Allen Kilewella
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 21,470
- 40,593
Acha uzushi.G4N Utapigwa block utafutiwa id haya hapa viongozi wanachukia ukisema chadema
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha uzushi.G4N Utapigwa block utafutiwa id haya hapa viongozi wanachukia ukisema chadema
UTaonaAcha uzushi.
Kwann walainike baada ya kuahhidiwa vyeo?Hali bora ya wananchi kwani wao ndio chama tawala?
Shule ulienda kusomea ujinga?
Ulielewa alichosema au umetafsiri ulivyotaka?Moja ya kauli za Lisu kwenye press yake ya leo, amesema hivi: (sitanukuu neno kwa neno, nitanukuu muktadha tu)
"Hapa katikati tuliletewa lugha laini tukaingia kwenye maridhiano. Tukadanganywa danganywa kuwa wewe sijui utakuwa nani nani. Wengine waziri mkuu n.k".
Kwahiyo safu ya uongozi ya CHADEMA iliahidiwa kupata u bunge, uwaziri mkuu, n.k, halafu wakajikuta wanafumba "kalomo"
Walipaswa kuwa na ucchungu wa kuchukua dola ili kuondoa madhaifu ya ccm na siyo kugawana nafasi za vyeo.Kivipi? Yaani nchi inaongozwa vibaya na CCM halafu useme CHADEMA nao wanawajibika?
Aisee!!!
Moja ya kauli za Lisu kwenye press yake ya leo, amesema hivi: (sitanukuu neno kwa neno, nitanukuu muktadha tu)
"Hapa katikati tuliletewa lugha laini tukaingia kwenye maridhiano. Tukadanganywa danganywa kuwa wewe sijui utakuwa nani nani. Wengine waziri mkuu n.k".
Kwahiyo safu ya uongozi ya CHADEMA iliahidiwa kupata u bunge, uwaziri mkuu, n.k, halafu wakajikuta wanafumba "kalomo"
Mimi nilidhani kuwa wana ucchungu wa kuchukua dola ili kuondoa madhaifu ya ccm na siyo kugawana nafasi za vyeo.
Na wao wanawajibika mkuu kama watu walio kwenye siasa za nchi yetu!!
Acha wapate hivyo vyeo tu maana watanzania sisi hatuna maana kwenye kila jambo tunataka watu wengine watupiganie hata kuandamana tunataka wengine wafanye
Kama kweli Lissu alisema hayo nitashangaa Sana maana Katiba Iko wazi kuwa Waziri Mkuu atatoka kwenye chama chenye wabunge wengi bungeni.
Kwamba CHADEMA waliaminije kuwa watateuliwa kuwa Waziri Mkuu wakati Katiba Iko wazi?
Wawe Kwa maslahi Yako walikuzaa? By the way unataka wawe Kwa maslahi Yako kwani ya kwao nani atayalinda?Moja ya kauli za Lisu kwenye press yake ya leo, amesema hivi: (sitanukuu neno kwa neno, nitanukuu muktadha tu)
"Hapa katikati tuliletewa lugha laini tukaingia kwenye maridhiano. Tukadanganywa danganywa kuwa wewe sijui utakuwa nani nani. Wengine waziri mkuu n.k".
Kwahiyo safu ya uongozi ya CHADEMA iliahidiwa kupata u bunge, uwaziri mkuu, n.k, halafu wakajikuta wanafumba "kalomo"
Mimi nilidhani kuwa wana ucchungu wa kuchukua dola ili kuondoa madhaifu ya ccm na siyo kugawana nafasi za vyeo.
Duniani ni Tanzania pekee wananchi wanataka wanasiasa walete mageuzi bila wananchi kuwa mstari wa mbele.Moja ya kauli za Lisu kwenye press yake ya leo, amesema hivi: (sitanukuu neno kwa neno, nitanukuu muktadha tu)
"Hapa katikati tuliletewa lugha laini tukaingia kwenye maridhiano. Tukadanganywa danganywa kuwa wewe sijui utakuwa nani nani. Wengine waziri mkuu n.k".
Kwahiyo safu ya uongozi ya CHADEMA iliahidiwa kupata u bunge, uwaziri mkuu, n.k, halafu wakajikuta wanafumba "kalomo"
Mimi nilidhani kuwa wana ucchungu wa kuchukua dola ili kuondoa madhaifu ya ccm na siyo kugawana nafasi za vyeo.
Lakini CHADEMA hawana yote mawili.
Retired nini nilikuelezaMoja ya kauli za Lisu kwenye press yake ya leo, amesema hivi: (sitanukuu neno kwa neno, nitanukuu muktadha tu)
"Hapa katikati tuliletewa lugha laini tukaingia kwenye maridhiano. Tukadanganywa danganywa kuwa wewe sijui utakuwa nani nani. Wengine waziri mkuu n.k".
Kwahiyo safu ya uongozi ya CHADEMA iliahidiwa kupata u bunge, uwaziri mkuu, n.k, halafu wakajikuta wanafumba "kalomo"
Mimi nilidhani kuwa wana ucchungu wa kuchukua dola ili kuondoa madhaifu ya ccm na siyo kugawana nafasi za vyeo.
KATIKA MARIDHINO, HAYO YA VYEO HAYAJAWAHI KUWA MARIDHIANO, MAY BE CCM WALI SUGGEST HIVYO KUWAGHIRIBU, NA SIDHANI KAMA WATU WENYE AKILI WALIKAA KWENYE MARIDHIANO WAKISUBIRI VYEO!Retired nini nilikueleza
Wajinga ndio waliwao AmenKama kweli Lissu alisema hayo nitashangaa Sana maana Katiba Iko wazi kuwa Waziri Mkuu atatoka kwenye chama chenye wabunge wengi bungeni.
Kwamba CHADEMA waliaminije kuwa watateuliwa kuwa Waziri Mkuu wakati Katiba Iko wazi?
Kama unadhani wanasiasa wapo kukusaidia na kuboresha maisha na Hari ya nchi, umeishpotea bro, sio Afrika, ukitqka kujua siasa za, Afrika, cheki Kenya Pale.Moja ya kauli za Lisu kwenye press yake ya leo, amesema hivi: (sitanukuu neno kwa neno, nitanukuu muktadha tu)
"Hapa katikati tuliletewa lugha laini tukaingia kwenye maridhiano. Tukadanganywa danganywa kuwa wewe sijui utakuwa nani nani. Wengine waziri mkuu n.k".
Kwahiyo safu ya uongozi ya CHADEMA iliahidiwa kupata u bunge, uwaziri mkuu, n.k, halafu wakajikuta wanafumba "kalomo"
Mimi nilidhani kuwa wana ucchungu wa kuchukua dola ili kuondoa madhaifu ya ccm na siyo kugawana nafasi za vyeo.
Hivi unajua elimu ya Mzee Mbowe ?Kama kweli Lissu alisema hayo nitashangaa Sana maana Katiba Iko wazi kuwa Waziri Mkuu atatoka kwenye chama chenye wabunge wengi bungeni.
Kwamba CHADEMA waliaminije kuwa watateuliwa kuwa Waziri Mkuu wakati Katiba Iko wazi?
Wew hapo uliandamana?Walipoandamana kuhusu Hali ngumu ya maisha ulikuwepo?. Juzi walipotaka kuandamana kuhusu watu kupotea ulikuwepo?. Halafu unailaumu CHADEMA ambayo haina mamlaka sio bungeni Wala serikalini, ila CCM unaiona poa.
Kupima Elimu ya mtu si kazi rahisi. Mikataba ya hovyo inayoila hii nchi huingiwa na maprofesa. Jee wana Elimu au hawana elimu?Hivi unajua elimu ya Mzee Mbowe ?
Unamaanisha nini? Unaelezea mambo kwa njia ya mtupo.Wew hapo uliandamana?