Kumbe Majini sio viumbe vya kuogopa, yana vibrate at low frequency kuliko sisi

Kumbe Majini sio viumbe vya kuogopa, yana vibrate at low frequency kuliko sisi

Waliokimbia shule mambo ya physics yakijirudia lazima watoke nduki.

Anyway Wacha namimi niongeze vijipoint.

Iko hivi, mtu kaumbwa akiwa na nishati(Roho) ambayo iliingia ndani ya mwili ulipokuwa tumboni mwa mama yako na kuunda kiumbe mpya (Nafsi) ambaye ndie wewe mtu kamili.

Sasa wewe mtu kamili kwa kuwa umeumbwa kwa nishati iliyopo ndani yako, hivyo kama mjuavyo nishati inatabia ya kuatract na ku-disatract positive&negative charge inategemea na wewe kwa wakati huo upo ktk masafa ya energy za aina ipi.

Kila mtu ana energy ambayo huwezi kuiona kwa macho ya kawaida, lkn ipo,

Mfano ukiwa ktk energy ya positive charge kwenye matembezi yako na ukakutana na mtu mwenye positive charge the same to yours, hapa nadhani hata pyhsics haiapply Ile law of magnetism inayo state as alike charge repel, different/unlike charge attract, kwa upande huu ni tofauti, yaani utavuta nishati unayofanana nayo hapa ukikutana na mtu mwenye Charge inayofanana na yako lazima mtaendana kwa mood zenu, reaction zenu na response zenu ktk maongezi, body signs.

Ndiomana hata wale motivation speaker huwafundisha zile kanuni za law of attraction ama nguvu ya USUMAKU za kuvuta vitu unavyovipendelea kwa kuwekeza nguvu zako na akili zako ktk mawimbi sawa na vile vitu uvitakavyo.

Iko hivyo Kila kiumbe kina energy ya USUMAKU na pia umeme kiujumla, na Kila kiumbe kinaweza kudaka mawimbi sawa na kiumbe kingine, ndiomana Kuna muda hutokea, unammiss mtu Fulani ukitaka kumtafuta kwa simu ghafla anakutafuta na kukupa habari kama yako kuwa alikukumbuka, hiyo inaonesha wote mlikuwa ktk state ya mawimbi sawa, yaani akili zenu zilikuwa ktk frequency Moja kwenye mawimbi.

Na ifahamike kuwa kwa Kila kitu ufanyacho ujue kinabeba mawimbi yako na kinahusisha energy yako, iwe tendo jema&baya, ama iwe maongezi mema au mabaya ujuwe yanakuwa ktk mawimbi energy yako ivyo ni rahisi kwa viumbe wengine kukufikia kupitia mawimbi ya energy yako uliyonayo kwa wakati huo iwe matendo/maneno/mood yako na matamanio yako.

Kiumbe yeyote asiye na mwili(Roho) anauwezo wa kuisoma energy yako ndiyo itaamua kama anauwezo wa kukumudu ama vipi.

Ndiomaana huwa tunapinga sana hizi stories za kusadikika hasa kutoka kwa walokole na wafia dini wanaosema Kila jambo baya limetendwa kwa ushirikina/uchawi/shetan, hii si kweli, msababishi mkuu wa maovu dunian ni binadamu mwenyewe kwa kufungua Izo Channel za kusafirisha bad energies ktk maisha ya uhalisia.

Mchawi hawezi kukudhuru bila kupata sababu kwako, hawezi kukuloga bila kupata upenyo/mlango wa matendo yako.

Pepo hawezi kukuvamia bila sababu, na hii iwaendee wale walokole wanaodai watu huanguka makanisani sababu ya mapepo, acheni utani jmn hivyo viumbe havifanyi kazi kwa namna mnayoidhania, na pengine watu wenye mapepo ni wale tunaowaamini watusaidie kiroho, hao ndio ambao hupagawa na mapepo, kwa sababu maalumu ya kupotosha jamii.

Hao wanaodondoka makanisani na wengine kuleta stories za ajabu ajabu hao wote ni wagonjwa wa akili yaani waliologwa akili ama kiufupi waliopagawa na nguvu za Pepo ambao wameletwa na hao viongozi wenu wa kidini kwa kujua ama kutokujua.

Pepo hawezi kukuingia bila sababu za msingi, mchawi hawezi kukuloga bila sababu ya msingi, inaweza kuwa sababu ya kipumbavu kiuhalisia lkn kwake ni sababu ya msingi.

Yaani mshirikina/Pepo ili akuvamie lazima muwe ktk hali Moja ya charge, yaani kama hukuwa na doa lolote la kuatract energy ya Pepo ama kufungua channel ya energy ktk mwili wako huwezi kulogwa hata mchawi wa aina gani hawezi kukufanya lolote, isipokuwa kunafanyika jambo la kukufanya uendane na frequency zao ama ufanye jambo lolote la kufungua mlango wa energy ktk utu wako ndipo unapovamiwa, either kupitia watu wengine ambao wanaweza kukuletea ugomvi, hasira, ama matamanio yako hasa tamaa mbaya.

Niishie hapa, kiufupi hii elimu ni kubwa sana lkn ndio hivyo watu wengi hawana sababu viongozi wao wa kidini wamebase kwenye mafundisho mepesi yasiyohitaji akili, yaani mmebaki kufundishwa Kila siku mambo Yale Yale na stories zile zile kumbe Kuna mambo mengi ya msingi ambayo watu ilitakiwa wayajue.
Hili swala imekaaje nakumbuka majuzi kuna mtu nimeamka nimekaa nikamfikiria sana nikawa nataka kutumia meseji ghafla text yake ikaingia nikajiuliza alikuwa anawaza kama mimi kumbe hiki ni nini

Na mara nyingi nikikutana na mtu roho huwa inasem kwa ndani Huyu hamtawezana
 
Hili swala imekaaje nakumbuka majuzi kuna mtu nimeamka nimekaa nikamfikiria sana nikawa nataka kutumia meseji ghafla text yake ikaingia nikajiuliza alikuwa anawaza kama mimi kumbe hiki ni nini

Na mara nyingi nikikutana na mtu roho huwa inasem kwa ndani Huyu hamtawezana
Mfuatilie Carl Jung anaelezea kuhusu synchronicity. Ina fanana sana na hzo hali
 
Hayo mambo ya low frequency,high frequency,positive na negative energies ni elimu ya juu sana,usitegemee uzi wako kupata wachangiaji.

Hiyo ni elimu ya kawaida sana. Mambo ya frequence, wave length, amplitude nk nk ni elimu ya kawaida sana. Suala lipo la kuichanganya na majini. Hapo wengi hatuta changia
 
Knowledge is power..kumbe MAJINI, WACHAWI, NA BLACK MAGIC ZOTE, zinafanyika at low vibrational frequency ndio maana ili mtu alogeke lazima washushe frequency yake awe kwenye range zao.

Kwa mfano mtu akiwa ana hofu au hasira ni rahis kumloga coz ana resonate at 7Hz very low frequency.

PEPO MCHAFU anamuingia mtu akiwa at low frequency. Siri iliyopo hapa ni kucheza frequency game isishuke, msibani watu wanalogwa sana coz wana huzuni na frequency zao zinakuwa down, bila shaka umewahi kusikia msiba mmoja umesababisha msiba mwingine then wanasingizia presha..
 
Knowledge is power..kumbe MAJINI, WACHAWI, NA BLACK MAGIC ZOTE, zinafanyika at low vibrational frequency ndio maana ili mtu alogeke lazima washushe frequency yake awe kwenye range zao.

Kwa mfano mtu akiwa ana hofu au hasira ni rahis kumloga coz ana resonate at 7Hz very low frequency.

PEPO MCHAFU anamuingia mtu akiwa at low frequency. Siri iliyopo hapa ni kucheza frequency game isishuke, msibani watu wanalogwa sana coz wana huzuni na frequency zao zinakuwa down, bila shaka umewahi kusikia msiba mmoja umesababisha msiba mwingine then wanasingizia presha..
View attachment 3165404
 
Katika muktadha wa kiroho, masafa ya chini (low frequency) na masafa ya juu (high frequency) mara nyingi yanahusishwa na hali tofauti za kiroho, nishati, au mtetemo wa mwili na nafsi. Hii inatokana na imani kwamba kila kitu ulimwenguni kina nishati na hutetemeka katika masafa fulani.

Masafa ya Chini (Low Frequency) Kiroho

Sifa: Masafa ya chini mara nyingi yanahusishwa na hisia au hali hasi kama vile:

Woga

Hasira

Chuki

Uchovu wa kiroho


Athari:

Hutengeneza uzito wa kiroho au kutojihisi huru.

Inaweza kuzuia ukuaji wa kiroho au kuleta hali ya kutengwa na chanzo cha nishati chanya (Mungu, ulimwengu, au nafsi yako ya juu).


Mfano:

Mtu anayepitia huzuni kali au anaelemea hali za hofu mara kwa mara mara nyingi huonekana "kuvutia" matukio ya kiroho hasi.



Masafa ya Juu (High Frequency) Kiroho

Sifa: Masafa ya juu yanahusishwa na hali chanya kama:

Upendo

Furaha

Amani

Shukrani


Athari:

Husaidia mtu kuunganishwa na nishati za juu za kiroho (Mungu, malaika, au ulimwengu wa kiroho).

Huongeza ufahamu wa kiroho, uvuvio, na hali ya amani ya ndani.


Mfano:

Sala, tafakari, au matendo ya huruma huongeza masafa ya mtu kiroho, na hivyo kumwezesha kujihisi karibu na nishati ya kimungu.



Mambo Yanayoshawishi Masafa Kiroho

Kuongeza Masafa (Kuhamia High Frequency):

Meditate (kutafakari).

Kufanya sala au maombi.

Kuonyesha shukrani na huruma.

Kuishi maisha ya maadili na kupunguza mzigo wa hasira au chuki.


Kupunguza Masafa (Kuhamia Low Frequency):

Kuzingatia mambo hasi kama wivu, chuki, au tamaa mbaya.

Kutojitunza kimwili na kiakili.

Kuwa mbali na mazoea ya kiroho au chanzo cha imani yako.



Kwa Nini Masafa ni Muhimu Kiroho?

Masafa yanaaminika kuvuta nishati zinazofanana. Masafa ya juu huvuta nishati na hali za juu kama amani na upendo, ilhali masafa ya chini huvuta hali hasi.

Watu wanaoishi katika masafa ya juu wanajulikana kuwa na nuru ya kiroho, kuvutia furaha, na kupitisha nishati nzuri kwa wengine.


Ikiwa unatafuta njia za kuinua masafa yako ya kiroho, tafakari zaidi au fanya mazoea yanayokuletea furaha na amani.
By robot
 
Wewe unaloga? Utafiti wako ulifanyia wapi?
Knowledge is power..kumbe MAJINI, WACHAWI, NA BLACK MAGIC ZOTE, zinafanyika at low vibrational frequency ndio maana ili mtu alogeke lazima washushe frequency yake awe kwenye range zao.

Kwa mfano mtu akiwa ana hofu au hasira ni rahis kumloga coz ana resonate at 7Hz very low frequency.

PEPO MCHAFU anamuingia mtu akiwa at low frequency. Siri iliyopo hapa ni kucheza frequency game isishuke, msibani watu wanalogwa sana coz wana huzuni na frequency zao zinakuwa down, bila shaka umewahi kusikia msiba mmoja umesababisha msiba mwingine then wanasingizia presha..
 
Kama unaamini Kuna Uchawi Kwa maana ya Negative energy, basi pia ipo na Positive energy maana ya Nguvu za Mungu....!

Hasira, Huzuni kupita Kiasi, Hofu, vinafanya hata ulinzi wa Kimungu ukae pembeni, na hapo ndo Watu wanaweza kushambuliwa ama na Evil spirits, Wachawi n.k.

Ni sawa tu na kutenda Dhambi kama Uzinifu na Dhambi zingine, zinaondoa ule Ulinzi wa Mungu kwako na Unaweza kushambuliwa Vizuri Sana katika Ulimwengu wa Roho...!

Ndo Biblia imekataza Watu kuommboleza kupita Kiasi, japo Lugha inayotumika ni kwamba "Usilie Sana... Unamkufuru Mungu" n.k.

Biblia pia imekataza Watu kujizuia na Hasira kupita Kiasi...! Hata Kwa Wachungaji wenye Upako wao siku wakashindwa kujizuia na Hasira hafu the.n ikawa Jumapili siku ya Ibada, Upako wote unaondoka...!
That's why Most of Pastors wapo humble.

Binadamu ana njia nyingi Sana ambazo Wachawi na Majini wanaweza kuingia kumshambulia, na Maisha ni Spirit, na kila Shambulio kwa Binadamu linaanzia kwenye Ulimwengu wa Roho, then ndo linakuja kujitokeza kwenye Ulimwengu huu wetu.
Akikusikia Kiranga utajua hujui 😂
 
Back
Top Bottom