zerominus10
JF-Expert Member
- Aug 25, 2022
- 8,142
- 13,721
Kimya kimya au sio basi Trump anapiga kwa makeleleMama etu anaupiga mwingi, now ni kimya kimya🥰
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kimya kimya au sio basi Trump anapiga kwa makeleleMama etu anaupiga mwingi, now ni kimya kimya🥰
Inaliwa na wajanja wachacheDaaaa kazi sanaa nchi inaliwq hii jamani khaaa
Eeeh!!uenda ikawaSijui ni kipande gani tena cha ardhi kitakuwa kimeuzwa masikini Tanganyika!
Awamu ya kula Kwa urefu wa kamba
A5 ilikuwa safari kwa magari tu.
Kukaa kimya si mpaka uwe nacho,mwenye njaa kuna siku ataibuka tu maana hana cha kupoteza.Ukiyatafakari Sana mambo yanayofanywa na Watawala wa nchi za Afrika unaweza kufa ghafla kwa high blood pressure. Ili uweze kuishi kwa amani na furaha katika maisha yako ni vyema Sana ukaacha kufuatilia Mambo yao hao Watu
Sitaki kuamini kama wewe unaweza kukosea kuandika neno rubani.Mbona maruani watasha.
Na walah nisingeona. Ngoja ni-edit 🤣🤣Sitaki kuamini kama wewe unaweza kukosea kuandika neno rubani.
Huyu mama hana huruma na fedha za Watanganyika kabisa.
Rais corrupt without any strategies to help the country! She is worthless as a leader!Sasa masikini Nini wakati hata kama raisi akitoka CDM itakuwa ndio Ndege yake
Sio Ndege ya Samia ni Ndege ya Raisi