Kumbomolea machinga ni sawa na kumuachisha mtu kazi bila malipo yoyote

Kumbomolea machinga ni sawa na kumuachisha mtu kazi bila malipo yoyote

Tatizo huelewi kuwa wanaosababisha hii adha ni sisi ambao tunatumia daladala. Tuna tabia ya kufanya shopping tukitelemka kutoka katika daladala. Tukiacha tabia hiyo na wamachinga watahama. Hukomeshi tabia kwa kupambana na matokeo bali chanzo.
nani asiyeelewa sasa mimi au wewe? mnunuzi anafuata biadhaa zilipo na penye wepesi kwake, tatizo liko kwa watu wa mipango miji kutokupanga na kusiamamia miji.

wewe unayemlaumu machinga unakuta ukienda mtaani kwani unatupa taka barabarani, unaishi umejenga holelala nako utasema sisi ndiyo tunapenda uholela?

tunatumia vitu vya holela kwa sababu wenye dhamana ya kuweka utaratibu hawako serious kutuwekea utaratibu na kuusiamamia.

na kuusimamia siyo kuacha mambo yanaenda hovyo alafu unakurupuka siku moja na kuharibu maisha ya watu.
 
Hadi unajenga kibanda sehemu isiyotakiwa, ulikuwa unafikiria nini?

Unajenga banda juu ya mtaro au sehemu imewekwa pavings za waenda kwa miguu, halafu unasingizia hakuna master plan!!!

Kuna maeneo kama Kariakoo, Mbezi Mwisho watu wameweka biashara zao juu ya lami, sasa hii inahitaji masterplan kweli?
Mkishawatumia kama mtaji wenu wa kisiasa mnaishia kuwa damp kama toilet paper, pambaneni na hali zenu....machinga are there to stay.
 
Back
Top Bottom