Mkunazi Njiwa
JF-Expert Member
- Apr 22, 2023
- 8,538
- 7,559
[emoji1787]Nyie ndio mnao tuharibia sifa zote nzuri za pombe...[emoji39]
Sasa unapo pombeka bila kula, unatarajia nini...[emoji848]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji1787]Nyie ndio mnao tuharibia sifa zote nzuri za pombe...[emoji39]
Sasa unapo pombeka bila kula, unatarajia nini...[emoji848]
...anamuambukiza kutetemeka...kutetemeka ni umeme mzee[emoji1787]Vip wakat unamla mtu mzigo unakuaje?
Hicho chama cha ajabu sana kumbe kinawashika walevi mikono na kuwalazimisha kufakamia ugimbi....[emoji1787]CCM wameamua kutumaliza na hizi pombe za vichupa vya plastick. Bora wangehalalisha na gongo tujue moja
[emoji1787]Sasa kuwa makini usipate kisukari au presha,Kwa shemeji utakuwa unaweka mkono Tu wenzako wanaweka nanih
pumzika atleast two weeks utaona mabadiliko makuuNimefikia hatua ambapo chochote ninachoshika natetemeka hata nikishika kikombe cha chai natetemeka tu kisa safari na smart gin
[emoji1787]Kwani mlishikiwa bunduki kunywa ivo vichupa?
Kuna mambo mengine hampaswi kuisingizia ccm
[emoji1787][emoji1787]Nyie walevi mkiacha pombe sisi tutamdharau nani? msiache pombe tuendelee kupata watu wa kuwadharau
[emoji1787][emoji1787]unazifakamia mpka unakosa apateiti ya chakula kama mgonjwa na huku una njaa dah,
na si unajua mtu akishaanza kukataa na kukosa apateiti na mambo ya dunia hii, ujue anatamani ya mbinguni aise dah[emoji205]
DaahUkichanganya na tumbaku (fegi) ndio kabisaaa nguvu ya taifa inapotea and on the other hand Nchi inaendelea kwa Kodi za hao hao wanao tengeneza sumu tamu na pendwa mpk mtu afya yake inakongoroka , Speaking from experience....
Pombe rahis + Tumbaku= kifo bila kujua
"Nisipopata pombe sipati usingizi kabisa" (Alisikika Mhenga mmoja akisema kwa msisitizo huku kijasho kikimtoka kwenye pua)pata usingizi wa kutosha.

[emoji1787][emoji1787][emoji1787]"Nisipopata pombe sijpati usingizi kabisa" (Alisikika Mhenga mmoja akisema huku kijasho kikimtoka kwenye pua)![]()
Hizo mitetemeko au tremors huwatokea watu wanakunywa pombe nyingi kila siku...... sasa hiyo huwa dalili ya ukosefu pombe mwilini ....mwili unakuwa umezoea kuwa pombe muda woteNimefikia hatua ambapo chochote ninachoshika natetemeka hata nikishika kikombe cha chai natetemeka tu kisa safari na smart gin
Ukifanya mazoezi hasa,mwili na akili vinarelax, na kujikuta unapata usingizi. Hio bila pombe sipati usingizi ni uteja."Nisipopata pombe sipati usingizi kabisa" (Alisikika Mhenga mmoja akisema kwa msisitizo huku kijasho kikimtoka kwenye pua)![]()
MTU akishaanza kutetemeka kwa ajili ya pombe ujue pia Hana nguvu za kiume na hapati hamu ya tendo la ndoa. Kama ana mke ajue huyo mke Ni Mali ya umma hasa bodaboda.Nimefikia hatua ambapo chochote ninachoshika natetemeka hata nikishika kikombe cha chai natetemeka tu kisa safari na smart gin
Visungura ndio habar ya mjini huku manzeseKama ushatambua shida ilipo huko unapotaka kwenda siko, acha pombe kali hivyo visungura sio vitu vya kunywa.
Ma OCD wapo Jeshini hukoMzee una "OCD" na CCM eee?!! [emoji1787][emoji1787]