Mpaji Mungu
JF-Expert Member
- Apr 24, 2023
- 13,544
- 43,537
Yupe sehemu kajifungia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anakamilisha scenes za filamu?Yupe sehemu kajifungia
Huwa hamna kazi za kufanya?Wakuu habari??
Leo nina swali.
Siyo kawaida kabisa kwa Ndugu Paul kutoonekana kwenye runinga wala mitandao ya kijamii kwa muda mrefu hivi.
Yuko wapi Paul Makonda?
Hakuna duru zozote zinazoweza kutuhabarisha alipo bwana mkubwa?
Mwananchi Wa Kawaida.
Dodoma.
Muambiwe mara yuko likizoWakuu habari??
Leo nina swali.
Siyo kawaida kabisa kwa Ndugu Paul kutoonekana kwenye runinga wala mitandao ya kijamii kwa muda mrefu hivi.
Yuko wapi Paul Makonda?
Hakuna duru zozote zinazoweza kutuhabarisha alipo bwana mkubwa?
Mwananchi Wa Kawaida.
Dodoma.
Usikariri Kwenda likizo unaweza kwenda muda wowote kutegemea na sababu. Mfano umeajiriwa una mwezi mmoja na mke wako ni mgonjwa mahututi hapo likizo inakubalikaMtoa mada unaonekana huna taaluma ya sheria na hujui taratibu za utumishi.
hata hivyo mahojiano hayo hukuyasikiliza live.
RAS mwenyewe ni kama alikua hana uhakika na majibu yake, lkn ngoja nikujuze kikanuni ili mtumishi aende likizo ni lazima sio hiari ni lazima mtumishi wa umma awe amefanya kazi kwa muda wa miezi sita au nane kama nitakua nimekosea ndipo aende likizo ya mwaka.
RC Makonda tangu ateuliwe kushika nafasi hiyo nadhani hata miezi mitatu haijaisha.
Kwa sheria ipi aende likizo?
Learn to read between the linesweekumbe taahila?kushikwa kichwa ndio mtuasife