Kumbe Tundu Lissu anadaiwa kwa kulipwa malipo hewa!

Anzisha huo uzi titachangia!
Utoke kwenye reli ipi? Kinachomfanya asishughulikiwe nini wakati takukuru wamesema muda tu kuwa wameshakamilisha uchunguzi kwa 99%?
 
Wengine wanaoandika huu ujinga wamechoka hata kuliko mimi anafanya tu eti kwa kuwa baba yake ni mjumbe wa shina wa ccm na yeye anavalishwa siku moja moja suruali nyeusi na shati la kijani na kupewa vi laki viwili vitatu then anaona kauuuula
 
unajua taratibu za fedha za jimbo? unajua nani anaidhinisha hizo pesa ndio zitoke benki?
 
Wewe ni mdivi tuu nenda court kaeleze kinyesi chako una ongea ongea tuu nyie ndio mnajifanya ccm mpya ngoja ccm asili iwanyoshe this time
 
Wewe ni mdivi tuu nenda court kaeleze kinyesi chako una ongea ongea tuu nyie ndio mnajifanya ccm mpya ngoja ccm asili iwanyoshe this time
 
Ina maana kama Lissu angenyamaza hayo malipo yasingekuwa hewa?
 
Unajua kwamba buge kwa Kiingereza linaitwa "Parliament" neno lenye asili ya neno la Kifaransa "Parler" lenye kumaanisha "kuzungumza"? Kama si lazima kuongoea bungeni ni kwa nini wabunge wanakusanyika Dodoma?

Kuna watu wanachangia kwa maandishi, pia kuna kamati zinajadili hoja kabla ya kuja bungeni, hivyo wanaweza kuweka mawazo yao huko.
 
Mbona anawashughulisha Sana huyo lisu?.
Wanaccm wenzangu tujiamini,,
Hivi hamna vitu vingine vya kuongelea zaidi ya lisu?
Ni sahihi kumjibu mkuu,Spika akikaa kimya itaonekana kweli jamaa kadhulumiwa. Maana wenyewe walisema Spika aweke wazi na kwa busara hizo hizo zao Spika kaweka wazi.

macson
 
CCM mmeishiwa kabisa. Chama kimekuwa kama kikundi cha taarabu. Watu wanapoteza ajira na issue ya Corona, nyie mnakuja kuleta kelele za Lissu Lissu. Nyie chama tawala, Corona ina zaidi ya mwezi 1 Tz, tupeni social and economic impact analysis, acheni kuleta distractions
 
Yeye atueleze vipi zile pesa za umma alizotumia kukaa India yeye,mkewe na wasaidizi wao wanazilipaje! CAG alizihoji na ndio kisa cha yeye kuwa na chuki binfasi nae! Aeleze atarudishaje zile fedha!
 
wewe na lissu ni mbingu na Ardhi usiforce K ya nyuma kumeza muwa itachanika vibaya mno

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna watu wanachangia kwa maandishi, pia kuna kamati zinajadili hoja kabla ya kuja bungeni, hivyo wanaweza kuweka mawazo yao huko.
Ninaposema hawachangii ni kweli hawachangii. Si kwa maandishi wala bungeni. Kwenye Kamati siyo bungeni na hakuna mbunge ambaye yumo kwenye kila kamati ya bunge.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…