Pang Fung Mi
JF-Expert Member
- Nov 10, 2022
- 6,653
- 13,919
- Thread starter
-
- #61
Kuna mvuto wa asili, pumzi na ulimi na nyota ya mtu, kuna wenye pesa na hawapati mademu hata wa kawaida tu kisa Utopolo wao, mwanaume kauli thabiti na kujiaminiZipo njia nyingi tu za kummiliki mwanamke, Moja Ni your convincing power na pili uwezo wako wa kifedha.
Kama mtu hayupo vizuri kiuchumi atapply mbinu ya " convincing power" ili mwanamke husika amkubalie.
Mind you, women are so easily concvinced and lied on.
Labda wale zamani miaka ya 90 sio hawa waliojaaa kama njugu, hii game sio lazima kama ni sawa iwe sawa kama ni hapana iwe sawa, akubali kwanza ndio mengine yaendelee au akatae iwe basi.
[/Unataka kuniambia UnatakaUnataka kuniambia hata kama wamejaa kama njugu huhitaji kumshawishi awe wako? Wangapi wanamtongoza awaache akuchague wewe bila hata kumsahwishi? Huko kushawishi ni kufanyeje? Hata kumtoa dinner ni kubembeleza usajisahaulishe au hata dinner hamtaenda? Kw hiyo njia utapata mwamamke njaa njaa tu.Labda wale zamani miaka ya 90 sio hawa waliojaaa kama njugu, hii game sio lazima kama ni sawa iwe sawa kama ni hapana iwe sawa, akubali kwanza ndio mengine yaendelee au akatae iwe basi.
Mi najiamini sana tena kwa kiroho safi tu, Nina mambo mengi sina muda wa chombezo akikubali nampeleka lunch au nampq pesa ya vocha basi kinachobaki ni ratiba zingine pamoja na mpapaso.Unata
Wewe ndiyo fool
Sasa je! BravoKama uko pesa na bado unatongoza kwa kubembeleza basi utakuwa ni lindezi
Homone zime change zimekuwa za kiume zaidi ndo maana. Hatushindani na wanawake tunashindana na k3ng3 wanaojiita wanawake[emoji38]Urusi si wanawatoa hadi wafungwa huko,
Au unajua ni vita vya wakulima na wafugaji,
Btw Vita ni mfano tu ila wanaume mmezidi kulalamika ni kama vile mnataka kushindana na wanawake au ndio homons zinachange[emoji848]
Mada ni kama ilivyo kwenye Uzi halafu niambie ulimaanisha nini kwenye Ile reply yako?umeelewa nilichomaanisha mkuu?
Umeanza ku fail sasaNi ishara mna run Dunia na mnavotupa stimu na visuaruali na vigauni vya kubana manyakee ndio tunazidi kupagawa.
Kwamba muanzisha thread anawaonea wivu😂😂😂Mwanaume anayetumia nguvu nyingi kushindana na mwanamke ni dhaifu na hafai kuitwa mwanaume,
Jando lingerudi jamani mbona hiki kizazi kina vijana wateke wateke hivi! Mtaenda vitani kweli nyie ikitokea kimewaka au ndio mtavaa madera mjifiche kwenye migongo ya dada zenu.
Ni criminal kesi kupeleka front mtu ambaye Hana mafunzo ya kivita .... Vita ikiisha amiri jeshi mkuu wa hyo nchi unatakiwa kunyongwa , uliza kipind cha WW2 viongozi wa Jermany pamoja na Japan baada ya kuelemewa wakaanza kuzoa vijana wa kiume wasio na mafunzo yyte ya kivita wakawa wanaenda kuwa slaughtered under enemy fire, maelf ya vijana waliuawa wakiwapambania wanasiasa uchwara ... Baada ya vita hao viongozi walinyongwa wote .... Sio Tu kisa Una mapumbu ndo unafaa kwenda vitani .... Unamsifia usrusi na matokeo Yake umeyaona ukiwa hapa hapa bongo ndugu yenu amegeuzwa bucha vitani , na tayar ishawekwa wazi Wagner ni kikundi cha kigaidi means wanafanya recruitment Kwa vijana ambao hawana mafunzo yyte mwisho wanauwawa kama kuku...angalia uwezo wa jeshi lako kama linaweza kuzichapa basi game starts Ila kama hamjitoshelezi mnarudi kwenye Meza ya maridhiano na adui yako mnayajenga na sio kuzoa vijana , style ya kipind cha ujimaUrusi si wanawatoa hadi wafungwa huko,
Au unajua ni vita vya wakulima na wafugaji,
Btw Vita ni mfano tu ila wanaume mmezidi kulalamika ni kama vile mnataka kushindana na wanawake au ndio homons zinachange[emoji848]
"After all tukiondoa hela zako nini unaoffer kwenye mahusiano? (dada mmoja alishaleta huu Uzi hapa miaka ya nyuma"Kila mtu ana jinsi yake ya kufanya mambo ikiwemo kutongoza.
Kuna mtu hamuambii mwanamke hata kidogo kwamba nakutaka lakini unakuta kashapewa mbususu.
Ni makosa kudhani ukiwa na hela unaweza mpata Kila mwanamke simply mkuu una ego kubwa sana na wanawake wanaojitambua itakuwa kazi sana kuwapata.
After all tukiondoa hela zako nini unaoffer kwenye mahusiano? (dada mmoja alishaleta huu Uzi hapa miaka ya nyuma).
Wanawake ni complex sana mkuu...wanapenda Kila kitu kubembelezwa, kudekezwa, kupetiwa petiwa ndio nature yao hakuna discussion katika hilo.
[emoji23]AHSANTE MKUU.
YOU ARE THE MAN
FROM NOW ON, Every time i see you posting or starting a thread i will approach you like you are THE MAN.
Ngoja nikazie na mim kidogo
"gentlemen, you can't negotiate attraction"
IF SHE IS NOT ATTRACTED TO YOU JUST PACK YOUR D#CK AND BALLS WALK AWAY.
"Wanawake ni complex sana mkuu...wanapenda Kila kitu kubembelezwa, kudekezwa, kupetiwa petiwa ndio nature yao hakuna discussion katika hilo."Kila mtu ana jinsi yake ya kufanya mambo ikiwemo kutongoza.
Kuna mtu hamuambii mwanamke hata kidogo kwamba nakutaka lakini unakuta kashapewa mbususu.
Ni makosa kudhani ukiwa na hela unaweza mpata Kila mwanamke simply mkuu una ego kubwa sana na wanawake wanaojitambua itakuwa kazi sana kuwapata.
After all tukiondoa hela zako nini unaoffer kwenye mahusiano? (dada mmoja alishaleta huu Uzi hapa miaka ya nyuma).
Wanawake ni complex sana mkuu...wanapenda Kila kitu kubembelezwa, kudekezwa, kupetiwa petiwa ndio nature yao hakuna discussion katika hilo.
Thibitisha ulichoongea kuwa women wapo na power kwenye dating game. Ongea kama msomikuukubali ukweli ni tatizo kubwa sana miongoni mwetu sisi wanaume.
women wapo na power kwenye dating game wengi hawataki kukubaliana na hili.
Upo nje ya mada, isome tena mada.Wanawake wa aina gani unawazungumzia mkuu.
Siku hizi Kuna wadada Wana Kila kitu mpk vingine anakushinda...hategemei chochite kutoka kwako haya kama si upendo kwako anatabaki kufanya nini?
Unafanyeje kuexpress unampenda kama si maneno mazuri, kumjali, kumpa time yako ambavyo mnaita kubembeleza.
Dunia imebadilika wazee.
Aisee 😁😁, miaka mitatu, halafu akija kwangu anakula bure.Mimi hapo sioni tatizo mwanamke kutokukubali upesi...kwa waafrika ndivyo ilivyo. Pia hata Sasa mwanamke atahitaji angalau akujue hata kama hamjaonana kwa kuchat mwezi mmoja ili afanye maamuzi sahihi...
Unataka kuniambia huyu mwanamke asipotoa jibu kw wakati unaotaka wewe hupaswi kumsubiria? Hupaswi kuendelea kumshawishi hata kw kumtoa dinner mbili tatu?
Yaani unataka awe kama ameona lulu akushobokee hata kama hajatathmini akaona kama unafika vigezo vyake?
Zamani Babu zetu walikuwa wanaposa miaka mitatu bado hajakubaliwa una maana walikuwa wazembe? Na baada y hapo Kila msimu wa kilimo lazima aende kulima ukweni au kuchunga ng'ombe kutunza heshima apewe mke...Kuna kubembeleza zaidi y huko....unabembeleza ukoo mzima wakupe mke si mke tu sababu mke hana maamuzi wazee wakikataa.
Tusemeni tu sisi tumekuta wanawake ni WA bure bure tu na hawajitambui.
Hii facts, i like the process, it's exciting, nikimpta nakuwa bored natam turud kwenye kutongozana[emoji23]Hv unajua kutongoza ni raha sana. Hujajua hii siri
Ila we jamaa[emoji1787]Bro!
kwa uelewa wangu,
she was not attracted to you to the first place.
Wanawake pia wanachagua mkuu, sasa hajavutiwa nawewe? wtf are you waiting for?
kilichotokea nikwamba amekupa favor (how does it feel?).
mwanamke akivutiwa nawewe atakutunuku hata ndani ya dakika chache tu. hakuna cultural wala social factor mkuu IT'S WOMAN NATURE AU NISEME HUMAN NATURE,