Iruru
JF-Expert Member
- Jan 27, 2014
- 1,471
- 2,891
Determinant factor hapa ni rasi, hivyo makamu wa raisi atabadilika jina kulingana na raisi aliyepo. Ndio maana Mapngo ni makamu wa raisi wa awamu ya sita. Makamu wa raisi wa awamu ya tano alikuwa na raisi wa awamu hiyo.
Mimi nafikiri hivi,
Rais na makamu wa Rais ni pacha, ndio maana wanagombea pamoja.
Katiba inampa mamlaka makubwa Pacha wa kwanza na mamlaka madogo pacha wa pili,
Mathalani akifa makamu wa Rais, makamu atakayemrith hawezi kuwa Makamu wa Awamu ya sita atakuwa chini ya Rais wa Awamu ya tano,
Sasa amekufa Rais wa awamu ya Tano maana yake Makamu wa awamu ya Tano ndio anakuwa Rais wa awamu hiyo, kumalizia muda uliobakia, Japo kwa namba anakuwa Rais wa Sita.