ERoni
JF-Expert Member
- Jan 9, 2013
- 48,052
- 104,677
Tunajua ipo na inaua, imeua wengi lakini sio kila kifo source ni Corona, kuongea vitu hatuna uhakika navyo ni kosa kisheria. Kama kweli ingekuwa Corona watu wasingejiachia namna walivyofanya tangu juzi mzee alivyong'ata shuka.Coronavirus ipo. Kasome side effects za Corona.