KUMBUKIZI: Mada maalum ya kumuenzi Munga Tehnan na kazi zake

KUMBUKIZI: Mada maalum ya kumuenzi Munga Tehnan na kazi zake

Kwa wengi wasiomfahamu ndio alikuwa Mmiliki wa gazeti la utambuzi liitwalo JITAMBUE na MSHAURI. Humo ndani kulijaa madini tupu ya falsafa kindakindaki, saikolijia, mambo ya kiroho kijamii hata utani na simulizi za kufurahisha sana
Hivi ni ipi nafasi ya Falsafa kwenye jamii na ina umuhimu gani ?
 
Magazeti ya JITAMBUE yanaishi .
BROTHER Wangu aliingia kwenye drugs, akayabeba magazeti yote library akaenda kuyauza. It was my greatest heartbreak
Nafili unavyoumia, nilikuwa na nakala za kuanzia 2007 hadi 2009, sista angu alijitolea kupiga usafi ktk geto langu, kakuta nimezitandaza katikati ya chaga na godoro ye akaona kama ni uchafu so nilikuta magazeti yote kapiga kiberiti, hakuna siku niliyoumia kama siku hiyo!!
 
Hivi ni ipi nafasi ya Falsafa kwenye jamii na ina umuhimu gani ?
Katika mtanadao wa Wikidepia Free Encyclopedia neno Falsafa (Kigiriki φιλοσοφία filosofía = upendo wa hekima) ni jaribio la kuelewa na kueleza ulimwengu kwa kutumia akili inayofuata njia ya mantiki.
Falsafa huchunguza mambo kama kuweko na kutokuweko, ukweli, ujuzi, uzuri, mema na mabaya, lugha, haki na mengine yoyote.
Tofauti na dini, imani au itikadi njia ya falsafa ni mantiki inayoeleza hatua zake ikiwa tayari kuchungulia upya kila hatua iliyochukua. Kwa hiyo falsafa ni njia ya maswali.
Katika lugha ya kila siku neno "falsafa" mara nyingi linachukuliwa kutaja jumla ya mafundisho au imani ya mtu au kundi la watu kwa mfano "falsafa ya chama fulani", "falsafa ya maisha yangu" na kadhalika. Lakini kwa jumla fikra hizo hazistahili kuitwa "falsafa". Ila tu kuna makundi ya wanafalsafa wanaopendelea mielekeo tofauti na kuhusu haya inawezekana kutumia neno "falsafa ya fulani" kwa kutaja matokeo ya kazi yao.
 
Nafili unavyoumia, nilikuwa na nakala za kuanzia 2007 hadi 2009, sista angu alijitolea kupiga usafi ktk geto langu, kakuta nimezitandaza katikati ya chaga na godoro ye akaona kama ni uchafu so nilikuta magazeti yote kapiga kiberiti, hakuna siku niliyoumia kama siku hiyo!!
Dah wewe ndio mimi kabisa.. Wangu alikuwa mtoto wa anko
 
Gazeti lake lilikua linatoka j4 na alhamisi ,miongoni mwa vitu muhimu sana kwangu kipindi iko ni Gazeti la jitambue .
Jambo kubwa kupita yooooote nilijifunza kupitia makala ni hiii.
JE UNAJUA KUA NA WANAUME WANA SIKU ŹAO KAMA WANAWAKE ,ISIPOKUA HAWANA HADHI.
Jitambue lilikuwa linatoka Mara moja kwa wiki, kila jumatano mkuu
 
Dunia hii Ina hazina ya maarifa yasiyofutika
Je kifo chake kilikuwa cha lazima? Cha bahati mbaya? Je kilikuwa kifo kabla ya kifo? Kwanini?
Kuna siku haya maswali yayahojiwa
 
Jiulize kwanini waislam hadi leo kaburi la mtume Mohamed lipo na wanakwenda kuhiji hii inaimarisha dini ya kiislam kwa YESU sina usemi maana alipaa mbinguni.
Hapa nakuweka sawa kidogo. Kwenye Uislamu kuna taratibu za ufanyaji wa kila jambo.

Ni makosa kuweka uhusiano wa ibada ya Hija na kaburi la Mtume. Mitume huzikwa pale wanapofia, yaani sehemu ambayo amekufa mwili unasogezwa mwili kaburi linachimbwa anazikwa. Imekuwa hivyo sababu kihistoria mtume alifia kwenye nyumba, kaburi likachimbwa hapo hapo akazikwa, msikiti wa Makka, kutokana kutanuliwa kwake Kaburi likaingia ndani ya Msikiti.

Kadhalika kiislamu haifai kusafirisha maiti, sababu ardhi yote ni ya Mola, na tunacho usiwa sisi Waislamu kabla ya kufa, tuwe tumeandika usia wa kuwasihi watu ukifa wakuzike kama alivyofundisha Mtume, huu ndiyo utaratibu wetu na hili ni jambo la wajibu.
 
Nakumbuka kichwa cha habari mwaka flani nadhani 2001 au 2002 wa gazeti lake kama ifuatavyo ''MAJUNGU KAZINI HUIMARISHA AFYA ZA WAFANYAKAZI'' nilimwonyesha boss wangu alicheka sana.
Sasa ukisoma ndani ndio utashangaa kilichoandikwa yaani jumbe zote zilijaa falsafa kali nikagundua huyu jamaa alikuwa na kipaji sana maana unaweza ukaona kichwa cha habari ukasoma ukakuta vingine mfano maana yake alimaanisha kuwa kazini ili muajiri kazi yake iende vizuri wafanyakazi lazima wapate uhuru wa kubadilishana mawazo kupunguza stress sio kuwagawa wawe maadui RIP Tehana.Na nakumbuka kulikuwa na club ya Jitambue members.
Alikuwa na kipaji cha kuchambua mambo kama Mshana Jr
 
Hapa nakuweka sawa kidogo. Kwenye Uislamu kuna taratibu za ufanyaji wa kila jambo.

Ni makosa kuweka uhusiano wa ibada ya Hija na kaburi la Mtume. Mitume huzikwa pale wanapofia, yaani sehemu ambayo amekufa mwili unasogezwa mwili kaburi linachimbwa anazikwa. Imekuwa hivyo sababu kihistoria mtume alifia kwenye nyumba, kaburi likachimbwa hapo hapo akazikwa, msikiti wa Makka, kutokana kutanuliwa kwake Kaburi likaingia ndani ya Msikiti.

Kadhalika kiislamu haifai kusafirisha maiti, sababu ardhi yote ni ya Mola, na tunacho usiwa sisi Waislamu kabla ya kufa, tuwe tumeandika usia wa kuwasihi watu ukifa wakuzike kama alivyofundisha Mtume, huu ndiyo utaratibu wetu na hili ni jambo la wajibu.
Ahsante kwa kunirekebisha.Ila waislam ninachowapendea kwenye kuzika hawana mbwembwe na complications nyingi mfano kusakafia kwa marumaru,matarumbeta,maua,kuzikwa na pesa na magari kaburini.mtu anazikwa anagusa udogo moja kwa moja japo anazikwa na sanda.Hata kuiweka maiti muda mrefu hata mwezi na kuiangalia angalia muda wote hii kitu hakuna.
Raisi Sani Abacha wa Nigeria alifariki hakutangazwa ila walitangaza redioni tayari akiwa ameshazikwa i like this kwa kweli
Jurjani unasemaje hapo nirekebishe kama nimekosea kitu au ongezea
 
Hili jengi huwa naliona sana,sababu naliona liko baina ya Kona na Kibo.
Kuna kipindi lilikuwa na mgogoro sijui ni mipaka au ninini..likapigwa X..kama bado lipo tunaweza kujipanga upya[emoji848][emoji848]
 
Munga Tehenani ni menta wangu amenichange maisha yangu Hadi leo nimeyatunza magazeti yake.
Please share nasi hata screen shorts
Vilevile tunaweza kuwa na project ya kuyahamishia kwenye soft copy maana mtandaoni hayapo
 
Nakumbuka kichwa cha habari mwaka flani nadhani 2001 au 2002 wa gazeti lake kama ifuatavyo ''MAJUNGU KAZINI HUIMARISHA AFYA YA WAFANYAKAZI'' nilimwonyesha boss wangu alicheka sana.
Sasa ukisoma ndani ndio utashangaa kilichoandikwa yaani jumbe zote zilijaa falsafa kali nikagundua huyu jamaa alikuwa na kipaji sana maana unaweza ukaona kichwa cha habari ukasoma ukakuta vingine mfano maana yake alimaanisha kuwa kazini ili muajiri kazi yake iende vizuri wafanyakazi lazima wapate uhuru wa kubadilishana mawazo kupunguza stress sio kuwagawa wawe maadui RIP Tehana.Na nakumbuka kulikuwa na club ya Jitambue members.
Alikuwa na kipaji cha kuchambua mambo kama Mshana Jr
[emoji1545][emoji1545][emoji1545] ni wakati FAJI - Familia ya Jitambue inaanza kukua ndio mshumaa ukazimika
Hakupaswa kuondoka mapema vile[emoji29]
giphy.gif
 
Back
Top Bottom