Genius Man
JF-Expert Member
- Apr 7, 2024
- 1,012
- 2,317
kipaukbele chake ni yeye kuishi maisha ya kifahari na sio kuwasaidia watanzania maskini
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
u mean most of her life time in office, atakuwa ndani ya hako ka aeroplane?kipaukbele chake ni yeye kuishi maisha ya kifahari na sio kuwasaidia watanzania maskini
"Focus on what you can control, let go of what you can't."Hii nchi inachezewa sana
Umma upi???Kwa mujibu wa taarifa mbalimbali Rais Samia ameonekana akitumia ndege mpya ya Rais yenye usajili 5H-ONE aina ya Gulfstream G700, kwa mujibu wa Data ndege hii imeanza kutumika mwezi February.
Wengi wamekuwa wakidhani ndege hii ni ile aliyokaicha Hayati Benjamin Mkapa ila ndege aliyokaacha Mzee Mkapa ilikuwa na usajili wa 5H-ONF aina ya Gulfstream G550View attachment 3237093View attachment 3237094
😇Kununua usafiri wa Viongozi inahitajika consent ya wananchi?
wabunge, kwa niaba yetu walipitisha bajeti, including ununuzi wa ndege etc, mnadai mhusishwe ununuzi wa ndege kwa platform gani zaidi ya Bunge?😇Kununua usafiri wa Viongozi inahitajika consent ya wananchi?
Bunge si ndyo wawakilishi wetu?, so unataka serikali ije kwa wananchi na ku endesha referendum/kura ya maoni, kama ndege inunuliwe au isinunuliwe, kwa makundi yote ya wananchi?😇Ndiyo!.
Wakati late BWM anataka kununua 'like' alisemaje kabla?
😂😂😂SawaKimya kimya inatestiwa kwanza
Nimekuuliza swali nataka jibu ili elimu tutakayopeana hapa iwe 💯 ✓Bunge si ndyo wawakilishi wetu?, so unataka serikali ije kwa wananchi na ku endesha referendum/kura ya maoni, kama ndege inunuliwe au isinunuliwe, kwa makundi yote ya wananchi?😇