Kumbe mpenzi wangu anajiuza

Nampenda sana ndio maana nataka apate fundisho.
We bdo ni mtoto sijui? Yaani mwanamke kama anatabia mbovu mbovu huwezi mbadilisha, huyo ukija ishi nae atakupa magonjwa ya moyo aisee.

Mi kunamwanamke nilimpenda nikaenda na kujitambulisha kwako tukaanza harakati za kutoa na mahari, sikumoja nilimfuma na sms za mapenzi, akaanza jitetea kumbe huyo jamaa ni mtu wake.

Kwakuwa nilikuwa nampenda niliendelea nae ila moyo ulikuwa umegoma kabisa kuendelea nae, nilimpigia sim nikamwambia tuishie hapa, wewe hunipendi wala nini sema tu nahisi unahitaji kuolewa.

Ndio tukaishia hapo, Mungu akanifungulia njia nikapata mwanamke anaye nipenda sasa tunaishi na tunamtoto mmoja. Wewe yanini ung'ang'anie mahusiano?

Kwakipindi hicho niliumia lakini maumivu yaliisha, ukisha ona dalili mbaya kwenye mahusiano achana na hayo mahusiano.
 
Weka Izoo Picha Za K Na Sisi Tuzione [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] , Piga chini Huyo Demu Wako Ana Element Za Tamaaa
Na kweli mkuu km zambi tuzipate wote atume hicho kinundu tukione[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Ukifanya hvo me naona itakupa stress zaid na utaweka kumbukumbu Kali moyoni mwako...........na ukisema umwambie atajitetea sana na uongo mwingi.....Cha kufanya we hyo ijumaa nenda kale mbususu jamaa akiwasha hizo taa usiseme chochote....vaa nguo sepa...... mblock mwezi mzima........ hakuna kitu kinaniuma kwetu sisi wanawake kama kumkosea mwanaume alaf asikusemeshe!.....Ila tu usimuache Kuna wanawake wanafanya ushenzi zaid ya huo!
 
Mkuu uyu mwanmke bila ya kumuita kuja guest anaweza akajitetea tu kwa kusema sikuwa na nia ya kusekx na uyu mwanaume ilikuwa nimlie vitu vyake tu,

Kaka awa wanawake wapo vizur kwenye kujitetea, LENGO LANGU AINGIE ROOM NIMLE ALAF AJUE KUWA NI MIMI ILI AJIONE KWAMBA YEYE NI kama KAHABA, wanajiteteaga sana hawa atasema sikuwa na nia ya kumpa papuchi unafikiri ushahis wangu utakuwa umejaa nyama apo
 
Bila hii movie kukamilika sitopata amani mkuu,, uyu dem ananipaga ahadi kedekede kila wakati kuwa siwez kukusaliti kivyovyote vile, siwez tembea na mtu yeyote zaid yako ivyo basi nataka kumuonesha kuwa yey sio mkwel ni mnafiki tena mwenye tamaa
 
Asante Dada,, Hii movie nisipoikamilisha atajitetea uyu kwa kusema nilijua tu kuwa ni wew.. sasa nataka leo mim MASSETO original nimuombe mbususu kisha najua tu ataniambia leo kuna dharula nimeipata alaf anaenda kuonana na MASSETO wa kumletea SAMSUNG
 
Hii kitu nishafanya pia, tukaishia kuachana tu, kiufupi usimchunguze demu wako maana binadamu mkamilifu kumpata sio virahisi. hata wew pia ni walewale tu.
 
Na ukute jamaa anapendwa sana na huyo manzi ila manzi kaamua kutoa papuchi kwa siku moja tu then aendelee kua na mshikaji
 
Salaam wanaJF.



WAKUU ILO TUKIO NALIFANYA KESHOKUTWA NIOMBEENI WAKUU..

[emoji24][emoji24][emoji24]

Mkuu Leo ndiyo Leo, Piga KVANT kabisa dushe lisimame Dede..

Tunasubiri tu mrejesho.
 
Mkuu Leo ndiyo Leo, Piga KVANT kabisa dushe lisimame Dede..

Tunasubiri tu mrejesho.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] kufikia saa 4 usiku mrejesho tutakuwa tumeupata.
 
Hamna tunakuambia tu sabb aliposema atakupa mapenz motomoto hapo anawez kukupa hata tigo ukiruhuc kuwa nae hiyo laana itaendlea kuish kweny familia na ukoo wako
Kumbe tigo inalaana mkuu..
 
Hii kitu nishafanya pia, tukaishia kuachana tu, kiufupi usimchunguze demu wako maana binadamu mkamilifu kumpata sio virahisi. hata wew pia ni walewale tu.
HII MISSION NIMEIFANYA SASA NI MARA YA PILI, NAKUMBUKA ATA 2016 NILISHAWAI KUIFANYA KWA BINTI WA ASKOF MMOJA MKUBWA TU. AISEE ALIINGIA KINGI KIRAHISI KABISA YAN.. ILA SIKUMUITIA GUEST NILIACHANA NAE JUU KWA JUU
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…