Kumbe Urusi ililenga silaha za NATO zilizohifadhiwa karibu na makazi ya watu? Nani alaumiwe hapa

Pro Russia sijui mnawaza kutumia nini siraha zipo kwenye majumba ya watu
 
Pro Russia sijui mnawaza kutumia nini siraha zipo kwenye majumba ya watu View attachment 2277512
Huu ndio ushahidi umemaliza
Huu ndio wakati sahihi sasa wa NATO kwenda kulinda RAIA hapo UKRAINE kama walivyoenda kufanya kule LIBYA
RUSSIA kama TAIFA TEULE itapiga popote panapofuka moshi hatakama patakua WODINI

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…