Kumbukizi :Mwanafunzi wa Shule ya Kikatoliki amuua mwalimu kwa kumchoma kisu darasani.

Kumbukizi :Mwanafunzi wa Shule ya Kikatoliki amuua mwalimu kwa kumchoma kisu darasani.

Wakristo Wana chuki sana hao viumbe,, mi kwangu sipangishi iyo jamii kbs
Wewe sema wazi unafuata vizuri mafundisho ya Allah

Allah anasema
Koran 5;51. Enyi mlio amini! Msiwafanye Mayahudi na Wakristo kuwa ni marafiki.....
 
Moja kwa moja..

Mwalimu katika shule ya sekondari ya binafsi katika mji wa Ufaransa wa Saint-Jean-de-Luz karibu na Biarritz ameuawa kwa kuchomwa kisu na mwanafunzi siku ya Jumatano alipokuwa akifundisha darasani.

Mshukiwa wa shambulio hilo, mwenye umri wa miaka 16, alikamatwa na kuwekwa chini ya ulinzi wa polisi na mwathiriwa alikuwa mwalimu wa Kihispania mwenye umri miaka 56.

“Ninaweza kuthibitisha kwamba kumekuwa na kuchomwa kisu na kwamba mwathiriwa amekufa”

mwendesha mashtaka wa umma huko Bayonne, Jerome Bourrier, aliiambia shirika la AFP.

Matukio hayo yalifanyika katika shule ya Kikatoliki ya Saint-Thomas d’Aquin huko Saint-Jean-de-Luz, yapata kilomita 20 kusini mwa Biarritz karibu na mpaka wa Uhispania.

Hii ni mara ya kwanza kwa mwalimu kuuawa wakati wa majukumu yake nchini Ufaransa tangu mauaji ya Samuel Paty katika msimu wa vuli mwaka 2020.
View attachment 2695951
Nb: Islamaphobia ipo, nimeona uzi ukihusisha mwanafunzi wa Shule ya Qiblatan kununua mwalimu .Jinsi watu walivyokuwa wapuuzi wanaacha kujadili tukio na kukemea wanaanza Kashfa za kidini kipuuzi kana kwambwa dini imemuamrisha hivyo na matukio kama hayo hufanfwa na Waislamu tu.

Tukija huku bongo matukio ya mauaji na ukatili yanatokea mikoa ambayo yanakaliwa zaidi na watu wa dini nyingine huwezi kuwakuta wenye akili timamu wanahusisha matukio hayo na dini yao.

Watu wamekosea busara na akili kwa sababu ya chuki kiasi ambacho wanakosa uadilifu.
Kwan huyo mwanafunz wa ufaransa nae c alikuwa mwislam Chief au umesahau
 
Haiondoi uhaliasia wa mafundisho ya mauaji mnayopewa waislamu

Muanjilishi huyu hapa
Muhammad said; I have been given superiority over the other prophets in six respects: I have been given words which are concise but comprehensive in meaning; I have been helped by terror (in the hearts of enemies):......Sahih Muslim 523a
1-Samuel-15-3(4).jpg



Tunaendele kujifunza somo la uadilifu ,kabla ya kusema mafundisho ya wengine hakikisha umekagua mafundisho Yako kwanza.
1589626440983.png
 
Moja kwa moja..

Mwalimu katika shule ya sekondari ya binafsi katika mji wa Ufaransa wa Saint-Jean-de-Luz karibu na Biarritz ameuawa kwa kuchomwa kisu na mwanafunzi siku ya Jumatano alipokuwa akifundisha darasani.

Mshukiwa wa shambulio hilo, mwenye umri wa miaka 16, alikamatwa na kuwekwa chini ya ulinzi wa polisi na mwathiriwa alikuwa mwalimu wa Kihispania mwenye umri miaka 56.

“Ninaweza kuthibitisha kwamba kumekuwa na kuchomwa kisu na kwamba mwathiriwa amekufa”

mwendesha mashtaka wa umma huko Bayonne, Jerome Bourrier, aliiambia shirika la AFP.

Matukio hayo yalifanyika katika shule ya Kikatoliki ya Saint-Thomas d’Aquin huko Saint-Jean-de-Luz, yapata kilomita 20 kusini mwa Biarritz karibu na mpaka wa Uhispania.

Hii ni mara ya kwanza kwa mwalimu kuuawa wakati wa majukumu yake nchini Ufaransa tangu mauaji ya Samuel Paty katika msimu wa vuli mwaka 2020.
View attachment 2695951
Nb: Islamaphobia ipo, nimeona uzi ukihusisha mwanafunzi wa Shule ya Qiblatan kununua mwalimu .Jinsi watu walivyokuwa wapuuzi wanaacha kujadili tukio na kukemea wanaanza Kashfa za kidini kipuuzi kana kwambwa dini imemuamrisha hivyo na matukio kama hayo hufanfwa na Waislamu tu.

Tukija huku bongo matukio ya mauaji na ukatili yanatokea mikoa ambayo yanakaliwa zaidi na watu wa dini nyingine huwezi kuwakuta wenye akili timamu wanahusisha matukio hayo na dini yao.

Watu wamekosea busara na akili kwa sababu ya chuki kiasi ambacho wanakosa uadilifu.
Huu ndio ukweli.Mti wenye matunda ndio unaopigwa mawe.
 
Kunaondoa vipi uhalisia wa tukio mbona Nyerere day kila mwaka inaadhimishwa ?

Nilikuwa sina bando na nikapuuza sasa nimeona umuhimu wa kuweka kwa sababu Jf idadi ya wapuuzi waiotumia vizuri akili zao humu imeongezeka kwa kasi. Watu hao ni wale waliokosa uadilifu katika kauli zao.
Huu ndio ukweli.
 
Wakristo Wana chuki sana hao viumbe,, mi kwangu sipangishi iyo jamii kbs
Wala hao sio wakristo,mbona familia nyingi za kiislamu zinamchanganyiko na ndugu wakristo,hasa sehemu za mikoa ya Morogoro,Tanga na wanaishi vizuri na kushirikiana kwenye misiba na harusi.
 
Tena ya dk 90 tunasubiri extra time...
Ndiyo kusema umemjibu rafiki yako Jenta aka Popoma!!! Maana ndiye mwanzilishi wa huo uzi kama sijakosea. Na ameuleta kishabiki kama ilivyo kawaida yake.
 
Tukija huku bongo matukio ya mauaji na ukatili yanatokea mikoa ambayo yanakaliwa zaidi na watu wa dini nyingine huwezi kuwakuta wenye akili timamu wanahusisha matukio hayo na dini yao.
Aisee nilikuwa sijui kwamba watu wa dini nyingine ndio wanaongoza kwa matukio ya mauaji ya kikatili
Huu ndio ukweli.
 
Akili fupi za waislamu utazijua tu. Yani wao kutwa ni kushindana na ukristo, sasa unatafuta comeback ili? ujinga ujinga tu. Uislamu unapata tabu sana sababu ya inferiority complex na kushindana na asie na muda na wewe.
Sio kweli,wakristo wa uongo.ndio wanashindana na uislamu kama wewe.Wakristo wenyew hasa,wana undugu na waislamu,wanaishi vizuri.Ntinyi wakristo wa uongo,wakimbizi,ndio mnaoleta uchochezi.Wakristo watanzania na waislamu ni ndugu,hawabaguani.
 
Ooh kumbe ni mabishano ya hizi dini zetu zilizoletwa na wageni! Basi wendelee
Mambo ya majahazi sisi ni nani tuanze kuyakomalia wakati hatujui ilikuaje uzuri hizi dini hatupishani sana maana zote zimekuja na vyombo sawa noma ingekua kama moja imekuja kwa ndege aloo tungeambiwa hio ndege ilitoka mbinguni moja kwa moja
 
Akili fupi za waislamu utazijua tu. Yani wao kutwa ni kushindana na ukristo, sasa unatafuta comeback ili? ujinga ujinga tu. Uislamu unapata tabu sana sababu ya inferiority complex na kushindana na asie na muda na wewe.
Punguza ujinga wewe,migalatia ndio kukiwa na mada inahusu ukristo lazima iingize uislamu,we mama acha kukurupuka bila kanga.
 
View attachment 2696017


Tunaendele kujifunza somo la uadilifu ,kabla ya kusema mafundisho ya wengine hakikisha umekagua mafundisho Yako kwanza.View attachment 2696020
Mnafundisha vijana ugaidi wakifanya kwa vitendo mnalialia

Muanjilishi huyu hapa
Muhammad said; I have been given superiority over the other prophets in six respects: I have been given words which are concise but comprehensive in meaning; I have been helped by terror (in the hearts of enemies):......Sahih Muslim 523a
 
Haiondoi uhaliasia wa mafundisho ya mauaji mnayopewa waislamu

Muanjilishi huyu hapa
Muhammad said; I have been given superiority over the other prophets in six respects: I have been given words which are concise but comprehensive in meaning; I have been helped by terror (in the hearts of enemies):......Sahih Muslim 523a
Yesu anasema
"Bwana ni mtu wa vita"
Kutoka 15:3
Yesu asema
"Msidhani nimekuja kuleta amani,sikuja kuketa amani bali upanga "
Matthew 26:39-46
 
Punguza ujinga wewe,migalatia ndio kukiwa na mada inahusu ukristo lazima iingize uislamu,we mama acha kukurupuka bila kanga.
Mjinga ni wewe na mtume wako muongo muongo, hiyo mada kaweka kusudi ili tuongee, nendeni qiblatain pale
 
Back
Top Bottom