Kumbe Tanzania ilikopa fedha World Bank kuendeleza bandari, DP World anakuja kutumia fedha hizo kufanya kazi ambayo Tanzania imeikopea fedha WB-SOMA

Kumbe Tanzania ilikopa fedha World Bank kuendeleza bandari, DP World anakuja kutumia fedha hizo kufanya kazi ambayo Tanzania imeikopea fedha WB-SOMA

We ng'ombe hakuna nchi duniani inaitwa Dubai
Kama vile hakuna nchi inaitwa Tanganyika au siyo?

Uzuri ni kuwa kuna.mkatabakati ya serikali kuu ya Tanzania na serikali ya mtaa Dubai, au siyo?
 
Hela ni mkopo wa WB utakaolipwa na kodi za watanzania/watanganyika
Hayo amekwambia Maria huna ushahidi link wala extract kuonyesha uhusiano wa hizo hela na uwekezaji unaokusudiwa kufanywa na WB ata vitu anavyoongelea tofauti na wanavyoenda fanya DPW.

Walau kwenye maelewano ya awali MoU iliyosainiwa Dubai ni $500. Hiyo $21m ainunui ata crane tatu za kisasa zinazohitajika kila berth. Achilia mbali kutekeleza miradi mingine iliyotajwa.

Maria ana audience yake you are better than that.
 
Kama vile hakuna nchi inaitwa Tanganyika au siyo?

Uzuri ni kuwa kuna.mkatabakati ya serikali kuu ya Tanzania na serikali ya mtaa Dubai, au siyo?
Peleka hiyo K Kwa wazee wenzako Mimi Huwa sitombi wazee
 
Hayo yote ya nini jambo muhimu ni ufanisi ili serikali iongeze mapato kupitia bandari........na hilo Dp world ndo imekuja kutekeleza basi, hata kama mkataba ni wa miaka 100 as long serikali ina pata faida na inahudumia wananchi wake vizuri na kufanya maendelo hamna shida tuache fitina za kijinga.
Sawa lkn mkataba haueleweki na wanaotakiwa kutuelewesha mpaka leo wako kimyaa, watuache na umaskini wetu hatuoni cha maana kutoka kwenye gesi.
 
Hayo yote ya nini jambo muhimu ni ufanisi ili serikali iongeze mapato kupitia bandari........na hilo Dp world ndo imekuja kutekeleza basi, hata kama mkataba ni wa miaka 100 as long serikali ina pata faida na inahudumia wananchi wake vizuri na kufanya maendelo hamna shida tuache fitina za kijinga.
Wala asali katika ubora wenu
 
Asante sana kwa ufafanuzi, Mkuu. Umeliweka vizuri.

Nikukumbushe tu kuwa baadhi ya viongozi wa serikali wanasema ni mkataba (Kuna mahali Waziri Mkuu alinukuliwa) ingawa hapa unatwambia ni framework (kiswahili chake sijui).


Sasa ninaomba kama itawezekana kutupatia frameworks ambazo zilitumiwa na nchi ambazo DP World wanaendesha Biashara Yao hasa kwenye hayo majiji uliyotaja. Lengo tuone kama na sisi tupo kwenye right track kuelekea kwenye "Rotterdam Mpya" !!!
Ni hivi unaweza kuingia mikataba kwa aina mbili kupitia BIT au IGA zote ni frameworks za kuingia mikataba. Kukuwa BIT ya nchi mbili uitaji IGA.


Hiyo hapo BIT ya U.K. na UAE general framework ina mambo yale yale kwa asilimia kubwa na IGA ya Tanzania.


BIT ya U.A.E na Netherlands utakutana na mambo yale yale yaliyomo kwenye IGA.


UAE na Belgium.
 
Let us agree to disagree, usinilazimishe niamini unacho amini, hoja yangu ni kwa DP world itaongeza ufanisi na mapato serikalini yataongezeka.......sisi wabongo tumeshindwa kuendesha bandari kwa mda mrefu
Hayo mapato yataongeza kutoka sh? Mpaka sh? Na ni baada muda gani toka akabidhiwe hiyo bandari na anatarajiwa kuwekeza sh? Ili kukuza hayo mapato? Na je yeye atafaidikaje? Au je mapato yasipoongezeka nini kitafanyika? Yawezekakana mapato yakaongezeka baada ya miaka 100 je na hapo unaona ni sawa?JITAMBUE NDUGU.
 
Kuna mfano wa nchi alikowekeza DP W na kuwaachia wenyeji bandari hizo na ufanisi juu...


Hii mifano ingesaidia kuelewesha wasioelewa. La tunayoyaona ni mifano ya migogoro na kesi za mahakaman

Walishakuwa na mkataba wa miaka 20 kwenye port moja India, in 2018 wakati muda wao unakaribia ku-expire; kwenye new bidding walishindwa na mwekezaji mwingine wakaondoka kawaida tu.
 
Jibuni hoja, raia uwekezaji wanautaka ila vipengere vinavyoonekana vibovu virekebishwe. Siyo kusema tu ooh haya nimakubaliano ya awali., ujinga tu.
Vipengele vipi, mbona vyote mwanasheria wa wizara ya uchukuzi amedadavua kwa kina mara kadhaa kwenye media. Alikuwa kwenye mjadala wa malumbano ya hoja ITV, alikuwa Azam na jana alikuwa kwenye Club ya Msigwa.

Wewe una kipengele gani ambacho ujakielewa?
 
Inawezekana mifano ya antwerp na rotterdam si sawa na hapa kwetu. Huko kwa wenzetu umetaja tu operational contract je wana framework contract au la

Na hizo framewor contract kama zipo ni sawa na ya kwetu.

Bila shaka hizo framework contract zinapitishwa na mabunge ya nchi husika kama huu ulio pita hapa kwetu. Hivo ni nyaraka ya umma

Mfano wa framework tulosikia , bila kuuona ni huko Marekani walikokataa uwekezaji huu wa DP.

Kama ulivyosema, utafiti unahitajika kwenye suala hili kujua wenzetu wamefanyaje ili kupata kitu kizuri cha manufaa.

Na si kuingia jambo kibubusa kwa ka kitandugaho
Kuna BIT zilizopitishwa na mabunge yao. Panapo BIT uhitaji IGA, ila ni kitu kile kile framework.
 
Ni hivi unaweza kuingia mikataba kwa aina mbili kupitia BIT au IGA zote ni frameworks za kuingia mikataba. Kukuwa BIT ya nchi mbili uitaji IGA.


Hiyo hapo BIT ya U.K. na UAE general framework ina mambo yale yale kwa asilimia kubwa na IGA ya Tanzania.


BIT ya U.A.E na Netherlands utakutana na mambo yale yale yaliyomo kwenye IGA.


UAE na Belgium.
Asante sana Mkuu.
===
Wataalamu wa kusoma vifungu Karibu.
====
Mkuu,
Hapa naona aliyeingia mkataba ni UAE na si DPWorld kwa upande wa mkataba wa Netherlands. Pia Hata kwa upande wa Belgium na Luxembourg ni UAE ndiye aliingia mkataba si DP World!!! Hapa napo Pana nitatiza!!! Dubai imejitenga na UAE Siku hizi?
 
Vipengele vipi, mbona vyote mwanasheria wa wizara ya uchukuzi amedadavua kwa kina mara kadhaa kwenye media. Alikuwa kwenye mjadala wa malumbano ya hoja ITV, alikuwa Azam na jana alikuwa kwenye Club ya Msigwa.

Wewe una kipengele gani ambacho ujakielewa?
Tangu lini aliyekupa ugali umseme vibaya.., sanaa tu hiyo. Alizungumzia article 22 an 23
 
We ng'ombe hakuna nchi duniani inaitwa Dubai
Dubai ni Emirate yenye Mamlaka yake, Duniani kumebaki Emirate Kama 10 tu, Qatar, Kuwait, Afghanistan na hizo Emirate 7 zinazounda Uae.

Nchi ya Uae imeundwa 1970 tu, kabla ya Hapo Dubai ilikuwa ina Exist.

Kama Ilivyo Tanzania na Zanzibar Kuna mambo ya Muungano na yasiyo ya Muungano, Zanzibar wana Raisi na Dubai wana Emir.


Ukiingia hapo utaona mamlaka za Dubai, Wana polisi wao, Wana Idara zao za maji etc.

Na hii Ni serikali ya Dubai

Inaongozwa na Emir, ina crown prince etc.

So Dubai ni mamlaka kamili
 
Hii ni kutoka report ya Worl Bank .................................BY MARIA SARUNGI

Muhimu kuhusu DPW na mradi wa Benki ya Dunia

Pesa za mkopo wa @WorldBankAfrica zimetumika (na kukamilika)
👉🏽 kupanua na kuimarisha Gati 1-7 na kujenga gati mpya Gerezani
👉🏽kupanua mlango wa bandari hadi Gati 11
👉🏽kuboresha na kuunganisha na reli
👉🏽 Kupanua na kuimarisha Gati 8-11
👉🏽Kuna RORO terminal ilijengwa na kukamilishwa

Sasa tuangalie wanachodai DP World kufanya kwa mujibu wa IGA
Cha kwanza kikubwa eti kujenga, kuendesha na kusimamia RoRo terminal na Gati 1-4 na gati 5-7
🙄
Yaani pesa zote zimewekezwa za walipa kodi kupitia mradi wa sasa wa WB alafu wao wanakuja kuendesha na kusimamia? Wanawekeza nini??

Ndiyo maana mkataba haujawekwa thamani ya uwekezaji wao 😄 kumbe wanadandia mradi unaoelekea kukamilika waje wajisifu!

YAANI KIUFUPI WANAKUJA KUTEKELEZA MRADI WA PESA ZA MKOPO WA WORLD BANK

Nyieeeeeeeeee!
Mnaotetea mkataba huu mnajua kuwa mnatumika kutetea ulaji wa genge ndogo!?
Ila #TutaelewanaTu

Kama ulikuwa ujui hili wewe sio mfuatiliaji ni mshabiki tu!
 
Hii ni kutoka report ya Worl Bank .................................BY MARIA SARUNGI

Muhimu kuhusu DPW na mradi wa Benki ya Dunia

Pesa za mkopo wa @WorldBankAfrica zimetumika (na kukamilika)
👉🏽 kupanua na kuimarisha Gati 1-7 na kujenga gati mpya Gerezani
👉🏽kupanua mlango wa bandari hadi Gati 11
👉🏽kuboresha na kuunganisha na reli
👉🏽 Kupanua na kuimarisha Gati 8-11
👉🏽Kuna RORO terminal ilijengwa na kukamilishwa

Sasa tuangalie wanachodai DP World kufanya kwa mujibu wa IGA
Cha kwanza kikubwa eti kujenga, kuendesha na kusimamia RoRo terminal na Gati 1-4 na gati 5-7
🙄
Yaani pesa zote zimewekezwa za walipa kodi kupitia mradi wa sasa wa WB alafu wao wanakuja kuendesha na kusimamia? Wanawekeza nini??

Ndiyo maana mkataba haujawekwa thamani ya uwekezaji wao 😄 kumbe wanadandia mradi unaoelekea kukamilika waje wajisifu!

YAANI KIUFUPI WANAKUJA KUTEKELEZA MRADI WA PESA ZA MKOPO WA WORLD BANK

Nyieeeeeeeeee!
Mnaotetea mkataba huu mnajua kuwa mnatumika kutetea ulaji wa genge ndogo!?
Ila #TutaelewanaTu
Habari ya Maria Sarungi haina hadhi ya kuaminika.

Hoja zake siku zote ni negative tu.
 
Back
Top Bottom