Kumbe shemeji mtamu namna hii, basi nina mtihani mkubwa huko mbeleni

Hawa ndiyo vijana wa uvccm na bavicha mbwa nyie
 
Thread za kipuuzi zimeanza kuwa nyingi sana.
Huo ni mtizamo wako mkuu. Binafsi sijawahi kuandika thread ya hovyo hata siku moja. Sema ndo hivyo ukionacho wewe chongo wengine wanakiona kengeza.
 
Hilii nalo likatazamwe muheshimu waziri wamahusianoo...vijana wanakulaa mashemeji zao watkuja kula mpk dada zao
Mimi nimekula kwa urefu wa kamba yangu mkuu.
 
Kwa mambo haya kamwe mvua haitanyesha.
 
Nina huu mtihani nawaza namna ya kuushinda, sista kaenda chuo mdogo mtu naona ukaribu umekuwa mkubwa sana sms nyingi just a week tu toka sistaake aondoke. Mara ooo shem mm saiz nipo singo mara ntaftie mtu wa kuniliwaza mara nimekumiss
 
Vijana waktz hawana jengin waliwazalo zaid ya ngono tu. wakitoka apo wamlalamikie nape kwa kupanda vifurushi vya Internet kwa kwel taifa limepata hasara kubwa kwa vijana hawa
 
Ni wa rafiki yang mkuu, ila jamaa kaenda kutafuta maisha mbele ya safari na kuniachia mimi nimlindie dem wake.
Huyo jamaa yako boya sana. Yaani amejilipua na kuamua kumwachia fisi alinde zizi lake alimomfungia kondoo wake.
 
chai ya baridi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…