Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sijui ni kipande gani tena cha ardhi kitakuwa kimeuzwa masikini Tanganyika!
😂😂😂😂🤣Uzuri tutakufa wote,na uzuri zaidi by 2090 tutakua tushakua crude oil.
Mkuu, ina maana hujui lolote kuhusu ndege za serikali au umeamua tu kujiweka kihivyo?Hongera sana, nilikuwa najiskia vibaya Rais akitaka kuruka hapo USA tu alikuwa analazimika kupanda Emirates pamoja na abiria wengine
ILE Ni Gulfstream 50 Ipo Dar Es SalaamIle ya enzi za Mkapa iliishia wapi! Kama sikusahau wananchi tuwe tayari kula nyasi lakini lazima ndege hiyo inunuliwe!
😅😅 imenadikwaKumchukia mwizi wa maliasili ya nchi ni thawabu!
Makumbusho ya Taifa makao makuu posta Dar. Imehifadhiwa kwa kama malikale kwa ukumbusho wa kizazi hili na kijacho.Duh, ya zamani ipo wapi ?
Wamerudisha ile G555,waka top up na wajanja wakala 10%, wakapewa hii G700.ILE Ni Gulfstream 50 Ipo Dar Es Salaam
Tanzania Laana Haziishi Yaani Kila Kona Upigaji Mtupu, Rushwa Inanuka Mwili MzimaWamerudisha ile G555,waka top up na wajanja wakala 10%, wakapewa hii G700.
Tungekuwa na Bunge lenye tija, Waziri Mbarawa na Mwigulu wangebanwa mbavu.Tanzania Laana Haziishi Yaani Kila Kona Upigaji Mtupu, Rushwa Inanuka Mwili Mzima