Kumbe wachezaji wa Yanga walikuwepo uwanjani wakati Simba wanalipoifunga Tabora United 3-0?

Allen Kilewella

JF-Expert Member
Joined
Sep 30, 2011
Posts
21,470
Reaction score
40,593
Nimeshangaa kujua kumbe Azizi Ki aliyekosa Penati siku Yanga inacheza na Tabora United, aliwaongoza wachezaji wenzake wa Yanga kuishuhudia Simba ikiidungua TABORA UNITED 3-0 Agosti 18 2024.

Sasa kama hawakujifunza mbinu za kuifunga Tabora United toka kwa Simba, basi Yanga kufungwa kwao ni halali.
 
Hii wiki ni yenu toeni sumu zote muda wa kuanza kulalamikia udhamini wa GSM ukekaribia
 
Sindano zao siku ile hazikufanya kazi, walidungwa sindano za ganzi badala ya sindano za shisha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…