata mchungaji mwenye upeo mkubwa atakufundishwa. Pia kuna vita vya Psychology vimejaribu ,kuelezea haya.Ni vile watu tumekua wajuaji kupindukia kiasi kwamba wengi hawaamini vitu visivyothibitika moja kwa moja. Lakini ni vema tukatambue Life is not as simple as most people think and perceive.
 
Waliokimbia shule mambo ya physics yakijirudia lazima watoke nduki.

Anyway Wacha namimi niongeze vijipoint.

Iko hivi, mtu kaumbwa akiwa na nishati(Roho) ambayo iliingia ndani ya mwili ulipokuwa tumboni mwa mama yako na kuunda kiumbe mpya (Nafsi) ambaye ndie wewe mtu kamili.

Sasa wewe mtu kamili kwa kuwa umeumbwa kwa nishati iliyopo ndani yako, hivyo kama mjuavyo nishati inatabia ya kuatract na ku-disatract positive&negative charge inategemea na wewe kwa wakati huo upo ktk masafa ya energy za aina ipi.

Kila mtu ana energy ambayo huwezi kuiona kwa macho ya kawaida, lkn ipo,

Mfano ukiwa ktk energy ya positive charge kwenye matembezi yako na ukakutana na mtu mwenye positive charge the same to yours, hapa nadhani hata pyhsics haiapply Ile law of magnetism inayo state as alike charge repel, different/unlike charge attract, kwa upande huu ni tofauti, yaani utavuta nishati unayofanana nayo hapa ukikutana na mtu mwenye Charge inayofanana na yako lazima mtaendana kwa mood zenu, reaction zenu na response zenu ktk maongezi, body signs.

Ndiomana hata wale motivation speaker huwafundisha zile kanuni za law of attraction ama nguvu ya USUMAKU za kuvuta vitu unavyovipendelea kwa kuwekeza nguvu zako na akili zako ktk mawimbi sawa na vile vitu uvitakavyo.

Iko hivyo Kila kiumbe kina energy ya USUMAKU na pia umeme kiujumla, na Kila kiumbe kinaweza kudaka mawimbi sawa na kiumbe kingine, ndiomana Kuna muda hutokea, unammiss mtu Fulani ukitaka kumtafuta kwa simu ghafla anakutafuta na kukupa habari kama yako kuwa alikukumbuka, hiyo inaonesha wote mlikuwa ktk state ya mawimbi sawa, yaani akili zenu zilikuwa ktk frequency Moja kwenye mawimbi.

Na ifahamike kuwa kwa Kila kitu ufanyacho ujue kinabeba mawimbi yako na kinahusisha energy yako, iwe tendo jema&baya, ama iwe maongezi mema au mabaya ujuwe yanakuwa ktk mawimbi energy yako ivyo ni rahisi kwa viumbe wengine kukufikia kupitia mawimbi ya energy yako uliyonayo kwa wakati huo iwe matendo/maneno/mood yako na matamanio yako.

Kiumbe yeyote asiye na mwili(Roho) anauwezo wa kuisoma energy yako ndiyo itaamua kama anauwezo wa kukumudu ama vipi.

Ndiomaana huwa tunapinga sana hizi stories za kusadikika hasa kutoka kwa walokole na wafia dini wanaosema Kila jambo baya limetendwa kwa ushirikina/uchawi/shetan, hii si kweli, msababishi mkuu wa maovu dunian ni binadamu mwenyewe kwa kufungua Izo Channel za kusafirisha bad energies ktk maisha ya uhalisia.

Mchawi hawezi kukudhuru bila kupata sababu kwako, hawezi kukuloga bila kupata upenyo/mlango wa matendo yako.

Pepo hawezi kukuvamia bila sababu, na hii iwaendee wale walokole wanaodai watu huanguka makanisani sababu ya mapepo, acheni utani jmn hivyo viumbe havifanyi kazi kwa namna mnayoidhania, na pengine watu wenye mapepo ni wale tunaowaamini watusaidie kiroho, hao ndio ambao hupagawa na mapepo, kwa sababu maalumu ya kupotosha jamii.

Hao wanaodondoka makanisani na wengine kuleta stories za ajabu ajabu hao wote ni wagonjwa wa akili yaani waliologwa akili ama kiufupi waliopagawa na nguvu za Pepo ambao wameletwa na hao viongozi wenu wa kidini kwa kujua ama kutokujua.

Pepo hawezi kukuingia bila sababu za msingi, mchawi hawezi kukuloga bila sababu ya msingi, inaweza kuwa sababu ya kipumbavu kiuhalisia lkn kwake ni sababu ya msingi.

Yaani mshirikina/Pepo ili akuvamie lazima muwe ktk hali Moja ya charge, yaani kama hukuwa na doa lolote la kuatract energy ya Pepo ama kufungua channel ya energy ktk mwili wako huwezi kulogwa hata mchawi wa aina gani hawezi kukufanya lolote, isipokuwa kunafanyika jambo la kukufanya uendane na frequency zao ama ufanye jambo lolote la kufungua mlango wa energy ktk utu wako ndipo unapovamiwa, either kupitia watu wengine ambao wanaweza kukuletea ugomvi, hasira, ama matamanio yako hasa tamaa mbaya.

Niishie hapa, kiufupi hii elimu ni kubwa sana lkn ndio hivyo watu wengi hawana sababu viongozi wao wa kidini wamebase kwenye mafundisho mepesi yasiyohitaji akili, yaani mmebaki kufundishwa Kila siku mambo Yale Yale na stories zile zile kumbe Kuna mambo mengi ya msingi ambayo watu ilitakiwa wayajue.
Mkuu na nakupa 90 over 100%. Kwa sisi tunaojua haya mambo umetoa Summary nzuri sana. Sema ili mtu aelewe hii elimu inabidi angalau awe na D ya physics vinginevyo ni zero. Ukijua hii elimu na ikakukaa vzr huwezi ishi maisha ya migogoro na watu.
 
Knowledge is power..kumbe MAJINI, WACHAWI, NA BLACK MAGIC ZOTE, zinafanyika at low vibrational frequency ndio maana ili mtu alogeke lazima washushe frequency yake awe kwenye range zao.

Kwa mfano mtu akiwa ana hofu au hasira ni rahis kumloga coz ana resonate at 7Hz very low frequency.

PEPO MCHAFU anamuingia mtu akiwa at low frequency. Siri iliyopo hapa ni kucheza frequency game isishuke, msibani watu wanalogwa sana coz wana huzuni na frequency zao zinakuwa down, bila shaka umewahi kusikia msiba mmoja umesababisha msiba mwingine then wanasingizia presha..
Thibitisha.
 
Back
Top Bottom