Kumbe Viongozi wa CHADEMA mpo after vyeo vyenu na siyo hali bora ya Wananchi?

Kumbe Viongozi wa CHADEMA mpo after vyeo vyenu na siyo hali bora ya Wananchi?

G4N

JF-Expert Member
Joined
Apr 6, 2014
Posts
4,283
Reaction score
9,925
Moja ya kauli za Lisu kwenye press yake ya leo, amesema hivi: (sitanukuu neno kwa neno, nitanukuu muktadha tu)

"Hapa katikati tuliletewa lugha laini tukaingia kwenye maridhiano. Tukadanganywa danganywa kuwa wewe sijui utakuwa nani nani. Wengine waziri mkuu n.k".

Kwahiyo safu ya uongozi ya CHADEMA iliahidiwa kupata u bunge, uwaziri mkuu, n.k, halafu wakajikuta wanafumba "kalomo"

Mimi nilidhani kuwa wana ucchungu wa kuchukua dola ili kuondoa madhaifu ya ccm na siyo kugawana nafasi za vyeo.
 
Moja ya kauli za Lisu kwenye press yake ya leo, amesema hivi:- (sitanukuu neno kwa neno, nitanukuu muktadha tu)

"Hapa katikati tuliletewa lugha laini tukaingia kwenye maridhiano. Tukadanganywa danganywa kuwa wewe sijui utakuwa nani nani. Wengine waziri mkuu n.k".

Kwahiyo safu ya uongozi ya chaema iliahidiwa kupata u bunge, uwaziri mkuu, n.k, halafu wakajikuta wanafumba "kalomo"
Hali bora ya wananchi kwani wao ndio chama tawala?

Shule ulienda kusomea ujinga?
 
Friji la Tundu Lissu haligandishi, ipo siku atayasema yote. Ninachompendea huyu mwamba sio mnafiki halafu ni kama yeye hakuletwa duniani kwa ajili ya vyeo wala utajiri. Yeye ni kama anajiona aliletwa duniani kutetea wanaoonewa. Huyu mwamba ni kariba ya kina Kambarage wa Burito wa kule Mwitongo
 
Mbowe must go
Moja ya kauli za Lisu kwenye press yake ya leo, amesema hivi: (sitanukuu neno kwa neno, nitanukuu muktadha tu)

"Hapa katikati tuliletewa lugha laini tukaingia kwenye maridhiano. Tukadanganywa danganywa kuwa wewe sijui utakuwa nani nani. Wengine waziri mkuu n.k".

Kwahiyo safu ya uongozi ya CHADEMA iliahidiwa kupata u bunge, uwaziri mkuu, n.k, halafu wakajikuta wanafumba "kalomo"
 
Moja ya kauli za Lisu kwenye press yake ya leo, amesema hivi: (sitanukuu neno kwa neno, nitanukuu muktadha tu)

"Hapa katikati tuliletewa lugha laini tukaingia kwenye maridhiano. Tukadanganywa danganywa kuwa wewe sijui utakuwa nani nani. Wengine waziri mkuu n.k".

Kwahiyo safu ya uongozi ya CHADEMA iliahidiwa kupata u bunge, uwaziri mkuu, n.k, halafu wakajikuta wanafumba "kalomo"
Waliingizwa kingi....

econonist Tindo zitto junior
 
Kivipi? Yaani nchi inaongozwa vibaya na CCM halafu useme CHADEMA nao wanawajibika?

Aisee!!!
Kama wao hawatawajibika basi ni bora tujue hatuna vyama vya upinzani…ili tujue tuna chama kimoja tu…We unadhani ruzuku wanazochukua sio kodi zetu?!! Hiyo tu inawafanya wao kuwajibika.
 
Moja ya kauli za Lisu kwenye press yake ya leo, amesema hivi: (sitanukuu neno kwa neno, nitanukuu muktadha tu)

"Hapa katikati tuliletewa lugha laini tukaingia kwenye maridhiano. Tukadanganywa danganywa kuwa wewe sijui utakuwa nani nani. Wengine waziri mkuu n.k".

Kwahiyo safu ya uongozi ya CHADEMA iliahidiwa kupata u bunge, uwaziri mkuu, n.k, halafu wakajikuta wanafumba "kalomo"
Unaliona leo
 
Kama kweli Lissu alisema hayo nitashangaa Sana maana Katiba Iko wazi kuwa Waziri Mkuu atatoka kwenye chama chenye wabunge wengi bungeni.

Kwamba CHADEMA waliaminije kuwa watateuliwa kuwa Waziri Mkuu wakati Katiba Iko wazi?

..Waziri Mkuu atatoka ktk chama chenye wabunge wengi.

..au atakuwa mbunge wa kuchaguliwa anayeungwa mkono na wabunge wengi.

..Ccm huwa hawajifungi ktk vifungu vya katiba. Wakiandika kifungu kimoja, lazima waandike kingine cha kuwachomoa.
 
..Waziri Mkuu atatoka ktk chama chenye wabunge wengi.

..au atakuwa mbunge wa kuchaguliwa anayeungwa mkono na wabunge wengi.

..Ccm huwa hawajifungi ktk vifungu vya katiba. Wakiandika kifungu kimoja, lazima waandike kingine cha kuwachomoa.
Lakini CHADEMA hawana yote mawili.
 
Kama wao hawatawajibika basi ni bora tujue hatuna vyama vya upinzani…ili tujue tuna chama kimoja tu…We unadhani ruzuku wanazochukua sio kodi zetu?!! Hiyo tu inawafanya wao kuwajibika.
Ruzuku ndiyo inahusiana na kuwajibika? Haya tuje kwenye hiyo hoja yako ya ruzuku. Kati ya CCM na CHADEMA ni chama gani kati ya hivyo viwili kinachochukua ruzuku kubwa kuliko kingine?

Kwa kuwa CCM ndiyo inayochukua ruzuku kubwa kuliko CHADEMA basi yenyewe ndiyo inayowajibika kwa hatima ya Tanzania na siyo CHADEMA.
 
Kama kweli Lissu alisema hayo nitashangaa Sana maana Katiba Iko wazi kuwa Waziri Mkuu atatoka kwenye chama chenye wabunge wengi bungeni.

Kwamba CHADEMA waliaminije kuwa watateuliwa kuwa Waziri Mkuu wakati Katiba Iko wazi?
Tafuta hotuba ya Mh Lissu usikilize achana na propaganda za waliochoka.
 
Ruzuku ndiyo inahusiana na kuwajibika? Haya tuje kwenye hiyo hoja yako ya ruzuku. Kati ya CCM na CHADEMA ni chama gani kati ya hivyo viwili kinachochukua ruzuku kubwa kuliko kingine?

Kwa kuwa CCM ndiyo inayochukua ruzuku kubwa kuliko CHADEMA basi yenyewe ndiyo inayowajibika kwa hatima ya Tanzania na siyo CHADEMA.
Mkuu Chadema ni chama cha siasa na chama cha siasa kinaundwa na wanachama,na hao wanachama kwa hapa Tanzania ni ndo sisi watanzania kwa hyo automatically inapaswa kuwajibika kwetu kwa kutupa uongozi thabiti na wenye uelekeo chanya kwenye maendeleo ya nchi yetu…mfano. Sera na dira zao kuhusu nchi yetu,kupika viongozi sahihi na wazalendo….But Sasahv hiki ni kama chama cha watu wachache na sio cha siasa tena..
 
G4N Utapigwa block utafutiwa id haya hapa viongozi wanachukia ukisema chadema
 
Mkuu Chadema ni chama cha siasa na chama cha siasa kinaundwa na wanachama,na hao wanachama kwa hapa Tanzania ni ndo sisi watanzania kwa hyo automatically inapaswa kuwajibika kwetu kwa kutupa uongozi thabiti na wenye uelekeo chanya kwenye maendeleo ya nchi yetu…mfano. Sera na dira zao kuhusu nchi yetu,kupika viongozi sahihi na wazalendo….But Sasahv hiki ni kama chama cha watu wachache na sio cha siasa tena..
Umeandika bandiko reefu bila ya sababu. CHADEMA kwa kuwa haiongozi Dola hawajibiki Kwa watanzania wote isipokuwa Kwa wanachama wake pekee.

CCM Kwa kuwa inaongoza Dola, inawajibika Kwa watanzania wote. Halafu neno KUWAJIBIKA unaelewa maana yake?
 
Back
Top Bottom