Johnny Sack
JF-Expert Member
- Jan 21, 2017
- 8,984
- 19,288
Labda alipanda mbegu zake kwakomagufuli aliziba mianya ya wahuni. waakaanza kumuita jina baya kwa sauti ili wamuue. nakweli wakafanikiwa. ila. damu yake. nambegu aloipanda kwa watanzania itamea hatumaye itaota mizizi ipo siku ambayo Haina jina. atatokeaa zaidi ya magufuli. nchi itasonga