Kumbembeleza mwanamke wakati wa kumtongoza ni kujidhalilisha uanaume wako

Kuna mvuto wa asili, pumzi na ulimi na nyota ya mtu, kuna wenye pesa na hawapati mademu hata wa kawaida tu kisa Utopolo wao, mwanaume kauli thabiti na kujiamini
 
Unata
 
Mi najiamini sana tena kwa kiroho safi tu, Nina mambo mengi sina muda wa chombezo akikubali nampeleka lunch au nampq pesa ya vocha basi kinachobaki ni ratiba zingine pamoja na mpapaso.

When you show ur value as a man ni raha sana
 
Urusi si wanawatoa hadi wafungwa huko,
Au unajua ni vita vya wakulima na wafugaji,
Btw Vita ni mfano tu ila wanaume mmezidi kulalamika ni kama vile mnataka kushindana na wanawake au ndio homons zinachange[emoji848]
Homone zime change zimekuwa za kiume zaidi ndo maana. Hatushindani na wanawake tunashindana na k3ng3 wanaojiita wanawake[emoji38]
 
Kwamba muanzisha thread anawaonea wivu😂😂😂
 
Urusi si wanawatoa hadi wafungwa huko,
Au unajua ni vita vya wakulima na wafugaji,
Btw Vita ni mfano tu ila wanaume mmezidi kulalamika ni kama vile mnataka kushindana na wanawake au ndio homons zinachange[emoji848]
Ni criminal kesi kupeleka front mtu ambaye Hana mafunzo ya kivita .... Vita ikiisha amiri jeshi mkuu wa hyo nchi unatakiwa kunyongwa , uliza kipind cha WW2 viongozi wa Jermany pamoja na Japan baada ya kuelemewa wakaanza kuzoa vijana wa kiume wasio na mafunzo yyte ya kivita wakawa wanaenda kuwa slaughtered under enemy fire, maelf ya vijana waliuawa wakiwapambania wanasiasa uchwara ... Baada ya vita hao viongozi walinyongwa wote .... Sio Tu kisa Una mapumbu ndo unafaa kwenda vitani .... Unamsifia usrusi na matokeo Yake umeyaona ukiwa hapa hapa bongo ndugu yenu amegeuzwa bucha vitani , na tayar ishawekwa wazi Wagner ni kikundi cha kigaidi means wanafanya recruitment Kwa vijana ambao hawana mafunzo yyte mwisho wanauwawa kama kuku...angalia uwezo wa jeshi lako kama linaweza kuzichapa basi game starts Ila kama hamjitoshelezi mnarudi kwenye Meza ya maridhiano na adui yako mnayajenga na sio kuzoa vijana , style ya kipind cha ujima
 
"After all tukiondoa hela zako nini unaoffer kwenye mahusiano? (dada mmoja alishaleta huu Uzi hapa miaka ya nyuma"

[emoji115]

After all ukiondoa uchi wako ni nini una offer kwenye mahusiano? Hivi unalinganishaje hela na vitu vidogo kama pussy? Hivi unaelewa kwanza au ndo naongea na muathirika wa ulaji wa ugali?
 
[emoji23]
 
"Wanawake ni complex sana mkuu...wanapenda Kila kitu kubembelezwa, kudekezwa, kupetiwa petiwa ndio nature yao hakuna discussion katika hilo."

[emoji115]

Kila mtu anaya ride mapenzi anavyoona inafaa. Ukitaka kubembeleza, bembeleza. Na mwingine akitaka kutobembeleza napo na afanye hivyo. Lets agree to disagree
 
kuukubali ukweli ni tatizo kubwa sana miongoni mwetu sisi wanaume.
women wapo na power kwenye dating game wengi hawataki kukubaliana na hili.
Thibitisha ulichoongea kuwa women wapo na power kwenye dating game. Ongea kama msomi
 
Upo nje ya mada, isome tena mada.
 
Aisee 😁😁, miaka mitatu, halafu akija kwangu anakula bure.
 
Ila we jamaa[emoji1787]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…