Kumbe wanajeshi hawatanii, leo wamepita Soko la Mchafukoge kuchukua nguo zao

Popote mlipo ndugu zangu wa Chadema baada ya hili na jeshi la Mgambo litahitaji kurudishwa kwa uniform zao hivyo stay tuned

Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
Naona ndicho wanatafuta.....sasa naanza kuelewa.

Maama majeshi ya marekani, Urusi na China yako bize kutengenez mashine za hatari na utafiti wa technolojia.

Tutasikia siku zijazo mguzo zinazofanana na za Mgambo zirudishwe
 
Duh! Kwani kuna siri gani kwenye hii ishu? Naona kama ni ishu ndogo sana kwa Jeshi kupoteza nalo muda. Tujipe muda tutapata majibu ya kinachotafutwa.
Yes the End will justify the meaning. ...Kwa sasa tuliache Jeshi letu tukufu lifanye kazi yake
 


Tuwape na la Ngano Babati na la mpunga Kilosa.



Kama bado watakua na nguvu tuwapeleke kwenye mashamba ya pamba Shinyanga.


Wakishindwa basi tuwafungulie viwanda vya kuvunja kokoto Kama wanavyovunja Tofali kwenye sherehe za uhuru.
 
Kitu chochote chenye kiashiria na mambo ya tpdf ni dhambi kuwa nacho

Saa
Nguo
Viatu (kwa wale mnaopenda mkasulu) unavaaje mkasulu halafu kamanda anavaa buti nyeusi 😎
Kunyoa kipoti
Mamabegi
Mkanda wa kiunoni
Daileki (vitambaa
 
Hapo umenena ndugu yangu
 
Hapo umenena ndugu yangu
 


Tundu la panya halizibwi kwa mkate.



Anaekamatwa kwa uhalifu huku akiwa na sare za JWTZ awajibishwe kwa mujibu wa sheria na wale wote waliowezesha yeye kupata hizo uniform nao wawajibishwe.


Elimu kuhusu JWTZ, JKT, SUMAJKT, POLICETZ zitolewe nchini kote kwa uendelevu Kama zilivyo kampeni za makampuni ya Betting kwenye vituo vya Tv na Radio na Mitandao ya kijamii.

Wanajeshi warudi kwenye jamii. Washirikiane na jamii katika kazi mbali mbali za ujenzi wa taifa. Washiriki matukio ya kijamii yatakayowapa fursa ya kujumuika na jamii bila vikwazo wala vizingiti vya nidhamu ya uoga na Vitisho vya udhalilishaji.

Wanajeshi wawe sehemu ya jamii Kama ilivyokusudiwa wakati wa uumbwaji wao na kupewa majina [emoji117] JESHI LA WANANCHI WA TANZANIA na JESHI LA KUJENGA TAIFA + SHIRIKA LA UZALIZASHAJI MALI JKT.








Kuna watanzania wapo nchi hii hii na hawaijui bendera ya Tanzania na wala hawajui kwamba tunayo bendera ya Tanganyika.

Uzalendo juu ya chochote hautengenezwi kwa vitisho ama manyanyaso, binaadam sio mbwa, utii wake Una kikomo kulingana na uwezo wa uvumilivu wake.


Wananchi wanapaswa kupenda vya nyumbani kwao na sio vya majirani Kama mipaka shume.

Uoga huzaa chuki, Chuki huzaa uovu, Uovu huzaa dhambi na Dhambi huzaa Mauti.





Hivi yule binti (nyumba ndogo) aliyejipiga Selfie na uniform ya sijui kanali mwaka 2016/2017 akatuwekea Facebook aliishia wapi?
 
Kitu chochote chenye kiashiria na mambo ya tpdf ni dhambi kuwa nacho

Saa
Nguo
Viatu (kwa wale mnaopenda mkasulu) unavaaje mkasulu halafu kamanda anavaa buti nyeusi [emoji41]
Kunyoa kipoti
Mamabegi
Mkanda wa kiunoni
Daileki (vitambaa
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]kunyoa kipoti ikoje iyo masta
 
Hivi Kuna zile jungle boot(American boot) zimejaa maduka ya mtumba hapo Arusha nazo wanasema ni za kwao?
 
Aliyetupa laana wtz hakika alituweza, yaani jeshi kuhangaika na Mambo ya kitoto kias hiki?. Jeshi la kipumbavu kabisa....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…