TODAYS
JF-Expert Member
- Apr 30, 2014
- 14,747
- 24,250
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hooooyooooo maji ya zam zam yameletwa na muarabu kwenye hiyo ndege mliosema mama awezi kutuletea neema tukufu ya maji ya zam zam ..mpo wapi 🤡🤡🤡 oohhhoooo hakuna muarabu mjinga wa kutupa maji matukufu ya zam zam kwa kumpa ngorongoro ... sasa maji si hayo lazima yapo kwenye hiyo ndege FaizaFoxy kuna neema huku ya maji
Acheni vituko jamvin nyie. Sasa Alberta Canada inaelekea alasiri.Uko single hadi sasa hujalala?
Haikumwagiwa hata maji!?Hii ilizungumzwa sana mtandaoni,imekuja kimya kimyaaa
Dogo imenunuliwa kihalali tu.Hiyo ndege
Imeninuliwa kifisadi haijapata kutokea
Ameenda lini kwenye maandamo ya chadema alienda kujificha kisarewe hukoAcheni vituko jamvin nyie. Sasa Alberta Canada inaelekea alasiri.
Tatizo ni matumizi mabaya ya kodi zetu! Utanunuaje ndege inayotumiwa na matajiri duniani wakati wananchi wako hawana dawa mahospitalini (ARVs)?Naam, umeniita?
Tatizo nini?
Ukiyatafakari Sana mambo yanayofanywa na Watawala wa nchi za Afrika unaweza kufa ghafla kwa high blood pressure. Ili uweze kuishi kwa amani na furaha katika maisha yako ni vyema Sana ukaacha kufuatilia Mambo yao hao WatuSijui ni kipande gani tena cha ardhi kitakuwa kimeuzwa masikini Tanganyika!