Kumbe nyie ndo Mnatumaliza Nguvu za Kiume kwa Makusudi. Nimeumia sana

Tunalogwa maofsn[emoji23]chuoni[emoji23]kila sehem, shda tupu
 
Zenji gani hiyo??

Acha kuchafuwa hali ya hewa, Zenji inahusika vipi na mada hii?
Unguja mkuu.....
Kazi ninayo fanya ya bodaboda inanikutanisha na wengi haswa jinsia hii ya kike so nazijua siri za watu na nyumba nyingi zaidi ya vile unavyofikiri mkuu..
Mwanamke ni kiumbe hatari zaidi ya ufikiroavyo.
Kuna mmoja ni muheshimiwa:Alinambia hapa Unguja mwanamke anajifunza gari na hajui nani atamnunulia na lini but ana unauhakika atadrive tuu. 😊
 
Ukenge wako ndiyo unaokurogesha. Ulitumwa ummendee dada wa kazi? Ulitumwa uwe na mchepuko?
Hebu wanaume tuache uf@lA kutaka kuonewa huruma za kijinga come on... huruma my foot!!!!!
 
Unawekaje uhai wako mikononi mwa mwanamke?
 
Kabisa. Nilijifunza kuheshimu mtazamo wa kila mmoja mradi havunji sheria. Wengi wa hivi ikiweml mleta mada ndiyo viongozi wa kuwanyooshea vidole wanaume wenzao wasiooa na kuwasema vibaya. Kila mmoja ale alikopeleka mboga.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yeye nae si angetafuta "mpindulila" anauwekaa sehemuu kwa muda anaotakaaa, akishachokaaa ana utoa afu mumewee anakua tena ngangariii.

Watu hawajui jinsi ya kuroga. Lol
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yeye nae si angetafuta "mpindulila" anauwekaa sehemuu kwa muda anaotakaaa, akishachokaaa ana utoa afu mumewee anakua tena ngangariii.

Watu hawajui jinsi ya kuroga. Lol

Wewe kwaio unajua kuloga?
 
Looooh na hili naalitazama kwa macho 4 paaa kumbe ndo zao 🤮🤮🤮🤮🤮
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…