Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haters bwana mna kazi aisee, kamanda naona ushashusha bonge la essay bila kusubiri kujua vizuri kwanza.......Tatizo ni matumizi mabaya ya kodi zetu! Utanunuaje ndege inayotumiwa na matajiri duniani wakati wananchi wako hawana dawa mahospitalini (ARVs)?
Halafu unaileta ndege nchini kimya kimya! Unaficha nini kwa wananchi?
Hawa ndio Trump anawananga kila siku lakini kwa upumbavu wao hawaelewi!! Ananunua ndege leo kesho anakwenda na hiyo ndege kutembeza bakuli !!
Huyu bibi hizo hela za ndege zitakuwa ndio zile za kutoka kwenye mkataba wa bandari na Adani Group!! Nchi nyingi ikiwemo Kenya zilivunja mikataba na Adan Group because of corruption, lakini Huyu bibi mzee akakomaa kuwa havunji mkataba ingawa kampuni ya Adan ilishutumiwa kwa kuhusika na utoaji rushwa!! Samia anaitoa wapi jeuri hii?
Heheheheheee, dah!!Nchi inaendeshwa kutoka Msoga.
Kumchukia mwizi wa maliasili ya nchi ni thawabu!Heheheheheee, dah!!
Kuna watu mtakufa vifo vya mateso sana sana sana! Ndivyo inavyokuwa pale mioyo yetu inapohifadhi michuki ya Kila namna kwa mtu bila sababu
Ukute ni asante ya DPWSijui ni kipande gani tena cha ardhi kitakuwa kimeuzwa masikini Tanganyika!
Ukichanganya na hongo ya Adan, mama Abdul na Abdul wake wana kibubu cha kutosha kununua hata ndege!Ukute ni asante ya DPW
Ila duh Tanzania tuna laanaUkichanganya na hongo ya Adan, mama Abdul na Abdul wake wana kibubu cha kutosha kununua hata ndege!
Ni ya rais au ya serikali?
BBJ ni nini tena mkuu ? Hiyo hela ni ya msaada au kodi ?Hio pia haitoshi inakuja ingine BBJ.
Mtaoshia hivyo hivyo.Kumchukia mwizi wa maliasili ya nchi ni thawabu!
Interesting
Sasa masikini Nini wakati hata kama raisi akitoka CDM itakuwa ndio Ndege yakeMasikini Tanzania
Nime ghairi kusilimu ...baada ya waislamu kushindwa kunijibu maswali yangu mepesi ...je nikiuliza maswali magumu sindiyo mtakimbia kabisa ...ninayo maswali magumu ambayo sijawai kuwauliza waislamu hapa JF hata moja haya ninayo uliza ni mepesi ila hata haya amuwezi kunijibu ....maswali makubwa niliwai kuwauliza mashekh 6 ... hadi leo wamepoteza imani na tumaini ndani ya dini ya uislamu.Naam, umeniita?
Tatizo nini?
BBJ-Boeing Business Jet ni kama Dreamliner customized for VVIP.BBJ ni nini tena mkuu ? Hiyo hela ni ya msaada au kodi ?
Daaaa kazi sanaa nchi inaliwq hii jamani khaaaBBJ-Boeing Business Jet ni kama Dreamliner customized for VVIP.
Kodi yako hio, nchi tajiri hii.