Kumbe tuna Ndege Mpya ya Rais na hamsemi ndugu Watanzania!?

Kumbe tuna Ndege Mpya ya Rais na hamsemi ndugu Watanzania!?

Kwa mujibu wa taarifa mbalimbali Rais Samia ameonekana akitumia ndege mpya ya Rais yenye usajili 5H-ONE aina ya Gulfstream G700, kwa mujibu wa Data ndege hii imeanza kutumika mwezi February.

Wengi wamekuwa wakidhani ndege hii ni ile aliyokaicha Hayati Benjamin Mkapa ila ndege aliyokaacha Mzee Mkapa ilikuwa na usajili wa 5H-ONF aina ya Gulfstream G550
Screenshot_2025-02-15-17-20-27-72_40deb401b9ffe8e1df2f1cc5ba480b12.jpg
Screenshot_2025-02-15-16-50-06-42_40deb401b9ffe8e1df2f1cc5ba480b12.jpg
 
Wengine wanajua kabla ya wananchi kufahamu, hii inamaanisha ata kama ningekikuta sehemu ndani ya Tanzania ningesema nimeokota ndege kwani siyo mali Tanzania.
 
Kwa mujibu wa taarifa mbalimbali Rais Samia ameonekana akitumia ndege mpya ya Rais yenye usajili 5H-ONE aina ya Gulfstream G700, kwa mujibu wa Data ndege hii imeanza kutumika mwezi February.

Wengi wamekuwa wakidhani ndege hii ni ile aliyokaicha Hayati Benjamin Mkapa ila ndege aliyokaacha Mzee Mkapa ilikuwa na usajili wa 5H-ONF aina ya Gulfstream G550View attachment 3237093View attachment 3237094
Hiyo kanunua Samia mwenyewe binafsi
 
Kwa mujibu wa taarifa mbalimbali Rais Samia ameonekana akitumia ndege mpya ya Rais yenye usajili 5H-ONE aina ya Gulfstream G700, kwa mujibu wa Data ndege hii imeanza kutumika mwezi February.

Wengi wamekuwa wakidhani ndege hii ni ile aliyokaicha Hayati Benjamin Mkapa ila ndege aliyokaacha Mzee Mkapa ilikuwa na usajili wa 5H-ONF aina ya Gulfstream G550View attachment 3237093View attachment 3237094
Mama yenu kasgikiwa akili zake na Waziri Rajabu
 
Samia naomba usiwapakie wa bara hawakupendi pakia wanakisiwa tu sawa mama abdul🤔🤔
 
Kwa mujibu wa taarifa mbalimbali Rais Samia ameonekana akitumia ndege mpya ya Rais yenye usajili 5H-ONE aina ya Gulfstream G700, kwa mujibu wa Data ndege hii imeanza kutumika mwezi February.

Wengi wamekuwa wakidhani ndege hii ni ile aliyokaicha Hayati Benjamin Mkapa ila ndege aliyokaacha Mzee Mkapa ilikuwa na usajili wa 5H-ONF aina ya Gulfstream G550View attachment 3237093View attachment 3237094
Siyo aliyojaiacha we mmajonde bali aliyoiacha, mkapa alinunua ndege mbovu,si wajua serikali yake ilijaa ufisadu,ndege mbovu,rada mbovu, mikataba ya kimangungo
 
Wengine wanajua kabla ya wananchi kufahamu, hii inamaanisha ata kama ningekikuta sehemu ndani ya Tanzania ningesema nimeokota ndege kwani siyo mali Tanzania.
Ata ndiyo nini we nyang'au!
 
Back
Top Bottom