Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mtachoma sana maini msiyoweza kuyala.Visungura ndio habar ya mjini huku manzese
Ukizidisha pombe hasa pombe kali ndo hivyo kula bia laini kwa kiasiNimefikia hatua ambapo chochote ninachoshika natetemeka hata nikishika kikombe cha chai natetemeka tu kisa safari na smart gin
...ya kwamba mwanaume hacheki ?!!Ma OCD wapo Jeshini huko
Mtoto wa kiume kaza sio kujichekesha
Na bdo tupo itakuwa ivmba kama mam mjamzto wa miez tisa ikifka hapo Israel ayupo mbali ukjamba tu uyu hapo aiseee pole sanaNimefikia hatua ambapo chochote ninachoshika natetemeka hata nikishika kikombe cha chai natetemeka tu kisa safari na smart gin
Ethanol hii hii ambayo nikizidisha kwenye cosmetics inaleta madhara dohZingatia lishe , maini yamelika na ethanol iliyopo kwa pombe , usipozingatia lishe na uache pombe kabisa jeneza linakuhusu
kwa hiyo afe kishenzi tu kama nzi ilhali suluhisho lipo tena lisilo na gharama ?akizingatia ataishi milele?
Nimefikia hatua ambapo chochote ninachoshika natetemeka hata nikishika kikombe cha chai natetemeka tu kisa safari na smart gin
Hahahahahah uwiiiNaona CCM mnashauriana vema. Tunataka muwe na Afya
njema ili mkaibe Tembo vizuri.
IMefika muda sasa uache.Nimefikia hatua ambapo chochote ninachoshika natetemeka hata nikishika kikombe cha chai natetemeka tu kisa safari na smart gin
kufa ni kufa tukwa hiyo afe kishenzi tu kama nzi ilhali suluhisho lipo tena lisilo na gharama ?
acha pombe inaonekana umeme wa mwili upo juu sana usipo disconect mapema utaku-shortcircuitNimefikia hatua ambapo chochote ninachoshika natetemeka hata nikishika kikombe cha chai natetemeka tu kisa safari na smart gin
masikini ccm hainahuruma na vijana humu mnakomaa na nyuzi za uchawa wa mama kumbe mnashindia visunguraNimefikia hatua ambapo chochote ninachoshika natetemeka hata nikishika kikombe cha chai natetemeka tu kisa safari na smart gin