Pre GE2025 Kumbe RC Makonda yuko Likizo, Uzushi kwamba anaumwa upuuzwe

Pre GE2025 Kumbe RC Makonda yuko Likizo, Uzushi kwamba anaumwa upuuzwe

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Mh. Nurdin Babu toka Mh. PCM ahapishwe kuwa RC Arusha hata mwaka bado haujaisha je, hiyo likizo ni ya namna gani?.
 
Watanzania wangapi wanaomchukia ?! Kama wewe unamchukia ni wewe kwa sababu unazozijua ila usidanganye kwamba kila unayemchukia watu wengine pia wanaomchukia!
Hata mimi namchukia. Wewe kama wampenda hamia kwake akakupe na msambwanda
Screenshot_20240716_193908_Google.jpg
 
Wakuu habari??

Leo nina swali.

Siyo kawaida kabisa kwa Ndugu Paul kutoonekana kwenye runinga wala mitandao ya kijamii kwa muda mrefu hivi.

Yuko wapi Paul Makonda?

Hakuna duru zozote zinazoweza kutuhabarisha alipo bwana mkubwa?



Mwananchi Wa Kawaida.
Dodoma.
 
Wakuu habari??

Leo nina swali.

Siyo kawaida kabisa kwa Ndugu Paul kutoonekana kwenye runinga wala mitandao ya kijamii kwa muda mrefu hivi.

Yuko wapi Paul Makonda?

Hakuna duru zozote zinazoweza kutuhabarisha alipo bwana mkubwa?



Mwananchi Wa Kawaida.
Dodoma.
Zamani ingekuwepo Gazeti la Mawio au Tanzania Daima tungekuwa tunajua.

Lakini sasa tuendelee na hili.la Tanzanite na Uhuru
 
Wakuu habari??

Leo nina swali.

Siyo kawaida kabisa kwa Ndugu Paul kutoonekana kwenye runinga wala mitandao ya kijamii kwa muda mrefu hivi.

Yuko wapi Paul Makonda?

Hakuna duru zozote zinazoweza kutuhabarisha alipo bwana mkubwa?



Mwananchi Wa Kawaida.
Dodoma.
Mod waunganishe huu uzi na ule mwingine
 
Back
Top Bottom