macho_mdiliko
Platinum Member
- Mar 10, 2008
- 25,191
- 48,765
Nani kasema amekufa kwa malaria? Cardial arrest inaweza kutokea hata kwa mtu aliye mzima bila ugonjwa wowote.Ni aibu kwa nchi kumpoteza mtu kama Mkapa kwa malaria. malaria ni ugonjwa unakingika na kutibika kirahisi.