6 Pack
JF-Expert Member
- Apr 17, 2022
- 2,819
- 5,996
Za mida hii wakuu,
Yan week 2 zilizopita nimejitahidi kukwepa vishawishi na mitego ya huyu binti, lakini leo nimefika mwisho.
Last night alinipigia simu akidai kuwa anaumwa niende nikamuone, basi mimi leo nilipotoka kwenye shughuli za kutafuta riziki nikatia mguu kwa shemeji kumjulia hali. Aisee, ile kufika mgonjwa akawa mgonjwa, mara hapa panauma naomba unifinye, mara shusha mkono kidogo unifanyie massage kidogo kiunoni mara, shuka tena chini.
Binti rangi ya Kiyahudi, nywele za Kiarabu, umbo la Kitutsi (namaanisha dondola), vijicho vidogo dogo vya kusinzia mithili ya Mchina. Nikaona isiwe tabu maana ile kumshika shika kumfanyia massage ni sawa na mtu ambae tayari ashakula kichwa cha ng'ombe, kwahiyo iweje ashindwe nyama? Nikaingia mzima mzima na kuandika historia yangu ya kwanza kwenye kichwa, akili na mawazo ya yule binti.
I mean nikajikuta natimize ule msemo unaosema 'mtoto akililia wembe mpe umkate'. This is not a something i was planning to do wakuu, it's how it is. Just from nowhere nimeshawishiwa, nikashawishika.
Aisee hiyo patashika nguo kuchanika haikuwa ya kawaida. Style za kulala, kukaa na kutembea chumba kizima zimemuacha kila mmoja wetu akiwa hoi. Usifanye mchezo kumpakata bint wa kilo 70 na kuzunguka zunguka naye chumbani, mithili ya mndengereko anaepeta mchele kwa ungo huku kata ikiwa ndani ya mtungi (watu wazima wanaelewa).
Right now nimemuacha binti hawezi hata kunyanyuka kwenda dukani, yaani yupo nyakanyaka, na bado kaniomba mechi nyingine weekend hii.
Sasa nafikiria niingize timu uwanjani au niweke mpira kwapani.
Yan week 2 zilizopita nimejitahidi kukwepa vishawishi na mitego ya huyu binti, lakini leo nimefika mwisho.
Last night alinipigia simu akidai kuwa anaumwa niende nikamuone, basi mimi leo nilipotoka kwenye shughuli za kutafuta riziki nikatia mguu kwa shemeji kumjulia hali. Aisee, ile kufika mgonjwa akawa mgonjwa, mara hapa panauma naomba unifinye, mara shusha mkono kidogo unifanyie massage kidogo kiunoni mara, shuka tena chini.
Binti rangi ya Kiyahudi, nywele za Kiarabu, umbo la Kitutsi (namaanisha dondola), vijicho vidogo dogo vya kusinzia mithili ya Mchina. Nikaona isiwe tabu maana ile kumshika shika kumfanyia massage ni sawa na mtu ambae tayari ashakula kichwa cha ng'ombe, kwahiyo iweje ashindwe nyama? Nikaingia mzima mzima na kuandika historia yangu ya kwanza kwenye kichwa, akili na mawazo ya yule binti.
I mean nikajikuta natimize ule msemo unaosema 'mtoto akililia wembe mpe umkate'. This is not a something i was planning to do wakuu, it's how it is. Just from nowhere nimeshawishiwa, nikashawishika.
Aisee hiyo patashika nguo kuchanika haikuwa ya kawaida. Style za kulala, kukaa na kutembea chumba kizima zimemuacha kila mmoja wetu akiwa hoi. Usifanye mchezo kumpakata bint wa kilo 70 na kuzunguka zunguka naye chumbani, mithili ya mndengereko anaepeta mchele kwa ungo huku kata ikiwa ndani ya mtungi (watu wazima wanaelewa).
Right now nimemuacha binti hawezi hata kunyanyuka kwenda dukani, yaani yupo nyakanyaka, na bado kaniomba mechi nyingine weekend hii.
Sasa nafikiria niingize timu uwanjani au niweke mpira kwapani.