Kumbe sababu ya kifo cha Mkapa ni Cardiac Arrest. Asante sana mwanafamilia William Erio kumaliza sintofahamu hii

Kumbe sababu ya kifo cha Mkapa ni Cardiac Arrest. Asante sana mwanafamilia William Erio kumaliza sintofahamu hii

Still connecting the relation of Malaria with Cardiac arrest sipati jibu? but kuna uhusiano mkubwa kati ya upumuaji na shambulio la moyo.

Jiongezeni wakubwa, Israel mtoa bado anawinda roho za watu wenye shingo ngumu.
Cardiac arrest ni matokeo ya mwisho, nyuma yake huwa kuna mambo mengi including infection e.g Malaria, yaweza kuwa high blood pressure, Diabetes, etc. There is no need to continue debating on the cause of death. Mtu akipata Severe malaria anaweza kupoteza maisha within.short time.
 
Alikua anafuatilia matokeo ya uchaguzi, nadhani kunamatokeo yalimpa mshtuko.
Mkuu, mimi nina uelewa kiasi kidogo wa haya mambo. Ukiangalia vyeti vyote vya kifo, kuna kitu kinaitwa "immediate cause of death". Immediate cause ya vifo vyote duniani ni cardio-pulmonary arrest. Ufe kwa cancer, COVID-19, HIV/AIDS, kuishiwa damu wakati wa kujifungua nk, ili ufe ni lazima hivi visababishi visabibishe "cardio-pulmonary arrest" (moyo na mapafu kutokufanya kazi ama moyo kufa). Alichotakiwa kusema Erio ni nini kimesababisha cardiac arrest kwa mzee wetu. Hicho pengine hatokisema.

Nikupe mfano. Ni kama mtu kasema nyumba imebomoka bila kutoa chanzo chake. Inaweza kubomoka kwa maporomoko, kubomolewa na grader kwa vile umejenga barabarani nk. Nadhani umeelewa.

Update: Kwa mujibu wa wachangiaji wengi humu wanasema ni malaria. Kwa hiyo malaria ndio pengine imesababisha "cardic arrest" kwa mzee. Lakini kusema tu "cardia arrest" ni sawa na kusema kifo chake kimesababishwa na kifo.
 
Usiwe mgumu kuelewa. Sasa kama pale palianza kuwa na hiyo idara unadhani imevunjwa baada ya JKCI kuanzishwa?

Au ndo wanachukulia utaalamu pale/ kushea wataalam

Maana yangu ilikua kwamba pale wana uwezo mkubwa kuliko hata kule Muhimbili
Sizungumzi uwepo wa cardiac unit ilikuwepo kabla ya JKCI na ipo ,nachosema kwa sasa JKCI wana huduma za Cardic bora zaidi. Nadhani hukunielewa vizuri. JKCI ni taasisi inayojitegejemea haiko chini ya Muhimbili. Kuna tofauti ya kuwa na Cardiac Unit na Cardiac Institute. Anyway kama unasema hapo wana utaalamu na huduma bora kuhusu Cardiac issues kuliko JKCI sawa. Shukran Mkuu
 
Unazusha.. msemaji anasema alikua hospitali na kilicho mpeleka ni malaria.

Akiwa hapo hospitali hiyo jioni alikua anafuatilia uchaguzi kwenye TV.. mara ghafla heart attack
Msemaji anasema Rais Mkapa kafia kwenye Kiti ghafla. JK anasema aliugua na alipata lisaa lizima kuongea nae kabla ya umauti. UTATA!
 
Usichanganye cardiac attack na cardiac arrest. Kuwa na elimu nusu kunaweza kuwa na madhara makubwa kuliko kutokuwa na elimu kabisa.
Muwe mnaelewa kwanza kabla ya kubisha. Maelezo ni kuwa aliugua malaria kwanza ndiyo akalazwa. Sasa hiyo cardial arrest ilimpata ghafla wakati amelazwa. Pengine ungehoji labda dawa au matibabu aliyopata ndiyo yalileta hiyo hali? Au ilikuwa ni coincidence tu?
 
Emb kadanganye pimbi wenzako huko wasiojielewa! Unaijua malaria mpaka stage ya kuua ilivyokuwa wewe? Unatoka kuangalia maccm kwenye tv kisha unasema ulikuwa na malaria iliyosababisha kifo?

Pili unajua shambulio la moyo linamkuta mtu akiwa stage ipi?

Tatu nikufahamishe kuwa upo uhusiano mkubwa sana wa ukosefu wa oxygen ya kutosha mwilini na shambulio la moyo! Jiongeze pimbi wewe!
😂😂😂😂 Haya mm pimbi loooh
Endelea kujifurahisha kutokana na msongo wa mawazo........😂😂
 
Kwanini hawataki kutaja hiyo hospitali ya usalama.

Je viongizi hawawezi kufanyiana madudu hapo kijitinyama?

Swali langu ni la kipumbavu sana.
Wewe P Ulisikiaje minongono hii,au na wewe ni wale jamaa wa systerm wa kuweka mambo sawa?
Well done, Hoja yako jana ilikuwa ya msingi sana
Kweli Ikulu walikurupuka kutowa taarifa pumgufu.
Huku mtaani kwangu Tayari speculation zilikuwepo ya kuwa eti 'Magu hakuufurahia ushauri wa Mkapa wa Tume huru''
Na kwa hiyo Mkapa alimnunia Magu,
Na kwa hiyo Magu kamtumia wale jamaa wasiojulikana
Na kwa hiyo wamemkolimba.
Haya ndio maneno yaliyokuwa yanaanza kusambaa mtaani,
Kisa nini Taarifa ya msiba kutolewa pungufu.
Naona sasa mambo yako sawa.
Thank You P.
 
Viongozi wtu wajifunze kuwa wakweli na wawazi. Anapofariki kiongozi wa kitaifa hivi, inabidi taifa liambiwe ukweli. Mpaka siyo wa Mama Anna na watoto wake. He was a public figure. Ni wa Watanzania wote. Wasipokuwa wawazi, uongo unachukuwa nafasi yake na kuwa ukweli. Zingekuwa ni nchi zisizokuwa na usiri usiri, Rais was sasa angetangaza kifo na sababu ya kifo hapohapo. Then kusingekuwa na nafasi ya rumours.

Mkuu sio tu kuwa wawazi ila kutumia simple reasoning unapotoa taarifa ambayo ni ambiguous- haijakamilika wakati kuna dozens of experts, labda kama imeamuliwa taarifa iwe hivyo “kwa sababu maalum”.

BTW zama hizi wataalamu wetu watafiti etc naona wamekua ziii wanavuta salary tu siku ziende hakuna anayekohoa facts!
 
Wanabodi,
Kumbe sababu ya kifo cha Mpendwa wetu, Benjamin William Mkapa ni Cardiac Arrest!.

Asante sana Mwanafamilia wa familia ya Mkapa, William Erio, kuusema ukweli huu na kumaliza rasmi ile sintofahamu ya chanzo cha kifo, ambayo imezua mijadala kwenye mitandao ya kijamii ikiwemo JF.

Kama Tangazo la kifo lingezingatia sheria tangu pale mwanzo, wala kusingetokea sintofahamu yoyote!.

Hivyo japo haijasemwa ni JF, lakini amini usiamini, mabandiko kama haya

Tangazo la kifo cha Benjamin Mkapa, Kurungenzi ya Mawasiliano Ikulu lawamani. Inahitaji kusaidiwa kumsaidia Rais - Jicho Letu Ndani ya Habari

Japo yanalaumiwa kwa kuonekana watu wana mind vitu vidogo vidogo ambayo sio vya msingi, lakini yanasaidia.

Chanzo cha kifo cha ghafla cha any state leader ambaye hajawahi kutamkwa kusumbuliwa na maradhi yoyote, automatically kita send a shock wave kwenda viral.

Baada ya kauli hii, sasa minongo yote kuhusu chanzo cha kifo imemalizwa rasmi.
Naombeni sana, wanabodi, tuwe na heshima kwa viongozi wetu na tuwe na heshima kwa marehemu, mkiisha ambiwa ukweli wa familia, then tuupokee ukweli huu, tuuamini, na kumheshimu Marehemu kwa kuto toa comments zozote negative based on hisia!.

RIP, Mhe. Rais Mstaafu, Benjamin William Mkapa.

Paskali
Paskal huo hauwezi kuwa ukweli kwa wote kila mmoja amebakia na kile anachokiwaza, binafsi najua mzee kafariki kwa covid 19 lakini wana familia kwa kuogopa kutengwa na jamii kwa siku 14 , ukweli kila mmoja anao wa kwake acha familia waseme yao lakini wengine watabaki na yao
 
Usichanganye heart/cardiac attack na cardiac arrest. Tafadhali msidandie hii taaluma. Jaribu hata ku-google utaelewa.
Unazusha.. msemaji anasema alikua hospitali na kilicho mpeleka ni malaria.

Akiwa hapo hospitali hiyo jioni alikua anafuatilia uchaguzi kwenye TV.. mara ghafla heart attack
 
Ila wananchi waache uzushi..

Wengine wanasema eti ili kuficha ujio wa lissu,

Nani asiye na ubinadamu afanye haya eti kuogopa lissu.

Nadhani wananchi watulie na wazingatie sababu zinazo elezwa.
 
Back
Top Bottom