Kumbe sababu ya kifo cha Mkapa ni Cardiac Arrest. Asante sana mwanafamilia William Erio kumaliza sintofahamu hii

Kumbe sababu ya kifo cha Mkapa ni Cardiac Arrest. Asante sana mwanafamilia William Erio kumaliza sintofahamu hii

Kila mtu akifariki hata kama anaumwa Malaria cheti cha kifo lazima kiandikwe cardiomyopathy, kutaka kufahamu mengine zaidi kama wewe siyo next of kin ni umbeya tu.
 
Cardiac arrest haina uhusiano. Malaria inaonyesha alikuwa anaendelea vizuri. So cardiac arrest inawaza mpata mtu yeyote wakati wowote. Commonly inaweza kuwa due to shambulio la moyo. Heart attack. Mara nyingi heart attack ikiwa ni major yaani ikihusisha mishipa mikubwa ya moyo haichukui round ni just seconds you die.



Usiku wa kuamkia leo nimepata Case kama hiyo. Familia imenipigia kuwa baba yao anapata shida kuwa anapata maumivu makali ya kifua na kukosa pumzi. Hakumaliza dk 5 akafa. Nimefika pale kumwangalia alikuwa ameshakufa.

Confirmations inaweza fanyika tu kwa kufanya postmortem. Lakini kwa heshima ya states person sioni kama ni muhimu sana as far hakuna kitu cha kutia shaka.


Familia iko sahihi. Cardiac arrest ni very common
Still connecting the relation of Malaria with Cardiac arrest sipati jibu? but kuna uhusiano mkubwa kati ya upumuaji na shambulio la moyo.

Jiongezeni wakubwa, Israel mtoa bado anawinda roho za watu wenye shingo ngumu.
 
Alipekwa kwa sababu ya malaria, ila baada ya kuangalia matokeo ya ubunge kupitia ccm ndio akapata mshtuko,

Kwanini walimwacha aangalie matokeo ambayo hata vijana huzimia ?
Sijui wataalamu, cardiac arrest ni mara moja tu, sio upate jumatano ufariki Ijumaa

Mbili, issue cardiac nilitegemea angepelekwa Hospitali yetu ya mabingwa wa moyo pale Jakaya Kikwete Cardiac Institute na sio Hospitali Mzna

Tungeacha tu kujadili tumzike Mzee wetu tuendelee na mengine maana tunazidi kuleta mkanganyiko
 
Urio hakutakiwa kuzungumza " kienyeji" kwenye swala la kitaalamu kama hili.

Kuwajibu watu wa mitandaoni nyakati nyingine siyo busara!

Familia haina daktari bingwa wao? Najua kiutaratibu yupo, je alichoongea huyo Erio ndio maelezo ya Dr wa Mzee wetu? Hapo mi na wewe hatujui.
 
Viongozi wtu wajifunze kuwa wakweli na wawazi. Anapofariki kiongozi wa kitaifa hivi, inabidi taifa liambiwe ukweli. Mpaka siyo wa Mama Anna na watoto wake. He was a public figure. Ni wa Watanzania wote. Wasipokuwa wawazi, uongo unachukuwa nafasi yake na kuwa ukweli. Zingekuwa ni nchi zisizokuwa na usiri usiri, Rais was sasa angetangaza kifo na sababu ya kifo hapohapo. Then kusingekuwa na nafasi ya rumours.
 
This makes sense kitaaluma. Huku mtaani sasa wasisema amekufa kwa cardiac arrest. Waseme kile kilichosababisha cardiac arrest, yaani malaria. Kama nilivyosema hapo awali, vifo vyote vinatokea kwa cardiac arrest. Wanachotakiwa kusema ni kilichosabibisha cardiac arrest ya Mkapa.
Wangeniambia kwa umri wake, mwili wake ulivyo thrombisis yaweza tokea au hata kisukari kidogo ningeeelewa ila sio severe malaria..

This is Big No...
 
Mimi huwa akili sina kabisa
1. Cardiac arrest = Story lisaa lizima inawezekanaje?
2. Malaria okay but since when diagnosed by whom and it was how much (Quantitative) and where?????
3. Mikusanayiko + Safari zisizokuwa za lazima + Mikusanyiko (mikutano) without any protection measure = Tatizo la upumuaji??????

Conclusion inaonyesha muunganiko wa haya matukio. Hapo bado wanaendelea (Epidemic of disease occurs with episodes)

Zakuambiwa changanya na zako
 
Hata malaria inafanya tumbo lisikae vizuri. Hasa kama alikuwa anatumia dawa. Mimi hii ya kusema ni corona sikubalini nayo kwa sababu ingekuwa ndiyo hiyo viongozi wasikuwa huru kuchanganyika namna hii unless wanajitafutia balaa.
Mkuu watu wa mitandaoni shida sana,hebu angalia mama magufuli alivyomkumbatia mama mkapa,na magufuli yuko pembeni,hivi ingekuwa korona kweli haya yote yangefanyika

Je madaktari wa mitandaoni ni bora kuliko tulip nao huku uraiani

Wanaosema ni korona wapuuzwe kwa kila namna
FB_IMG_1595696383201.jpg
 
Swala la msingi ni moja tu: Ili watanzania wapone na kuondokana na hivi vifo vya kijinga ambavyo vitaendelea tuu kutokana na huu ujinga basi ni lazima tuelewe kuwa COVID 19 ipo na tujue inasababishaje kifo na namna gani tuishi nayo! Ni hilo tu la kukubaliana na hali ya sasa ya dunia ili tuondokane na huu ujinga uliotutawala sasa!

Other wise tutaendelea kufa tu kwa kujitetea na ujinga kama huu wako nilio quote na mimi nasema tufe tuuu maana hakuna namna sasa! Kenge husikia akiwa anakata roho!
Covid 19 inaweza kumchukua mwamba ndani ya siku 2 tu?
Itoshe kusema shambulio la moyo ndio limemuua mhe.
 
Severe Malaria acha kutufanya wajinga mkuu, ungeniambia labda Marehemu Hayati Mkapa alikuwa na Kisukari kidogo ningekuelewa ila uhusiano wa malaria na magonjwa ya moto ni vitu viwili tofouti labda madaktari waliokuwa wakim attend Mh. Rais walikuwa hawajui wanatibu nini?

Huwezi jua labda walizembea kuchukua vipimo vya sukari na blood pressure ( kumonitor) asubuhi na jioni kujua kama kuna mabadiliko yoyote kabla ya kumpa dawa.

Na dawa za Malaria ambazo zina side effect ya kudisturb mzunguko wa damu sijui? Lawama ziende kwa madaktri waliokuwa wakim attend.
Acha ujuaji wa kitoto....yaani Mkapa ahudumiwe na madaktari WALIOZEMBEA KUMPIMA HIVYO ULIVYOSEMA?!!!yaani wasahau VITAL SIGNS?!!
Mkapa HAWEZI kutibiwa na intern tena civilian 😂😂😂😂😂

Kwann ukimbilie DM?kwani MALARIA KALI haiwez kusabbsha mfumo wa mwili kuparanganyika na kusabbsha mshtuko wa moyo?!!!

Erio amemaliza vyema,mengine ni porojo za watoto wa intern ama MDs...
 
Love it, hate it, severe malaria inaua. Severe malaria inaweza athiri ubongo, mapafu, figo, nk. Neno ya muhimu hapo ni SEVERE. Tuache kulazimisha mambo ambayo hayapo. Tuwaamini madaktari.
Wangeniambia kwa umri wake, mwili wake ulivyo thrombisis yaweza tokea au hata kisukari kidogo ningeeelewa ila sio severe malaria..

This is Big No...
 
Cardiac arrest haina uhusiano. Malaria inaonyesha alikuwa anaendelea vizuri. So cardiac arrest inawaza mpata mtu yeyote wakati wowote. Commonly inaweza kuwa due to shambulio la moyo. Heart attack. Mara nyingi heart attack ikiwa ni major yaani ikihusisha mishipa mikubwa ya moyo haichukui round ni just seconds you die.



Usiku wa kuamkia leo nimepata Case kama hiyo. Familia imenipigia kuwa baba yao anapata shida kuwa anapata maumivu makali ya kifua na kukosa pumzi. Hakumaliza dk 5 akafa. Nimefika pale kumwangalia alikuwa ameshakufa.

Confirmations inaweza fanyika tu kwa kufanya postmortem. Lakini kwa heshima ya states person sioni kama ni muhimu sana as far hakuna kitu cha kutia shaka.


Familia iko sahihi. Cardiac arrest ni very common
Ndio maana cardiac arrest kadri umri unavyosonga mbele kuna uwezekano mkubwa wa hadi asilimia 70% kupata shambulizi la moyo...

Nahisi umri na mwili umechangia kwa kiasi kikubwa..

Apumzike kwa Amani Hayati B.W. Mkapa Amen.
 
Back
Top Bottom