Mzee wa kusawazisha
JF-Expert Member
- Nov 30, 2016
- 1,601
- 1,172
Hakuna mtu anayetaka mpenzi mnene. Tusidanganyane.wanne
Wanne au wanene mkuuHakuna mtu anayetaka mpenzi mnene. Tusidanganyane.
mneneWanne au wanene mkuu
Nimeona kaandika wanne ila pia kakosea tu ila inafiti pia kwenye sentensi yakemnene
Mzee wa kusawazisha, umesawazisha.kwa staili hii wanawake wataendelea kutuburuza sana wanaume katika masuala ya maslahi na mustakabali wa ustawi wa maisha yetu.
Wanawake wengi wanawinda Mali tu na pesa kwa mwanaume, sasa kama huna kitu ni nadra sana kukidhi vigezo mbele ya wanawake wengi.
Kua uyaone, kuna rafiki yangu kwa mabonge humwambii kitu.Hakuna mtu anayetaka mpenzi mnene. Tusidanganyane.
Na bado upo Tu? Shtuka kasake changamoto mpya dunia ni kubwa hiiHii kitu ni kweli mimi naburuzwa sana sikutegemea Kama Kuna siku itakua ivi
Wewe unaongea tu hayajakukuta.Na bado upo Tu? Shtuka kasake changamoto mpya dunia ni kubwa hii
Mimi ni mzoefu wa miaka mingi kwenye game ohooooooWewe unaongea tu hayajakukuta.
Mambo aya yasikie kwa wengine tu yakikukuta.
Kumbe legendMimi ni mzoefu wa miaka mingi kwenye game ohoooooo
Tena niliefuzu nishani ya heshima, ndio maana nakushauri katafute changamoto mpya Acha kumzoea na usikubali kupelekwaKumbe legend
Wapo mkuu,wapenda kubebwa!?Hakuna mtu anayetaka mpenzi mnene. Tusidanganyane.