DUBULIHASA
JF-Expert Member
- Nov 26, 2016
- 4,446
- 8,215
Bila shaka ni ccm mwenzako ndio maana umemshauri vizuri... Hujawahi kuwa na content kabisa Toka utoke kiunoni mwa mama ako Sa100una njaa sasa wewe, wakupatie uji ama mtori kwanza kama supu hakuna utakaa sawa tu,
uwe una kula vizuri,sawa?🐒
Vipi bangi?Zingatia lishe , maini yamelika na ethanol iliyopo kwa pombe , usipozingatia lishe na uache pombe kabisa jeneza linakuhusu
We kila kitu ni kusifia uislamu tu, au wamekuroga nini?Mkiambiwa pombe ni haramu hamtaki.
Uislam mwema sana.
msema ukweli ni mpenz wa Mungu, nitabaki kusema na kushauri ukweli hapo hapo upendre usipendreeeBila shaka ni ccm mwenzako ndio maana umemshauri vizuri... Hujawahi kuwa na content kabisa Toka utoke kiunoni mwa mama ako Sa100
Kweli mkanganyiko kukanganya.Smart gin si pombe hizo ni takataka zolizo changanyikana na sumu!!😂😂
Kunywa pombe halisi hutojutia
Acha uwongo.MTU akishaanza kutetemeka kwa ajili ya pombe ujue pia Hana nguvu za kiume na hapati hamu ya tendo la ndoa. Kama ana mke ajue huyo mke Ni Mali ya umma hasa bodaboda.
Kiduara ndio kufanyaje Coca?Hata ukishika nyapuu na kiduara wakati wa mzagamuo unatetemeka km jenereta bovu LA king max?
Woiiiiiih [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Endelea kunywa Prof. JANABI anakusubiri kwenye dialysis. Kumbuka kisukari kikiingia hakitoki.Acha uwongo.
Ukienda kwa Mwamposa akuombee kisukari kinatoka fastaEndelea kunywa Prof. JANABI anakusubiri kwenye dialysis. Kumbuka kisukari kikiingia hakitoki.
Kumbuka ukilewa huwezi kuinjoi s€×.
Uamuzi Ni wako.
Utani mwingine sio mzuri.Ukienda kwa Mwamposa akuombee kisukari kinatoka fasta
Huu siyo utani. Yule baba hakuna anachoshindwa. Ndo mana makanisa karibu yote yanamwogopaUtani mwingine sio mzuri.
Pombe siyo rahisi kuacha. Kwani we ni rahisi kuacha sex?Sama kama mikono inatetema maini yanafanyaje? Acha kunywa pombe anza dozi ya maji mengi.
Nimesikia anatibu vipofu, mbona hapiti pale shule ya Uhuru amalize shughuli?Huu siyo utani. Yule baba hakuna anachoshindwa. Ndo mana makanisa karibu yote yanamwogopa
Hawana imani ya kuponywa. Ukiwa na imani unaponaNimesikia anatibu vipofu, mbona hapiti pale shule ya Uhuru amalize shughuli?
Utaacha tu maana kwa hilo linaloendelea usipoacha utavibrate badala ya kutetema hata hiyo glass au chupa hutoweza ishika uipeleke kinywani.Pombe siyo rahisi kuacha. Kwani we ni rahisi kuacha sex?
Mpaka madhara yanaonekana nje huko ndani si ni kushne.Pole mkuu angalau umeyafanahamu madhara yake kwa kuyaona mwenyewe. Kama unataka kutoka huko basi ACHA POMBE. Hauhitaji mwanasaikolojia wala maombi. Amua mwenyewe acha
Kuna majamaa yana kisukari yanagonga k kinoma.Endelea kunywa Prof. JANABI anakusubiri kwenye dialysis. Kumbuka kisukari kikiingia hakitoki.
Kumbuka ukilewa huwezi kuinjoi s€×.
Uamuzi Ni wako.