mkuu hayo ni maoni yake mazuri.
Bibilia haina shida yoyote wala haimilikiwi na dhehebu lolote kubwa, labda kama anazungumzia Douay version au dada yake latin vulgate ambayo inamilikiwa na imani ya kikristo huko rumi.
Kuhusu Yesu kuwa mbudha, nizo ni counterfeits tu hakuna ukweli.
Ukweli ni kwamba thomas alihubiri injili kuhusu Yesu hadi india. Na yesu alijulikana toka miaka ya zamani sana huko india. ndiyo maana hata vasco da gama alipoingia india na convoy yake akiwa na baadhi ya wamisionari wa kirumi walishangaa kukutana na wakristo huko St Thomas christians ambao hawakuwa affiliated na kanisa lolote mashuhuri.
Hao wabudha wanashindwa nini kumuintergrate kwenye story zao ili kuchochea confusion?
Conterfeit ni nyingi.
Yesu sijui alioa.
Mara hakuwepo
mara hakufa msalabani
mara aliishi India.
Mara alikuwa muislam
mara alikuwa philosopher kama wakina plato
Mara hajaja yule aliyekuwepo ni msanii tu wa nazareti
Mara hakuwepo hicho kinachofundishwa ni miungu ya misri, ugiriki na babeli
Mara kuna mavitabu na magombo ya siri huko vatican vakifichuliwa watu wataduwaa kuhusu yesu.
Vyote hivyo na mbabaiko wote huu ni ushahidi Yesu Yupo, alikuja, akafa, akafufuka na anakuja upesi Kuwahukumu Walimwengu.
Machafuko dhidi ya uhalisia wa Yesu ni Maandalizi ya tukio kubwa linalouijia ulimwengu (Modern babylon):Ufunuo 18:1-4,