Kumbe ushamba bado unaendelea…

Kumbe ushamba bado unaendelea…

magufuli aliziba mianya ya wahuni. waakaanza kumuita jina baya kwa sauti ili wamuue. nakweli wakafanikiwa. ila. damu yake. nambegu aloipanda kwa watanzania itamea hatumaye itaota mizizi ipo siku ambayo Haina jina. atatokeaa zaidi ya magufuli. nchi itasonga
Labda alipanda mbegu zake kwako
 
Na msaikheri maana yake Nini? Unadhan wote tuko kwenye same time zone?

Haya jipigepige kifua usema hakika Mimi ni mkurupukaji naomba nipuuzwe milele


Wewe ndiye mpuuzi wa kutupwa unayeparamia gari kwa mbele.

سباح الخير sabah alkheir= Habari za asubuhi, مسا الخير= Habari za jioni, تصبح على خير Tisbah ala khair= Habari za usiku.

Hiyo habari ya ndege aliyoleta kwa saa za usiku wa huku Afrika ya mashariki na kati nk, ambapo lugha ya kiswahili inaongewa sana ilikuwa inatuhusu zaidi sisi Watz ambao ni karibu 90% tumo ndani ya jf na sio watu waliopo kwenye mataifa mengine, juu ya yote sisi tuliokokuwa wengi ndio tuliochangia hiyo mada yake ambao wakati huo anaituma ndani ya jf ilikuwa ni muda wa usiku sasa mbona alishindwa hata na sisi kutusalimu kwa kuandika Tisbah ala kheir?? au unataka kusema mada hiyo iliwahusu waswahili waliokuwa katika nchi ambazo wakati huo muda wao ulikuwa ni Asubuhi na jioni tu??---hata haiingii akilini, huyo alichemka kwa kutumia salamu asizojua maana zake, afadhali angetumia; اسلام عليكم pekee ingalitosha kwasababu hiyo salamu haifungwi na muda (not time bound).
 
Sijashangaa Membe kufa maana kufa ni sehemu ya viumbe hai wote.

Ila nimefurahi kwa sababu ‘wazuri’ hawafi 🤣🤣
Hiyo kauli Rais Samia alishaomba radhi na akasema Mzee kapitiwa. Ajabu majitu yenye chuki Bado mmeibeba hiyo kauli Hadi Leo.

JPM alifia kwenye uongozi ndio maana ikawa news ila pensioner kufariki Kuna Nini Cha ajabu?
 
Hiyo kauli Rais Samia alishaomba radhi na akasema Mzee kapitiwa. Ajabu majitu yenye chuki Bado mmeibeba hiyo kauli Hadi Leo.

JPM alifia kwenye uongozi ndio maana ikawa news ila pensioner kufariki Kuna Nini Cha ajabu?
Hatusahau sababu haikutoka bahati mbaya, pili yeye binafsi hakuomba radhi. Shortly ni picha halisi ya chuki kubwa kwa mwendazake.
 
Ushamba utaisha tutakapoingia awamu ya sita; hii ni awamu ya tano inaendelea.
Bonge la point.
Huu utawala ni uleule wa Magufuli maana aliyekuwa mwenza wake ndio Rais, waxiri mkuu ndio yuleyule, makamu wa Rais alikuwa waziri wake wa fedha na more than 50% ya mawaziri ni walewale walioteuliwa na Magufuli pia wabunge wote sio wa kuchaguliwa na wananchi bali kupachikwa na Magufuli.
Hapo unategemea nini kiwe tofauti? Kama kulikuwa na ushamba basi utaendelea na kama kuna kutakuwa na mabadiliko ni ya kawaida kama ilivyo haki ya hewa katika siku moja.
 
Back
Top Bottom