eeeh.. nasikia analenga soko la wazungu si unajua wanapenda portable easy to carry. Kina sie tutapendwa na wanaume wetu wa Kiafrica tu wanaopenda mizigoUtanitumia my..
Sasa hapo anafanya hivyo kutafuta madanga au?
Ila sisi wanawake khaaaa [emoji15]
Sent using Jamii Forums mobile app
AnajidanganyaaWema hajaamua bado halafu mwenzio anajiona mdogo bado.
nimeshakataaga kuwa mtumwa wa mwanaume mimi na siwezi pia kuishi kwa mawazo yaoHahaha safi sana kisa cha kujisumbua. Pungua kwa faida yako kiafya
wazungu awapate wapi na kukoboka alivokoboka kama usemavyo??eeeh.. nasikia analenga soko la wazungu si unajua wanapenda portable easy to carry. Kina sie tutapendwa na wanaume wetu wa Kiafrica tu wanaopenda mizigo
kakoboka kwa sindano. kwanin ukimuona unadhani utajua alikuaga mweuis? Yani mweupe mweupe kweliwazungu awapate wapi na kukoboka alivokoboka kama usemavyo??
Ngoja nikwambie kipindi anakamata ( maana sasa hivi kafulia) hela za huyu dyadya zilipokuwa zinaishiasasa anafanya kila kitu ila kimaisha hata watoto wadogo kina Tunda hawakamati si ajistaafie tu kwa heshima abaki kuwa mlezi wa wadangaji wadogo wadogo aachane na hayo mapunga. Hajashtuka tu hao ndio wanaomzibia nyota yake kwa kuwaendekeza
Mi nafanyaga kila kitu kwa ajili ya kufurahisha nafsi yangu sio hao mafisi!hapo ndipo ninaposhangaa. kuna mkaka alianza ooh bby inabidi upungue kidogo nikamwambia bby kwan wanawake wembamba wazuri si waoo wengi tu sasa mbona hukuwafuata? akakaa kimyaaaa. Nimepungua sasa hivi kwa ajili yangu wala sio mwanaume. Kwanza wenyewe hawanaga choice hawa. unajipunguza anaenda kukucheat na Asha boko akuuuu.
Usinikumbushe ile interview yake " naachana na utoto , utoto ulikuwa unanisumbua" [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Wema hajaamua bado halafu mwenzio anajiona mdogo bado.
Analenga wazungu gani hao kwani hawamuoni sura ilivyo komaa?[emoji134][emoji134]eeeh.. nasikia analenga soko la wazungu si unajua wanapenda portable easy to carry. Kina sie tutapendwa na wanaume wetu wa Kiafrica tu wanaopenda mizigo
Ukimuendekeza mwanaume umekwisha!... Halafu huwaga hawamaanishi, wao wanaangalia interest zao tunimeshakataaga kuwa mtumwa wa mwanaume mimi na siwezi pia kuishi kwa mawazo yao
sasa amaanishe vipi wakati anataka utamu tu apite zake pembeni..Ukimuendekeza mwanaume umekwisha!... Halafu huwaga hawamaanishi, wao wanaangalia interest zao tu
So selfish
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]sasa amaanishe vipi wakati anataka utamu tu apite zake pembeni..
Nipo wangu mambo tu mengi yaani mpk nasahau jfUpo best umepotea siku hizi jamani au ndo kama mie mambo yamebanaaa
Yap!Nancy,mwamvita,Kiki Zimba,Adeline Mushi na MangeNacky ana acc insta...ila nimesahau anajiita nani mle?
Si lile lilikuwa gang la Mange?
Sent using Jamii Forums mobile app
Taswira ya dadake Glammadam umenijia hapa. Kajikondesha halafu kajichubua ukimwangalia utasema albino na ule wembamba hata havutii kama maalbino
Kwhy ndio atazaa sasa?kasema alikua na uvimbe tumboni ulokua unasababisha asipate mtoto na pia huo uvimbe ndio uliokua unasabaisha anenepe sana. baada ya kutolewa uvimbe ndio akanenepa (ila sisi tunajua ni uongo)
Mdada hana akili ya maisha, km kutoka angeshatoka kitambo sana lkn sasa hv ht kistuli pmj na kukaa jela bado kinamzidi.sasa anafanya kila kitu ila kimaisha hata watoto wadogo kina Tunda hawakamati si ajistaafie tu kwa heshima abaki kuwa mlezi wa wadangaji wadogo wadogo aachane na hayo mapunga. Hajashtuka tu hao ndio wanaomzibia nyota yake kwa kuwaendekeza
Mbna mustapha kanenepa tena sakaenda kukata utumbo India kama alivyofanyaga Mustapha Hassanal
Siku baby akitaka mnene sijui atajinenepesha tena.Duuuu mji una mambo huo watu badala watafute miili mizuri kwa ajili ya afya zao wanajipunguza kwa ajili ya kumpendezesha mwanaume utasikia baby hapendi nikiwa mnene au anapenda vipotabo. Badala useme nifanye mazoezi mwili wangu uwe stable na nijinyime kula ovyo ovyo