Hassan Mambosasa
JF-Expert Member
- Aug 2, 2014
- 3,359
- 4,528
Mbona picha zako hazina mwarabu hata mmoja
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usiulize swali jibu swali. Kama huna relevant information hata basic kama hizo kaa kimya, watajibu wenye uelewa. wako wapi Waafrika kwa maelfu waliopelekwa Asia kama watumwa? Zanzibar ilikuwa bandari kuuKwani wewe ulilijibu swali langu , aliyekuambia walipelekwa uarabuni ni nani?
Huyo ndiye aliyekuambia? Umeelekea Asia?Usiulize swali jibu swali. Kama huna relevant information hata basic kama hizo kaa kimya, watajibu wenye uelewa. wako wapi Waafrika kwa maelfu waliopelekwa Asia kama watumwa? Zanzibar ilikuwa bandari kuu
Usiulize swali jibu swali. Kama huna relevant information hata basic kama hizo kaa kimya, watajibu wenye uelewa. wako wapi Waafrika kwa maelfu waliopelekwa Asia kama watumwa? Zanzibar ilikuwa bandari kuuHuyo ndiye aliyekuambia? Umeelekea Asia?
Mimi sina information ,wewe uliyenazo mbona hutuambii huyo aliyekuambia walipelekwa uarabuni na Sasa unatupeleka Asia?Usiulize swali jibu swali. Kama huna relevant information hata basic kama hizo kaa kimya, watajibu wenye uelewa. wako wapi Waafrika kwa maelfu waliopelekwa Asia kama watumwa? Zanzibar ilikuwa bandari kuu
Kama hujui kaa kimya, watakuja wajibu. Kwa hiyo Arabuni iko Ulaya?Mimi sina information ,wewe uliyenazo mbona hutuambii huyo aliyekuambia walipelekwa uarabuni na Sasa unatupeleka Asia?
Wewe unayejua mbona hutuambii huyo aliyekuambia walipelekwa uarabuni ni nani?Kama hujui kaa kimya, watakuja wajibu. Kwa hiyo Arabuni iko Ulaya?
Usiulize swali jibu swali. Kama huna relevant information hata basic kama hizo kaa kimya, watajibu wenye uelewa. wako wapi Waafrika kwa maelfu waliopelekwa Asia kama watumwa? Zanzibar ilikuwa bandari kuuWewe unayejua mbona hutuambii huyo aliyekuambia walipelekwa uarabuni ni nani?
Si umeniambia mimi sijui? Wewe unayejua mbona unajamba tu , husemi alikuambia Nani kuwa walipelekwa uarabuni?Usiulize swali jibu swali. Kama huna relevant information hata basic kama hizo kaa kimya, watajibu wenye uelewa. wako wapi Waafrika kwa maelfu waliopelekwa Asia kama watumwa? Zanzibar ilikuwa bandari kuu
Usiulize swali jibu swali. Kama huna relevant information hata basic kama hizo kaa kimya, watajibu wenye uelewa. wako wapi Waafrika kwa maelfu waliopelekwa Asia kama watumwa? Zanzibar ilikuwa bandari kuuSi umeniambia mimi sijui? Wewe unayejua mbona unajamba tu , husemi alikuambia Nani kuwa walipelekwa uarabuni?
umeniambia mimi sijui? Wewe unayejua mbona unajamba tu , husemi alikuambia Nani kuwa walipelekwa uarabuni?Usiulize swali jibu swali. Kama huna relevant information hata basic kama hizo kaa kimya, watajibu wenye uelewa. wako wapi Waafrika kwa maelfu waliopelekwa Asia kama watumwa? Zanzibar ilikuwa bandari kuu
Mwambie meli zilizokuwa zimebeba watumwa zilibarikiwa huko Roma na papa zifike salama katika mataifa yao huko uzunguni maana ni Mali ghafi leo hawajui mzungu ni nani mpaka leo hii kesho na kesho kutwa ni wabaguzi na Bado wanaendelea kuwatwanga risasi waafrika Bado tu hawalioni na hawatakaa kuliona hili kweli ni mahaba haya ni sawa na mbwa kwa chatu huwa anajipeleka aliweMleta mada unaonekana ni mnazi wa wazungu labda nikuulize ni mkoloni gani kati ya mwarabu na mzungu alikuwa na makoloni mengi hapa duniani?
Je wazungu hawakufanya biashara ya utumwa? Leo hii America imekuwaje na kiasi kikubwa cha watu weusi wenye asili ya afrika?
Je wazungu walikuwa wakiwajali sana waafrika pindi walipokuwa wanatawala?
Walau huko wapo wanaobaguliwa, lakini Arabuni hata wa kubagua hakuna. Wamekwenda wapi?Mwambie meli zilizokuwa zimebeba watumwa zilibarikiwa huko Roma na papa zifike salama katika mataifa yao huko uzunguni maana ni Mali ghafi leo hawajui mzungu ni nani mpaka leo hii kesho na kesho kutwa ni wabaguzi na Bado wanaendelea kuwatwanga risasi waafrika Bado tu hawalioni na hawatakaa kuliona hili kweli ni mahaba haya ni sawa na mbwa kwa chatu huwa anajipeleka aliwe
umeniambia mimi sijui? Wewe unayejua mbona unajamba tu , husemi alikuambia Nani kuwa walipelekwa uarabuni?
Walau huko wapo wanaobaguliwa, lakini Arabuni hata wa kubagua hakuna. Wamekwenda wapi? View attachment 2371177