Until_The_End
JF-Expert Member
- Nov 21, 2020
- 1,456
- 2,202
Dharau ni low frequency/Negative energyWatu wa aina yako hua nawazarau sana [emoji706]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dharau ni low frequency/Negative energyWatu wa aina yako hua nawazarau sana [emoji706]
Kujiona unahatia/Dhambi ndio jambo kubwa linaloshikiria consciousness ya watu wengi.Naukilewa unakua frequency ya ngap? na vipi kuhusu dhambi maana dhambi inakatazwa na din nying ukiwa mdhambi frequency zinakuaje
Sisi Tunaishi kwenye 3rd Dimension Mkuu Ukiwa Kwenye 11 au 12 Dimension Huyo Malaika na Ni mtu anayejitambua sana yaani kama Akiwepo kwa Dunia Ya Sasa Bhasi watamuita mtume au Nabii au hata Wengine watampa Majina matakatifu sanaMkuu nakumbuka nilisoma kitabu cha SATAN AN AUTOBIOGRAPHY kuna mahali yalisemwa haya aliyoyasema OP..... Sisi tupo kwenye 10th dimension hao viumbe wapo chini yetu kwenye 11th dimension.., na kilisema kuwa kupitia matendo yetu maovu tunakuwa tunahamisha energy kuelekea 11th dimension hence feeding the demons,.
hakika kuna mengi ya kujifunza..
mkuu nikuombe kitu, unaweza kurecommend vitabu vinavyohusu haya mambo? Natanguliza shukrani..
Dah We Jamaa Leo umenifurahisha Sana..Kujiona unahatia/Dhambi ndio jambo kubwa linaloshikiria consciousness ya watu wengi.
Dhambi haipo kabisa kwa watu wenye ufahamu wa juu.
Asante sana mkuu.Dah We Jamaa Leo umenifurahisha Sana..
Katika Comments Zote nilitamani Niione Hii Comment Sasa Nimeiona Na Nitalala...
Nakuahidi Nitakutumia Vocha hata ya 5000 Upate GB 1 angalau
Ahsante mkuu kwa kunisahihsha.. je unaweza kupendekeza vitabu vinavyohusu haya mambo, natanguliza shukrani..!Sisi Tunaishi kwenye 3rd Dimension Mkuu Ukiwa Kwenye 11 au 12 Dimension Huyo Malaika na Ni mtu anayejitambua sana yaani kama Akiwepo kwa Dunia Ya Sasa Bhasi watamuita mtume au Nabii au hata Wengine watampa Majina matakatifu sana
Ni elimu Pana Sana kwanza Unatakiwa Uanze Basic kabisa za Elimu ya Spirituality..Ahsante mkuu kwa kunisahihsha.. je unaweza kupendekeza vitabu vinavyohusu haya mambo, natanguliza shukrani..!
Mkuu ntashukuru sana... naomba ntakukumbusha...Ni elimu Pana Sana kwanza Unatakiwa Uanze Basic kabisa za Elimu ya Spirituality..
NA Vitabu viko vingi sana Kuna Kipindi Nilikuwa anavishare Humu ni kama Miezi sita au Nane imepita kama sio Mwaka..
Ila Mazingira Hayakuwa mazuri ya Kushare vitabu hivyo nitakutafuta Inbox na Nitakutumia Mwenyewe Vitabu Vyote kuanzia Vya Basic Mpaka Hatua za juu..
hence dependable always na hapo ndipo wanapopatwaHata wale wanaofanya hypnotic techniques wanahakikisha mzu yupo kwenye low state of mind ndo hypnosis inafanikiwa.Hii mbinu inatumiwa na makanisa ya kilokole bila wao kujua.Mfano,mtu akiongea maneno ya kujirudiarudia (mfano,anasema asante yesu....)anaingia on trance state(low frequency).
Uko sawa Ila kuna Baadhi ya Sehemu Nitakukatalia kama Utakuwa Unajua Elimu ya Frequency na Energy na Vibration Utajua Kuwa Hissing au sound ya letter "S", Tena mara nyingi inapokuwa pronounced as a prolonged "ssssss," huwa Inaresonates at a relatively high frequency in terms of sound vibration.Hata wale wanaofanya hypnotic techniques wanahakikisha mzu yupo kwenye low state of mind ndo hypnosis inafanikiwa.Hii mbinu inatumiwa na makanisa ya kilokole bila wao kujua.Mfano,mtu akiongea maneno ya kujirudiarudia (mfano,anasema asante yesu....)anaingia on trance state(low frequency).
Kuna kitabu kimeelezea vizuri "jinsi uchawi unavyokupa! " kimeandikwa na Munga Tehenani.Knowledge is power..kumbe MAJINI, WACHAWI, NA BLACK MAGIC ZOTE, zinafanyika at low vibrational frequency ndio maana ili mtu alogeke lazima washushe frequency yake awe kwenye range zao.
Kwa mfano mtu akiwa ana hofu au hasira ni rahis kumloga coz ana resonate at 7Hz very low frequency.
PEPO MCHAFU anamuingia mtu akiwa at low frequency. Siri iliyopo hapa ni kucheza frequency game isishuke, msibani watu wanalogwa sana coz wana huzuni na frequency zao zinakuwa down, bila shaka umewahi kusikia msiba mmoja umesababisha msiba mwingine then wanasingizia presha..
Naam mambo matatu yanachangia jini,kwanza kuwa na hofu kwa chochote unachohisi ni kibaya dhidi yako,pili kuwa na hasira au huzuni,tatu kutomwamini mungu kwamba ye ndo muweza wa yote (Allah),nne kutomshirikisha na chochote.Knowledge is power..kumbe MAJINI, WACHAWI, NA BLACK MAGIC ZOTE, zinafanyika at low vibrational frequency ndio maana ili mtu alogeke lazima washushe frequency yake awe kwenye range zao.
Kwa mfano mtu akiwa ana hofu au hasira ni rahis kumloga coz ana resonate at 7Hz very low frequency.
PEPO MCHAFU anamuingia mtu akiwa at low frequency. Siri iliyopo hapa ni kucheza frequency game isishuke, msibani watu wanalogwa sana coz wana huzuni na frequency zao zinakuwa down, bila shaka umewahi kusikia msiba mmoja umesababisha msiba mwingine then wanasingizia presha..
Mtu anaelaumu wengine kwa uzembe wake mwenyewe anacheza kwenye low frequency. Ukitaka kuwa kwenye high frequency jenga tabia ya kutia moyo wengine na kuwa Positive daima.Ndo nimeanza kutoa elimu.Umekazania kusema ya juuya juu,, kama huwez kutoa elimu basi acha kukoment , tujue unajua kwamba unajitapa ama vip, watu mnaojifanya mnajua mambo haya mnakuaga na maringo sana mtafikiri nyie ndio mnaijua dunia nje ndani..
Bora hata kwa ambao hua wana shea knowledge zao ,, sasa kuja mbio unajitapa ooh hizo mambo sjui ni mazito, sio sjui kuongea ongea sjui bla bla..[emoji706]
Naam kwa hiyo wanakuwa wamemdhulumu, maana kuuwa na kufufua ni kazi ya mungu,afanyacho yeye ni kuweka sababu,anaamua ufe kupitia kuugua,kwa kupata ajali,kwa kupigwa risasi na mwenzako nk.upo sahihi ndo maana mtu akitaka kulogwa huwa anapimwa kwanza Nguvu zake Kiroho na kuangalia sehemu dhaifu.
mfano; wakapima wakaona jamaa nk mzinzi, mlevi, hasira, basi wanakutupia kitu kwenye weakness husika ili wakupige vizur.
Kuna mmoja mganga nilishamsikia Akisema hakuna kazi ngumu kama kuua mtu..kwanini? Ni hivi mfano Mungu amempangia George umri wa kuishi ni Miaka 60 sasa wakati wanaotaka kumuua George ana umri wa miaka 30 Wanachokifanya inabida washushe miaka yake 30 ya aliyopangiwa na Mungu huwa ni kazi sio kitoto maana mtu huyo anauawa Umri bado haujafika ambao Mungu aliweka agano lake hapo. Ndo maana watu wanaouawa kabla ya muda wao Roho zao huwa zipo active ndo ule msemo wa Damu ya Mtu ni nzito huwa inamfatilia muuaji.
Hahaha haya Dr. Sema kiukweli hizi mambo huwa hazitaki kabisa uwe ndani ya box.Dah We Jamaa Leo umenifurahisha Sana..
Katika Comments Zote nilitamani Niione Hii Comment Sasa Nimeiona Na Nitalala...
Nakuahidi Nitakutumia Vocha hata ya 5000 Upate GB 1 angalau
KabisaHahaha haya Dr. Sema kiukweli hizi mambo huwa hazitaki kabisa uwe ndani ya box.