Kumbukizi :Mwanafunzi wa Shule ya Kikatoliki amuua mwalimu kwa kumchoma kisu darasani.

Kumbukizi :Mwanafunzi wa Shule ya Kikatoliki amuua mwalimu kwa kumchoma kisu darasani.

Ndiyo kusema umemjibu rafiki yako Jenta aka Popoma!!! Maana ndiye mwanzilishi wa huo uzi kama sijakosea. Na ameuleta kishabiki kama ilivyo kawaida yake.
Hahaha!! lengo sio kujibu bali ni kuasa tuwe waadilifu yeye hakufanya vibaya kuleta taarifa japo kama kawaida yake katia udambwidambwi mwingin kwenye uzi kiasi ambacho ukawa kama wa kishabiki kitu ambacho ni makosa katika jambo kama lile na nikaona Abuu yaseer akamkosoa vizuri makosa katika udambwidambwi alioongeza.

Kilichosikitisha zaidi ni wachangiaji asimia kubwa kukosa uadilifu na kuzungumza kimhemko..
 
Yesu anasema
"Bwana ni mtu wa vita"
Kutoka 15:3
Yesu asema
"Msidhani nimekuja kuleta amani,sikuja kuketa amani bali upanga "
Matthew 26:39-46
Si ndio nyie msiotupenda mkaja kutuua na kutupinga kila jambo. Alafu bibilia haitafsiriwi kizembe zembe hivo kuna exegesis na context, unadhani hii ni kama ule uharo wenu.
 
Mjinga ni wewe na mtume wako muongo muongo, hiyo mada kaweka kusudi ili tuongee, nendeni qiblatain pale
Kwani wewe punguani umeitwa kwenye hii mada? Nenda ukakanyage mafuta ya upako ili upate utajiri wa kimiujiza bila kufanya kazi,usisahau kununua na chumvi ya upako.
 
Si ndio nyie msiotupenda mkaja kutuua na kutupinga kila jambo. Alafu bibilia haitafsiriwi kizembe zembe hivo kuna exegesis na context, unadhani hii ni kama ule uharo wenu.
Mashoga hua mnapenda kuwaza uharo,vipi hua mpaka unakutoka huo uharo?
 
Yesu anasema
"Bwana ni mtu wa vita"
Kutoka 15:3
Yesu asema
"Msidhani nimekuja kuleta amani,sikuja kuketa amani bali upanga "
Matthew 26:39-46
Kwahiyo hiyo vita alioisema YESU ndiyo imeanza mwanafunzi kumuua Mwl wake? Kumbe Bible mnaisoma vizuri da mpo vizuri sana, bado kuilelewa tu.

Sent from my HUAWEI KII-L22 using JamiiForums mobile app
 
Mnafundisha vijana ugaidi wakifanya kwa vitendo mnalialia

Muanjilishi huyu hapa
Muhammad said; I have been given superiority over the other prophets in six respects: I have been given words which are concise but comprehensive in meaning; I have been helped by terror (in the hearts of enemies):......Sahih Muslim 523a
Mimi kazi yangu nishamaliza na sasa nakupuuza rasmi ,huwa sipendelei mabishano na watu wa dizaini yako ambao mabishano kwenu kama kazi inayokuingizia kipato cha kila siku.Afadhali ungekuwa unaofuata kanuni za majadiliano ..

Nakuutaarifu hutoniona nikukujibu hapa tena #SitakiLigi.
 
Hamuwezi kusema kuwa mwanafunzi wa shule fulani na sio.kutaja taasisi inayo miliki shule? Mnapenda udini sana
 

Uzi huu unauchambuzi zaidi juu ya mentality mbovu miongoni mwao watu humu.

Che mittoga
Screenshot_20230722-135140_Instagram.jpg
 
Yesu anasema
"Bwana ni mtu wa vita"
Kutoka 15:3
Yesu asema
"Msidhani nimekuja kuleta amani,sikuja kuketa amani bali upanga "
Matthew 26:39-46


FICHA UJINGA.
KAMA HUJUI VITU SEMA TUKUSAIDIE.

MAANA YA UPANGA.

Tena ipokeeni chapeo ya wokovu na upanga wa Roho ambao ni neno la Mungu. —WAEFESO 6:17
 
Wewe sema wazi unafuata vizuri mafundisho ya Allah

Allah anasema
Koran 5;51. Enyi mlio amini! Msiwafanye Mayahudi na Wakristo kuwa ni marafiki.....
Tukisema tuweke vifungu Moja kuwa moja katika maandiko ya vitabu vya dini mtu utakosea vitu vingi.

Hata humu mkiwekewa vifungu vya bible vinavyowabana majibu yenu ni;

1.Bible haisomwi kama gazeti.
2.Hiyo sio maana yake umetafsiri vibaya.
3.Hauwezi kuelewa kama hauna(haujapitiwa) na ROHO MTAKATIFU
4.Nk.

Ila ukija upande wa uislamu unataka uweke vifungu Moja kuwa Moja kuaminisha watu kuwa msingi wa hiyo aya ni kama ilvyoandikwa ,sasa hapo ni kukosa uadilifu na hilo ndio somo la leo.

Kiufupi Qu'ran na mafundisho ya Uislamu yana misingi yake katika kuendelea ,kuelewa na kutekeleza maaamrisho mfano kuna aya inataka mwizi akatwe kiganja cha mkono na haijabainisha wazi, lakini mwizi wa Big G , chapati ,au ayedokoa mchele kwa Mangi huwezi hawezwi kukatwa kiganja cha mkono kisheria kama yule aliyeiba Mamilioni ,gari nk .Na kuchukua maandiko kibubusa(blindly) bila kufuata misingi ndio chanzo cha hawa MaAlshabaab.

Kwa namna hiyo ndio maana nakuacha tu sababu hauna nia njema bali mabishano yaliyosa msingi.
 
Kwan huyo mwanafunz wa ufaransa nae c alikuwa mwislam Chief au umesahau
Labda itakuwa umechanganya matukio .Hili nililoleta uzi aliyefanya ni mwanafunzi wa Shule hiyo hiyo na sio mvamizi sasa niambie kama mwanafunzi wa hiyo shule ya Kikatoliki alikuwa Muislamu.

Nipe ushahidi wa maneno yako tafadhali.
 
Wala hao sio wakristo,mbona familia nyingi za kiislamu zinamchanganyiko na ndugu wakristo,hasa sehemu za mikoa ya Morogoro,Tanga na wanaishi vizuri na kushirikiana kwenye misiba na harusi.
Allah anasema
5;51. Enyi mlio amini! Msiwafanye Mayahudi na Wakristo kuwa ni marafiki...... 9;23. Enyi mlio amini! Msiwafanye baba zenu na ndugu zenu kuwa vipenzi vyenu ikiwa wanastahabu ukafiri kuliko Imani....
 
Wakristo na waislamu wengi katika mikoa ya Pwani ni ndugu wa ukoo mmoja,na wanashirikiana katika misiba na harusi.
Waislamu wanafanya unafiki au hawajui mafundisho ya Allah

Allah kasema
5;51. Enyi mlio amini! Msiwafanye Mayahudi na Wakristo kuwa ni marafiki...... 9;23. Enyi mlio amini! Msiwafanye baba zenu na ndugu zenu kuwa vipenzi vyenu ikiwa wanastahabu ukafiri kuliko Imani....
 
Mashoga hua mnapenda kuwaza uharo,vipi hua mpaka unakutoka huo uharo?
Watu wa namna hiyo mfano huyu jamaa na wenzake mokiti na Capo delgado ni wakuwapuuza tu.

Sio busara kujadiliana kwa njia za ;
1.Matusi na kejeli
2.Kutosikilizana na kujibu hoja na maswali katika majadiliano
3.Mtu mwenye kuendelea ubishani kuliko kueweshana.
4.Nk

Ukigundua wa namna hizo vyema kuwaepuka hata ukijadiana nao ukaiona bado wapo katika misingi hiyo hakuna haja ya kuendelea kwani mwisho wake ni matusi na shari zingine.

Cc : Kikwajuni One
 
Kwamba mnataka kwepesha gaidi alichomfanyia pale Kawe?
 
Back
Top Bottom