Kumbe Wadada Huwa Mkitongozwa Na Mtu Bitoz Huwa Hamkatai Ila Mkitongozwa Na.... Huwa Wepesi Kukataa

Kumbe Wadada Huwa Mkitongozwa Na Mtu Bitoz Huwa Hamkatai Ila Mkitongozwa Na.... Huwa Wepesi Kukataa

Unazungumzia mademu ?? Mademu ndio wapo after Six packs, mavazi, viatu, minyoo ya nywele, miondoko. Pafyumu n.k.

Mwanamke yeye anataka mwaname
[emoji117]anayejiamin
Mwenye kumfanya ajihisi na salama
Funny
Mwanamme anayeamin ktk mafanikio
Hata km hana kitu lkn awe mwenye ndoto zakwamba ipo siku kupitia hiki nitatoboa.
N.k

Sasa hapa ndo ujue kuna mademu na wanawake.
[emoji4][emoji4] nyauuuu..nimeipenda hii[emoji8][emoji8]
 
Tatizo huwa wakija mnawakataa na kukimbilia mabishoo.. kisa wana swaga, pamba kibao, club, starehe. Wenye malenfo ya kuwatunza wanaonekana washamba.. wanapigwa kibut
Sinaga interest na mabishoo yani hakuna viumbe vinavyonifanya nijihisi kivomit kama hao mbwea wanaojiita mabishoo..uwiiiii nina aleji jamani mimi na hao watu...ptuu!!
 
Tatizo huwa wakija mnawakataa na kukimbilia mabishoo.. kisa wana swaga, pamba kibao, club, starehe. Wenye malenfo ya kuwatunza wanaonekana washamba.. wanapigwa kibut
Alafu kingine katika vitu vilivyonipataga kushoto ni club..sinaga mzuka na club hadi rafiki zangu wananishangaaga...starehe yangu kubwa labda kwenda fukwe nishangae maji tu moyo wangu burudani...lakini sijui leo niko double tree kesho 4040 kesho kutwa sijui wapi...hapana hivyo vitu vipo kushoto namimi

Narudia tena kusema kua NAMBA 2 HAO NDIO WANAUME
 
Alafu kingine katika vitu vilivyonipataga kushoto ni club..sinaga mzuka na club hadi rafiki zangu wananishangaaga...starehe yangu kubwa labda kwenda fukwe nishangae maji tu moyo wangu burudani...lakini sijui leo niko double tree kesho 4040 kesho kutwa sijui wapi...hapana hivyo vitu vipo kushoto namimi

Narudia tena kusema kua NAMBA 2 HAO NDIO WANAUME
Good!
 
Alafu kingine katika vitu vilivyonipataga kushoto ni club..sinaga mzuka na club hadi rafiki zangu wananishangaaga...starehe yangu kubwa labda kwenda fukwe nishangae maji tu moyo wangu burudani...lakini sijui leo niko double tree kesho 4040 kesho kutwa sijui wapi...hapana hivyo vitu vipo kushoto namimi

Narudia tena kusema kua NAMBA 2 HAO NDIO WANAUME
Humu wako wengi tuu,na wanachangia Mada km hz ,ukikutana nao ndio unajua kuwa kumbe huyu wa hivi
 
Back
Top Bottom