Wewe sema wazi unafuata vizuri mafundisho ya AllahWakristo Wana chuki sana hao viumbe,, mi kwangu sipangishi iyo jamii kbs
Allah anasema
Koran 5;51. Enyi mlio amini! Msiwafanye Mayahudi na Wakristo kuwa ni marafiki.....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe sema wazi unafuata vizuri mafundisho ya AllahWakristo Wana chuki sana hao viumbe,, mi kwangu sipangishi iyo jamii kbs
Kwan huyo mwanafunz wa ufaransa nae c alikuwa mwislam Chief au umesahauMoja kwa moja..
Mwalimu katika shule ya sekondari ya binafsi katika mji wa Ufaransa wa Saint-Jean-de-Luz karibu na Biarritz ameuawa kwa kuchomwa kisu na mwanafunzi siku ya Jumatano alipokuwa akifundisha darasani.
Mshukiwa wa shambulio hilo, mwenye umri wa miaka 16, alikamatwa na kuwekwa chini ya ulinzi wa polisi na mwathiriwa alikuwa mwalimu wa Kihispania mwenye umri miaka 56.
“Ninaweza kuthibitisha kwamba kumekuwa na kuchomwa kisu na kwamba mwathiriwa amekufa”
mwendesha mashtaka wa umma huko Bayonne, Jerome Bourrier, aliiambia shirika la AFP.
Matukio hayo yalifanyika katika shule ya Kikatoliki ya Saint-Thomas d’Aquin huko Saint-Jean-de-Luz, yapata kilomita 20 kusini mwa Biarritz karibu na mpaka wa Uhispania.
Hii ni mara ya kwanza kwa mwalimu kuuawa wakati wa majukumu yake nchini Ufaransa tangu mauaji ya Samuel Paty katika msimu wa vuli mwaka 2020.
View attachment 2695951
Nb: Islamaphobia ipo, nimeona uzi ukihusisha mwanafunzi wa Shule ya Qiblatan kununua mwalimu .Jinsi watu walivyokuwa wapuuzi wanaacha kujadili tukio na kukemea wanaanza Kashfa za kidini kipuuzi kana kwambwa dini imemuamrisha hivyo na matukio kama hayo hufanfwa na Waislamu tu.
Tukija huku bongo matukio ya mauaji na ukatili yanatokea mikoa ambayo yanakaliwa zaidi na watu wa dini nyingine huwezi kuwakuta wenye akili timamu wanahusisha matukio hayo na dini yao.
Watu wamekosea busara na akili kwa sababu ya chuki kiasi ambacho wanakosa uadilifu.
Haiondoi uhaliasia wa mafundisho ya mauaji mnayopewa waislamu
Muanjilishi huyu hapa
Muhammad said; I have been given superiority over the other prophets in six respects: I have been given words which are concise but comprehensive in meaning; I have been helped by terror (in the hearts of enemies):......Sahih Muslim 523a
Huu ndio ukweli.Mti wenye matunda ndio unaopigwa mawe.Moja kwa moja..
Mwalimu katika shule ya sekondari ya binafsi katika mji wa Ufaransa wa Saint-Jean-de-Luz karibu na Biarritz ameuawa kwa kuchomwa kisu na mwanafunzi siku ya Jumatano alipokuwa akifundisha darasani.
Mshukiwa wa shambulio hilo, mwenye umri wa miaka 16, alikamatwa na kuwekwa chini ya ulinzi wa polisi na mwathiriwa alikuwa mwalimu wa Kihispania mwenye umri miaka 56.
“Ninaweza kuthibitisha kwamba kumekuwa na kuchomwa kisu na kwamba mwathiriwa amekufa”
mwendesha mashtaka wa umma huko Bayonne, Jerome Bourrier, aliiambia shirika la AFP.
Matukio hayo yalifanyika katika shule ya Kikatoliki ya Saint-Thomas d’Aquin huko Saint-Jean-de-Luz, yapata kilomita 20 kusini mwa Biarritz karibu na mpaka wa Uhispania.
Hii ni mara ya kwanza kwa mwalimu kuuawa wakati wa majukumu yake nchini Ufaransa tangu mauaji ya Samuel Paty katika msimu wa vuli mwaka 2020.
View attachment 2695951
Nb: Islamaphobia ipo, nimeona uzi ukihusisha mwanafunzi wa Shule ya Qiblatan kununua mwalimu .Jinsi watu walivyokuwa wapuuzi wanaacha kujadili tukio na kukemea wanaanza Kashfa za kidini kipuuzi kana kwambwa dini imemuamrisha hivyo na matukio kama hayo hufanfwa na Waislamu tu.
Tukija huku bongo matukio ya mauaji na ukatili yanatokea mikoa ambayo yanakaliwa zaidi na watu wa dini nyingine huwezi kuwakuta wenye akili timamu wanahusisha matukio hayo na dini yao.
Watu wamekosea busara na akili kwa sababu ya chuki kiasi ambacho wanakosa uadilifu.
Huu ndio ukweli.Kunaondoa vipi uhalisia wa tukio mbona Nyerere day kila mwaka inaadhimishwa ?
Nilikuwa sina bando na nikapuuza sasa nimeona umuhimu wa kuweka kwa sababu Jf idadi ya wapuuzi waiotumia vizuri akili zao humu imeongezeka kwa kasi. Watu hao ni wale waliokosa uadilifu katika kauli zao.
Wala hao sio wakristo,mbona familia nyingi za kiislamu zinamchanganyiko na ndugu wakristo,hasa sehemu za mikoa ya Morogoro,Tanga na wanaishi vizuri na kushirikiana kwenye misiba na harusi.Wakristo Wana chuki sana hao viumbe,, mi kwangu sipangishi iyo jamii kbs
Ndiyo kusema umemjibu rafiki yako Jenta aka Popoma!!! Maana ndiye mwanzilishi wa huo uzi kama sijakosea. Na ameuleta kishabiki kama ilivyo kawaida yake.Tena ya dk 90 tunasubiri extra time...
Hivi alikuwa mwislam kumbe!Kwan huyo mwanafunz wa ufaransa nae c alikuwa mwislam Chief au umesahau
Nyinyi wengi mnaojifanya ni wakristo sio wakristo na pia sio watanzania wa asili.Wakristo na waislamu wengi katika mikoa ya Pwani ni ndugu wa ukoo mmoja,na wanashirikiana katika misiba na harusi.Huwezi kutupangisha maana tutafukuza majini unayoyafuga
Huu ndio ukweli.Tukija huku bongo matukio ya mauaji na ukatili yanatokea mikoa ambayo yanakaliwa zaidi na watu wa dini nyingine huwezi kuwakuta wenye akili timamu wanahusisha matukio hayo na dini yao.
Aisee nilikuwa sijui kwamba watu wa dini nyingine ndio wanaongoza kwa matukio ya mauaji ya kikatili
Alikuwa ustaadh sheikh.
Sio kweli,wakristo wa uongo.ndio wanashindana na uislamu kama wewe.Wakristo wenyew hasa,wana undugu na waislamu,wanaishi vizuri.Ntinyi wakristo wa uongo,wakimbizi,ndio mnaoleta uchochezi.Wakristo watanzania na waislamu ni ndugu,hawabaguani.Akili fupi za waislamu utazijua tu. Yani wao kutwa ni kushindana na ukristo, sasa unatafuta comeback ili? ujinga ujinga tu. Uislamu unapata tabu sana sababu ya inferiority complex na kushindana na asie na muda na wewe.
Mambo ya majahazi sisi ni nani tuanze kuyakomalia wakati hatujui ilikuaje uzuri hizi dini hatupishani sana maana zote zimekuja na vyombo sawa noma ingekua kama moja imekuja kwa ndege aloo tungeambiwa hio ndege ilitoka mbinguni moja kwa mojaOoh kumbe ni mabishano ya hizi dini zetu zilizoletwa na wageni! Basi wendelee
Punguza ujinga wewe,migalatia ndio kukiwa na mada inahusu ukristo lazima iingize uislamu,we mama acha kukurupuka bila kanga.Akili fupi za waislamu utazijua tu. Yani wao kutwa ni kushindana na ukristo, sasa unatafuta comeback ili? ujinga ujinga tu. Uislamu unapata tabu sana sababu ya inferiority complex na kushindana na asie na muda na wewe.
Nenda Qiblatain ukawaeleze maana huko ufaransa hapakuhusu.Malengo ya uzi ni kufundisha somo la uadilifu hayo mengine baki nayo mwenyewe.
Mnafundisha vijana ugaidi wakifanya kwa vitendo mnalialiaView attachment 2696017
Tunaendele kujifunza somo la uadilifu ,kabla ya kusema mafundisho ya wengine hakikisha umekagua mafundisho Yako kwanza.View attachment 2696020
Yesu anasemaHaiondoi uhaliasia wa mafundisho ya mauaji mnayopewa waislamu
Muanjilishi huyu hapa
Muhammad said; I have been given superiority over the other prophets in six respects: I have been given words which are concise but comprehensive in meaning; I have been helped by terror (in the hearts of enemies):......Sahih Muslim 523a
[emoji124][emoji16]Huwezi kutupangisha maana tutafukuza majini unayoyafuga
Mjinga ni wewe na mtume wako muongo muongo, hiyo mada kaweka kusudi ili tuongee, nendeni qiblatain palePunguza ujinga wewe,migalatia ndio kukiwa na mada inahusu ukristo lazima iingize uislamu,we mama acha kukurupuka bila kanga.
Yesu anasemaWewe sema wazi unafuata vizuri mafundisho ya Allah
Allah anasema
Koran 5;51. Enyi mlio amini! Msiwafanye Mayahudi na Wakristo kuwa ni marafiki.....