Kama vile hakuna nchi inaitwa Tanganyika au siyo?We ng'ombe hakuna nchi duniani inaitwa Dubai
Mpendwa unamwelewesha maurid khanga,,, !Hujaelewa, why? Yeye concern yake ni kuwa DP World anakuja kuwekeza nini? anatumia pesa yoyote kuwekeza? Nenda tweer kamsome vizuri.......
Hayo amekwambia Maria huna ushahidi link wala extract kuonyesha uhusiano wa hizo hela na uwekezaji unaokusudiwa kufanywa na WB ata vitu anavyoongelea tofauti na wanavyoenda fanya DPW.Hela ni mkopo wa WB utakaolipwa na kodi za watanzania/watanganyika
Peleka umalaya wako huko Mimi sili wazeeKama vile hakuna nchi inaitwa Tanganyika au siyo?
Peleka hiyo K Kwa wazee wenzako Mimi Huwa sitombi wazeeKama vile hakuna nchi inaitwa Tanganyika au siyo?
Uzuri ni kuwa kuna.mkatabakati ya serikali kuu ya Tanzania na serikali ya mtaa Dubai, au siyo?
Sawa lkn mkataba haueleweki na wanaotakiwa kutuelewesha mpaka leo wako kimyaa, watuache na umaskini wetu hatuoni cha maana kutoka kwenye gesi.Hayo yote ya nini jambo muhimu ni ufanisi ili serikali iongeze mapato kupitia bandari........na hilo Dp world ndo imekuja kutekeleza basi, hata kama mkataba ni wa miaka 100 as long serikali ina pata faida na inahudumia wananchi wake vizuri na kufanya maendelo hamna shida tuache fitina za kijinga.
Wala asali katika ubora wenuHayo yote ya nini jambo muhimu ni ufanisi ili serikali iongeze mapato kupitia bandari........na hilo Dp world ndo imekuja kutekeleza basi, hata kama mkataba ni wa miaka 100 as long serikali ina pata faida na inahudumia wananchi wake vizuri na kufanya maendelo hamna shida tuache fitina za kijinga.
Ni hivi unaweza kuingia mikataba kwa aina mbili kupitia BIT au IGA zote ni frameworks za kuingia mikataba. Kukuwa BIT ya nchi mbili uitaji IGA.Asante sana kwa ufafanuzi, Mkuu. Umeliweka vizuri.
Nikukumbushe tu kuwa baadhi ya viongozi wa serikali wanasema ni mkataba (Kuna mahali Waziri Mkuu alinukuliwa) ingawa hapa unatwambia ni framework (kiswahili chake sijui).
Waziri Mkuu: Bandari imepewa DP-World kwa kuwa utendaji wa TICTS ni mdogo
Akielezea suala linaloendelea kuhusu mkataba wa DP-World na Tanzania ametoa sababu kuwa ni utendaji kazi mdogo wa TICTS ambao umesababisha meli nyingi ziwe zinashushia mizigo Lamu, Mombasa au Afrika kusini hali ambayo imepunguza wateja wa Bandari ya Dar es salaam. Waziri Mkuu, Kassimu Majaliwa...www.jamiiforums.com
Sasa ninaomba kama itawezekana kutupatia frameworks ambazo zilitumiwa na nchi ambazo DP World wanaendesha Biashara Yao hasa kwenye hayo majiji uliyotaja. Lengo tuone kama na sisi tupo kwenye right track kuelekea kwenye "Rotterdam Mpya" !!!
Baina ya Tpa na bandari, Hebu Soma vizuri. TOFAUTISHA mkataba wa Iga na kampuni husikaSasa kwanini unasema hakuna mkataba ulioingiwa?
Hayo mapato yataongeza kutoka sh? Mpaka sh? Na ni baada muda gani toka akabidhiwe hiyo bandari na anatarajiwa kuwekeza sh? Ili kukuza hayo mapato? Na je yeye atafaidikaje? Au je mapato yasipoongezeka nini kitafanyika? Yawezekakana mapato yakaongezeka baada ya miaka 100 je na hapo unaona ni sawa?JITAMBUE NDUGU.Let us agree to disagree, usinilazimishe niamini unacho amini, hoja yangu ni kwa DP world itaongeza ufanisi na mapato serikalini yataongezeka.......sisi wabongo tumeshindwa kuendesha bandari kwa mda mrefu
Kuna mfano wa nchi alikowekeza DP W na kuwaachia wenyeji bandari hizo na ufanisi juu...
Hii mifano ingesaidia kuelewesha wasioelewa. La tunayoyaona ni mifano ya migogoro na kesi za mahakaman
Mkataba wa IGA ni wa miaka mingapi?Baina ya Tpa na bandari, Hebu Soma vizuri. TOFAUTISHA mkataba wa Iga na kampuni husika
Vipengele vipi, mbona vyote mwanasheria wa wizara ya uchukuzi amedadavua kwa kina mara kadhaa kwenye media. Alikuwa kwenye mjadala wa malumbano ya hoja ITV, alikuwa Azam na jana alikuwa kwenye Club ya Msigwa.Jibuni hoja, raia uwekezaji wanautaka ila vipengere vinavyoonekana vibovu virekebishwe. Siyo kusema tu ooh haya nimakubaliano ya awali., ujinga tu.
Kuna BIT zilizopitishwa na mabunge yao. Panapo BIT uhitaji IGA, ila ni kitu kile kile framework.Inawezekana mifano ya antwerp na rotterdam si sawa na hapa kwetu. Huko kwa wenzetu umetaja tu operational contract je wana framework contract au la
Na hizo framewor contract kama zipo ni sawa na ya kwetu.
Bila shaka hizo framework contract zinapitishwa na mabunge ya nchi husika kama huu ulio pita hapa kwetu. Hivo ni nyaraka ya umma
Mfano wa framework tulosikia , bila kuuona ni huko Marekani walikokataa uwekezaji huu wa DP.
Kama ulivyosema, utafiti unahitajika kwenye suala hili kujua wenzetu wamefanyaje ili kupata kitu kizuri cha manufaa.
Na si kuingia jambo kibubusa kwa ka kitandugaho
Asante sana Mkuu.Ni hivi unaweza kuingia mikataba kwa aina mbili kupitia BIT au IGA zote ni frameworks za kuingia mikataba. Kukuwa BIT ya nchi mbili uitaji IGA.
Hiyo hapo BIT ya U.K. na UAE general framework ina mambo yale yale kwa asilimia kubwa na IGA ya Tanzania.
Netherlands - United Arab Emirates BIT (2013) | International Investment Agreements Navigator | UNCTAD Investment Policy Hub
Discover UNCTAD’s one stop shop on all investment policy matters ranging from national and international regulation to cutting-edge publications, news and discussions.investmentpolicy.unctad.org
BIT ya U.A.E na Netherlands utakutana na mambo yale yale yaliyomo kwenye IGA.
BLEU (Belgium-Luxembourg Economic Union) - United Arab Emirates BIT (2004) | International Investment Agreements Navigator | UNCTAD Investment Policy Hub
Discover UNCTAD’s one stop shop on all investment policy matters ranging from national and international regulation to cutting-edge publications, news and discussions.investmentpolicy.unctad.org
UAE na Belgium.
Tangu lini aliyekupa ugali umseme vibaya.., sanaa tu hiyo. Alizungumzia article 22 an 23Vipengele vipi, mbona vyote mwanasheria wa wizara ya uchukuzi amedadavua kwa kina mara kadhaa kwenye media. Alikuwa kwenye mjadala wa malumbano ya hoja ITV, alikuwa Azam na jana alikuwa kwenye Club ya Msigwa.
Wewe una kipengele gani ambacho ujakielewa?
Dubai ni Emirate yenye Mamlaka yake, Duniani kumebaki Emirate Kama 10 tu, Qatar, Kuwait, Afghanistan na hizo Emirate 7 zinazounda Uae.We ng'ombe hakuna nchi duniani inaitwa Dubai
Hii ni kutoka report ya Worl Bank .................................BY MARIA SARUNGI
Muhimu kuhusu DPW na mradi wa Benki ya Dunia
Pesa za mkopo wa @WorldBankAfrica zimetumika (na kukamilika)
👉🏽 kupanua na kuimarisha Gati 1-7 na kujenga gati mpya Gerezani
👉🏽kupanua mlango wa bandari hadi Gati 11
👉🏽kuboresha na kuunganisha na reli
👉🏽 Kupanua na kuimarisha Gati 8-11
👉🏽Kuna RORO terminal ilijengwa na kukamilishwa
Sasa tuangalie wanachodai DP World kufanya kwa mujibu wa IGA
Cha kwanza kikubwa eti kujenga, kuendesha na kusimamia RoRo terminal na Gati 1-4 na gati 5-7
🙄
Yaani pesa zote zimewekezwa za walipa kodi kupitia mradi wa sasa wa WB alafu wao wanakuja kuendesha na kusimamia? Wanawekeza nini??
Ndiyo maana mkataba haujawekwa thamani ya uwekezaji wao 😄 kumbe wanadandia mradi unaoelekea kukamilika waje wajisifu!
YAANI KIUFUPI WANAKUJA KUTEKELEZA MRADI WA PESA ZA MKOPO WA WORLD BANK
Nyieeeeeeeeee!
Mnaotetea mkataba huu mnajua kuwa mnatumika kutetea ulaji wa genge ndogo!?
Ila #TutaelewanaTu
Sijui na Usihamishe Magoli.Mkataba wa IGA ni wa miaka mingapi?
Habari ya Maria Sarungi haina hadhi ya kuaminika.Hii ni kutoka report ya Worl Bank .................................BY MARIA SARUNGI
Muhimu kuhusu DPW na mradi wa Benki ya Dunia
Pesa za mkopo wa @WorldBankAfrica zimetumika (na kukamilika)
👉🏽 kupanua na kuimarisha Gati 1-7 na kujenga gati mpya Gerezani
👉🏽kupanua mlango wa bandari hadi Gati 11
👉🏽kuboresha na kuunganisha na reli
👉🏽 Kupanua na kuimarisha Gati 8-11
👉🏽Kuna RORO terminal ilijengwa na kukamilishwa
Sasa tuangalie wanachodai DP World kufanya kwa mujibu wa IGA
Cha kwanza kikubwa eti kujenga, kuendesha na kusimamia RoRo terminal na Gati 1-4 na gati 5-7
🙄
Yaani pesa zote zimewekezwa za walipa kodi kupitia mradi wa sasa wa WB alafu wao wanakuja kuendesha na kusimamia? Wanawekeza nini??
Ndiyo maana mkataba haujawekwa thamani ya uwekezaji wao 😄 kumbe wanadandia mradi unaoelekea kukamilika waje wajisifu!
YAANI KIUFUPI WANAKUJA KUTEKELEZA MRADI WA PESA ZA MKOPO WA WORLD BANK
Nyieeeeeeeeee!
Mnaotetea mkataba huu mnajua kuwa mnatumika kutetea ulaji wa genge ndogo!?
Ila #TutaelewanaTu