Tunajua ipo na inaua, imeua wengi lakini sio kila kifo source ni Corona, kuongea vitu hatuna uhakika navyo ni kosa kisheria. Kama kweli ingekuwa Corona watu wasingejiachia namna walivyofanya tangu juzi mzee alivyong'ata shuka.Coronavirus ipo. Kasome side effects za Corona.
Sizungumzi uwepo wa cardiac unit ilikuwepo kabla ya JKCI na ipo ,nachosema kwa sasa JKCI wana huduma za Cardic bora zaidi. Nadhani hukunielewa vizuri. JKCI ni taasisi inayojitegejemea haiko chini ya Muhimbili. Kuna tofauti ya kuwa na Cardiac Unit na Cardiac Institute. Anyway kama unasema hapo wana utaalamu na huduma bora kuhusu Cardiac issues kuliko JKCI sawa. Shukran Mkuu
Gwifula gwa moyo.Cardiac arrest kwa kisukuma ndio nini?
Wewe akili ndio huna, alikua anaumwa Malaria na anaendelea vzr akifuatilia habari ktk Tv, alipokua amekaa kwenye kiti akajisikia ghafla vibaya Cardiac arrest, sasa ww ulitaka wampeleke Jakaya Kikwete Cardiac kwa tatizo la Malaria ?Sijui wataalamu, cardiac arrest ni mara moja tu, sio upate jumatano ufariki Ijumaa
Mbili, issue cardiac nilitegemea angepelekwa Hospitali yetu ya mabingwa wa moyo pale Jakaya Kikwete Cardiac Institute na sio Hospitali Mzna
Tungeacha tu kujadili tumzike Mzee wetu tuendelee na mengine maana tunazidi kuleta mkanganyiko
Mkurugenzi PPF now PSSSF
Asante Kaka Mimi maamuma tu Muuza Al kasus Tandale sema ninapenda kusoma vitabu vya elimu tofauti km alivyosema MAREHEMU Mkapa kuwa TUPENDE KUJISOMEA na tusiwe MAKANJANJA MALOFA km baadhi ya wale waandishi.....watu wakamchukia Mkapa kumbe aliwaambia ukweli maskini mzee wa watu.Uko vizurii chief
Kwani kuna familia wanasema wana mgonjwa wa corona siku hizi? Kila mtu anafanya siri huficha kisha kusingizia magonjwa mengineTunajua ipo na inaua, imeua wengi lakini sio kila kifo source ni Corona, kuongea vitu hatuna uhakika navyo ni kosa kisheria. Kama kweli ingekuwa Corona watu wasingejiachia namna walivyofanya tangu juzi mzee alivyong'ata shuka.
In most cases heart attack inasababisha Cardiac arrest.Wasomaji kabla ya kuchangia, jaribu kujua tofauti kati ya cardiac arrest na cardiac (heart) attack. Taarifa inayoongelewa hapa haisemi Mkapa amekufa kwa heart attack.
Umeona watu wanavyojiachia? Sijui lakini naamini ingekuwa Corona tahadhari ingechukuliwa. Kingine, kumbuka Mkapa alikuwa 82 yo, Mungu alimpa maisha marefu tu, wengi miaka hii tunakata kamba 30s, 40s na 50s.Kwani kuna familia wanasema wana mgonjwa wa corona siku hizi? Kila mtu anafanya siri huficha kisha kusingizia magonjwa mengine
Mshtuko wa Moyo!Cardiac arrest kwa kisukuma ndio nini?
Erio kasema ALIKUWA anaangalia taarifa ya hbr na uchaguz wa viti maalum,baadaye akasimama...alipokaa ndo ukawa UMAUTI...Sasa Jakaya kikwete anashindwaje kuwa alimuona a day or two before?Kwa mazingira aliyoyazungumza mtoto sijui kikwete alienda kumuona wapi
Wananchi wamejipaka vitakasa mikono na pia ukumbuke kwa Tanzania Corona ilishatangazwa imekwisha lazima wajiachie tu ingawa corona ipoUmeona watu wanavyojiachia? Sijui lakini naamini ingekuwa Corona tahadhari ingechukuliwa. Kingine, kumbuka Mkapa alikuwa 82 yo, Mungu alimpa maisha marefu tu, wengi miaka hii tunakata kamba 30s, 40s na 50s.
In most cases heart attack inasababisha Cardiac arrest.