Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 25,258
- 48,589
Unanipa hamu kila nikiona mwandiko wako[emoji23]
Namna hii utaishiwa mafuta mapema kwa muandiko tu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unanipa hamu kila nikiona mwandiko wako[emoji23]
Nisijue kwa kipi? Na watu wa kuwaloga wapoo??Wewe kwaio unajua kuloga?
Nisijue kwa kipi? Na watu wa kuwaloga wapoo??
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Niwe Mimi mara ngapi mrembo,hiyo kitu si kwa ajili yangu lakini...Siyo MTU mbaya sana,tatizo wa kunituliza...embu kuwa wewe bas
Acha kabisa 😅Namna hii utaishiwa mafuta mapema kwa muandiko tu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
😘😘😘😘❤Niwe Mimi mara ngapi mrembo,hiyo kitu si kwa ajili yangu lakini...
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] cna Mr etiii.Kwaio mr nae ulimuemdea kwa mganga [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
😂😂acha ukorofi bhanaNamna hii utaishiwa mafuta mapema kwa muandiko tu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
😂😂😂anataka useme "ndiyo!" ...[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] cna Mr etiii.
Usinizibie ridhikiii puliiiizzzz.
Tushawaambia kataa ndoa. Vilio vyote vya mwanaume kwa sasa na magonjwa na vifo 70% vinasababishwa na ndoa. Kataa ndoa. Shauri yenuDada anasema amezaa na mumewe mtoto mmoja. Akapata kakijana mchepuko aka fall in love nako. Baadaye akapata wazo kuwa asababishe kuvunjika kwa ndoa ili abaki na kakijana mchepuko.
Wakapanga wamwekee dawa ya kuua nguvu za kiume mumewe. Akafanya hivyo. Mume miaka 3 mashine haisimami. Si kwa ku boost si kwa kushikiriwa si kwa support. Imelala. Then mke akaanzisha chokochoko... "Sipewi unyumba, mume jongoo hapandi mtungi"
Baadaye anakuja gundua kakijana kana mwanamke mwingine. Mwanamke ambako ndo kanasema size yake na mwenye mapenzi naye. Huyu of course milage imesoma sana. Yaani ni kama ulikuwa unatumia land rover 109 sababu ndo gari ambayo ilikuwa kwenye uwezo wako.
Sasa unakuja kupata Toyota Harrier au Rav 4..... Unasemaje?unaachana na hiyo Land Rover yako 109 unachukua mchuma wa kisasa...unaoendana na maisha ya sasa.
Wanawake sisi wanaume jamani tunarogwa kila sehemu. Mtuonee huruma hata kwa mbali. Tunarogwa na wake zetu, tunarogwa na michepuko, tunarogwa na wadada wa kazi, tunarogwa na mama ntilie,tunarogwa makazini...nguvu za kiume tutatoa wapi? Muwe na huruma jamani na sisi ni binadamu.
Sikiliza mwenyewe kwenye video husika.
Kila kona aisee🤣Dah km*mk. Hii dunia haijawahi kua fair. Wanaume tunaonewa sana.
[emoji23][emoji23]acha ukorofi bhana
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] cna Mr etiii.
Usinizibie ridhikiii puliiiizzzz.
Afu nampenda kweli,sijui nifanyaje ajue🙊Na muhurumia huyu kijana mdogo anataka mizigo mikubwa af akiona mwandiko yupo hoi sasa akiona furushi vipi [emoji23][emoji23][emoji23]
Afu nampenda kweli,sijui nifanyaje ajue[emoji87]
Kwa kweli wanihurumie tu mwenzao 😂🚶[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji847][emoji847][emoji847] mwambiie mapema si unajua wanaume tupo wachache asije waiwa na coca oho [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kwa kweli wanihurumie tu mwenzao [emoji23][emoji124]
😳😂embu kamalizane kwanza na new lover with ex kulee....nishacommentAf mnaenda sana ujue zulu ni beach boy af wakishua fulani hivi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Af wewe mzungu fulani mdada usie na makuu wala majivuno upo vey sex [emoji39][emoji39][emoji39][emoji39] au zulu aniachie
[emoji15][emoji23]embu kamalizane kwanza na new lover with ex kulee....nishacomment